Mkopo wa Benki ya Dunia umeonyesha upinzani sio idadi ya ubunge, ni fikra

Sasa zito kwa hili amesign bye bye jimbo la kigoma mjini.
Ifanyike lolote akose jimbo. Tuone hiyo ACT kama itamvumilia. Akose hata diwani. Akose ruzuku.
Mjinga mkubwa huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa time guru au kwa kuwaambia wakurugenzi kukimbia ofisi? USA kituo kinachofuata ni tume huru! Utashangaa Mwaka huu!
 
Akili zako ndogo, hii issue iko nje ya uwezo wako wa kufikili. Mama yako mwenyewe alizaa shuleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Misaada mingapi inakuja, mbona hatujaona faida yake? Hadi mikopo ya kimya kimya kati ya mtu na mpwa wake nayo hatujaona faida yake. Si mlisema elimu bure, na kila mwezi mnapeleka bilioni 20, kuendesha hiyo elimu bure. Lakini matokeo ya kidato cha nne tu yamewatoa nishai. Acheni ulaghai, muda ni ukuta ukishindana nao utaumia.
Upinzani wa namna hii ni wa kipumbavu. Zitu ni mpumbav, huwezi kukwamisha msaada ambao ungefaidisha wananchi then ukajiita mwanaharati. Huyu jamaa kinyesi kabisa hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nae Ridhiwani ndio wa kumlaumu na kumbembesha mateso haya ya watanzania. Alizusha ugomvi wa kijinga na Fred wakiwa bar, ndio ukapelekea kuleta huu utawala wa kifashisti. Tena mbaya zaidi ndie aliemuibua Bashite na kumpa u DC wa Kinondoni. Wakijua fika 2015 Membe ndio atakuwa Rais.
Kikwete aliwakabidhi washamba madaraka makubwa.

Tutapata tabu Sana kipindi hiki cha bashite

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sikubaliani na moto kupata mimba afu aendelee kusoma na watoto watiifu, lakini pia sikubaliani na kauli za kibabe za kuwaachisha masomo niwakati mzuri tuandae mazingira watoto wanapata mimba wawe na shule zao ata ikijengwa moja nchi nzima inatosha kwani idadi yao sio kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajuaje hizo ela kama zingepelekwa sehemu tajwa? Pesa za kujenga mji wa chato zinapitishwa nanani? Acha kukariri Ccm wanatafuta ela kwa matumizi yao binafsi sio kwa maslahi ya Watanzania. Narudia Tanzania tuna ela nyingi tunaweza kuwakopesha Mabeberu. OVER.
Upinzani wa namna hii ni wa kipumbavu. Zitu ni mpumbav, huwezi kukwamisha msaada ambao ungefaidisha wananchi then ukajiita mwanaharati. Huyu jamaa kinyesi kabisa hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahihi mkuu ila mijitu ya Ccm akiri zimeganda inabidi tuichemshe kwanza ipate moto.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…