Nakazia huko mwishoni, unapompokea Yesu, ana boost ule uungu wako uliozaliwa nao na kuwa active, unakuwa juu zaidi huku ukiishi katika Neno (yeye mwenyewe)
Waefeso 6:10-20
Hapa ukisoma utajua kuwa hatutakiwi kupigana kwa namna ya mwilini, bali ya rohoni.
Siku hizi wanaojielewa wanajitwaalia utukufu kwenye kila kitu, kazi, biashara, mahusiano, elimu, umaarufu, n.k.
Sass usipokuwa makini, hautoboi ng'oo,
Ndio wanasema maskini hata apewe bilioni moja, baada ya Muda tuu itaisha, ila tajiri hata umpe elfu kumi, atajua kuizalisha mpaka impe utajiri.