Tetesi: MKT wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Kuanza Ziara ya Ulaya na US Kupitia Dubai 28/08/2016? !.

Kuna jamaa aliwahi kupost humu jinsi mwanaume mmoja wa Dar anayejiita AT alivyomsuta Peter Msechu.. Ila Dar kuna wanaume wasutaji na wazushi sana..! Utamwambiaje mwanaume mwenzako eti ana tumbo kama kameza Vitz??
Mkuu mada iliyopo mezani ni mwenyekiti kuanza ziara tarehe 28......
 
Naona pasco anajitahidi kufiti kwenye mfumo...unaoamini unafiki,uzandiki,uongo,ukurumbembe,fitna,majungu,umbea-uchwara,uandishi uchwara na kikampuni uchwara na kuzurura masokoni na magulioni kuhoji umbeya.
U-DC wa miaka hii
 
Pasco. Unaunga mkono UKUTA? Nimekuona na kukusikiliza leo Asubuhi kupitia Jicho letu ndani ya hahari cha Star TV. Ulichoongea kule ni opposite.
Nilikuwa nakuheshimu. Sijui lengo lako ni nini hapa ila kumbuka kuna usemi wa kuogopa watu wenye ndimi mbili
 
Nilikuwa namuheshimu sana huyu Pasco, ila kwanzia Leo nimekudharau kuliko neno dharau. Heshima yote uliyojijengea apa Jf umeibomoa kwa ajili ya sifa za kijinga.

Sijui haya majungu yanawasaidia nini
Huyu mganga njaa hua unamheshim kwa sababu ipi mkuu? Huyu huishi kwa kufata upepo ka bendera.
 
Kinyonga akijibadiri rangi habadiri ukinyonga wake. Pasco ni kinyonga ki hoja HAACHI.

Tetesi nilizo nazo ni jumba kuu kupanga safari, ajali za viongozi wa CHADEMA hata taarifa bandia na potofu kabla ya September 1.

Uhakika nilionao ni UKUTA upo pale pale.

Hofu yangu ya baada ya September 1 Je bado tutakuwa taifa la amani na tulivu?
 
Yeye aende tu si wapo misukule waliogeuza vichwa vyao kuwa vitalu vya kuoteshea nywele.

Hao makamanda uchwara wasiojielewa ndo wataangushiwa jumba bovu.

Machar naye kakinukisha Juba halafu kaenda kutalii DRC.
 
Inatumika kila mbinu kuzoofisha UKUTA watu wapo kazini wanazoofisha wananchi wasitokee siku iyo wanaogopa nguvu ya Umma siyo Pasco tu wengi watakuja kupotosha umma ili ukuta usifanikiwe UKUTA ndiyo unaowasumbua kwa sasa
 
AKIFANYA HIVYO BASI ATAKUWA AMEIUA CDM , afadhali awe hapa lakini asishiriki kwa namna na sabau yoyote kuliko kwenda nje!
 
Uko
Upo sawa Pasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…