Tetesi: MKT wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Kuanza Ziara ya Ulaya na US Kupitia Dubai 28/08/2016? !.

Bora uache maagizo usepe, urudi ukute hayajatekelezwa, kuliko utoe maagizo, upo, halafu hayatekelezwi, utatamani ujinyonge. Kwanini apange huo ukuta siku ambayo anajua ana safari muhimu? Kwanini asi adjust ili awepo?
 
Jina la Passengers anaitwa nani? Sheria za makosa ya mtandao zikichukua mkondo wake kama inavyostahili na pasiwepo upendeleo kuna watu watafilisika kama sio kuishia jela.
Mkuu unapofanya uongo kuna makosa madogo kama haya lazima uya overlook.
 
Na hiyo ndege A380-800 kwenda masaa 7 kurudi masaa 6 kwani kuna tochi huko hewani siku ya kwenda? Same type of aircraft?
 
UKUTA wenu washike wengine? Jiandaeni wenyewe MBOWE washikisha yeye anasepa.
Mbona anahangaika sana na UKUTA? umeprint vikaratasi kama tiketi ambavyo hata baamedi anaweza kuvitengeneza.
 
Anae safiri ni Mr Freeman Mbowie! Na tutakae kuwa nae kwenye UKUTA ni Mr Freeman Mbowe
 
UKUTA umetibua kila mahala, makada, buku saba, mawaziri(Nimemsikia SIMBACHAWENE ITV, akimwaga pumba), Polisi, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi wa halmashauri...etc Wote HOMA YA UKUTA imewakumba!

Pole sana Tata Madiba safari hii UKUTA umewashika pabaya! Hakuna namna ya kuuzuia, nyie tulieni tu muone!
 
Aiseeeeee! Hii sasa hatareeee! Kamanda Mkuu anaenda kujificha majuu baada ya kuchochea vurugu! Ndo maana kasema kuwa chadema wapo tayari kusimamisha mikutano septemba mosi!
 
Mkuu, una kauli gani kuhusu mbowe kukimbia moto aliouwasha?
 
Kumbe huyu jamaa ni Mwanamama? Dah! Siku zote najua ni dume! Okay! Huyu sikuwa namfahamu !
Mmechanganyikiwa! Badala ya kujitetea kwa kile alichowasilisha mnaanza kujadili jinsia ya mtu
 
Hahahahah eti mr Freeman Mbowie hahaaa

CCM hata shetani baba wa uongo amewakataa!!!
 
Nikimkumbuka kabwe alivyokuwa hana kazi nacheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…