Mkude akienda Yanga SC atakuwa ametimiza Mambo haya makubwa Mawili ambayo wengi wenu mlikuwa hamuyajui

ila nimeambiwa yanga wamekataa kumsajili
 
ila nimeambiwa yanga wamekataa kumsajili
Kumuacha Mtukutu ( Muhuni, Mvuta Bangi na Mlevi ) Bernard Morisson na Kumsajili Pacha wake wa hizo tabia Jonas Mkude si tu ni Upumbavu bali ni Utaahira pia.

Na bahati nzuri Wote hawa ni Wana ( Washkaji ) ambao Jumamosi na Jumapili ukiwakosa Juliana Pub na Beach Kidimbwi wakigombania Malaya wa pale njoo Unitahiri mara ya Pili GENTAMYCINE.
 
ila nimeambiwa yanga wamekataa kumsajili
Vyanzo vyangu vimeniambia kuna 85% ya Yeye Kusajiliwa na Yanga SC na si kwamba Kocha wao Mkuu mpya Gamondi 'Bichwa Kipara' kamtaka au anamjua bali ni kutaka tu Kuwakoga ( Kuwaumiza ) Roho wana Simba SC.
 
rafiki mkude ana umri gani?
 
Huyu ndio Genta sasa ninayemjua mimi kwenye ubora wake uliotukuka
 
Tupe madini Genta hii ndio maana ya Great Thinker mara nyingi unachosema kina kuwa kweli hapa nimekuelewa hata manula mm nina wasi wasi nae embu fatilia hili mkuu
Kabisa kwa Manula mm sijawahi kumuelewa ana uyanga flani yule si unaona mechi ya juzi hajacheza tumewakojolea uto mbili safi ila kama angecheza manula ungesikia 2 kwa 2 yaan watu wakipiga mbali Imoo shenzi kabisa manula kama tunapat kipa mzuri asepe tu 😁 😁 😁 😁
 
huyo kocha aliyemuibua mkude aliridhishwa nini na mkude
 
Unamuacha Morison halafu unamkaribisha Mkude[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…