Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Mkude ni kiungo namba 6. Amesajiliwa yanga baada ya kumaliza mkataba wake na Simba.
Yanga ni timu yenye utajiri wa viungo. Hivyo kuna ushindani mkubwa wa namba.
Mkude anaenda kuchukua namba ya nani kikosini yanga?
Yanga ni timu yenye utajiri wa viungo. Hivyo kuna ushindani mkubwa wa namba.
Mkude anaenda kuchukua namba ya nani kikosini yanga?