Mkulima wa Tanzania avutia wanunuzi toka Kenya

Mkulima wa Tanzania avutia wanunuzi toka Kenya

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Mkulima wa kisasa Galus Msekwa anayeendesha kilimo kwa utaalamu wa juu avutia wanunuzi toka mbali kama miji ya Nairobi na Mombasa. Mtangazaji Captain Gadner Habash alifika katika shamba hilo la mkulima na kufanya naye mahojiano exclusive na kituo cha Televisheni cha Clouds cha jijini Dar es Salaam, Tanzania.



Source: CLOUDSMEDIA
 
Kenya kuna pesa na pesa iko Kenya. Bila shaka huyu mkulima kwa sasa anajihisi ameshinda Jackpot kwa kupenya soko la Kenya. Kwa nini isiwe nchi nyingine yoyote masikini inayozunguka Tanzania bali ni Kenya tu yenye uchumi mkubwa na tajiri ndiyo inayomtia kiwewe?
Ni ndoto ya kila mkulima kutoka Tanzania kutaka kuuza mazao yake Kenya ili aweze kutoka kwenye lindi la umasikini.
 
Kenya kuna pesa na pesa iko Kenya. Bila shaka huyu mkulima kwa sasa anajihisi ameshinda Jackpot kwa kupenya soko la Kenya. Kwa nini isiwe nchi nyingine yoyote masikini inayozunguka Tanzania bali ni Kenya tu yenye uchumi mkubwa na tajiri ndiyo inayomtia kiwewe?
Ni ndoto ya kila mkulima kutoka Tanzania kutaka kuuza mazao yake Kenya ili aweze kutoka kwenye lindi la umasikini.

Wakulima wa Tanzania huteseka sana na ndio maana nchi yao maskini kwenye LDC, hawataki kuwaachia hao wakulima uhuru wa kufanya biashara kwenye mazao yao.
Huyu kwenye hii video awe makini maana tayari amejianika, atavurugwa sana na kurudishwa nyuma, jamaa wana roho nyeusi.
 
Kenya kuna pesa na pesa iko Kenya. Bila shaka huyu mkulima kwa sasa anajihisi ameshinda Jackpot kwa kupenya soko la Kenya. Kwa nini isiwe nchi nyingine yoyote masikini inayozunguka Tanzania bali ni Kenya tu yenye uchumi mkubwa na tajiri ndiyo inayomtia kiwewe?
Ni ndoto ya kila mkulima kutoka Tanzania kutaka kuuza mazao yake Kenya ili aweze kutoka kwenye lindi la umasikini.
[/QUOT
Nyinyi ni dumping place ya bidhaa zetu, kama anacho wafanyia china.
 
Halafu wakishashiba wanakuja kujazana hapa jukwaan na kuanza kupiga kelele.
Hawa kila kitu tunawalisha!
Vilaza katika ubora wenu. Mkulima kwa kujituma kwake anafaidi kweli kweli na soko la Kenya. Alafu nyinyi hapo bila aibu mnaendeleza porojo zenu mkiwa kwenye vijiwe vyenu huko Manzese. Mmerogwa nyie, mna uwezo wa kulisha nani? Hebu leteni takwimu za biashara kati ya Kenya na Tz mwaka uliopita 2018/19. Tunawauzia bidhaa nyingi zaidi ya tunazonunua kutoka kwenu, tena hiyo ni kwa nchi zote ukanda huu. Tz, Ug, Rw, Br, S.Sudan wote mna 'trade deficit' kwenye biashara na Kenya. Tena mbaya zaidi ni kwamba bidhaa ambazo mnatuuzia ni kama mahindi na maharagwe. Wakati sisi tunawauzia bidhaa nyingi zaidi, kutoka kwa viwanda, k.m. madawa na sabuni.
 
Nyinyi ni dumping place ya bidhaa zetu, kama anacho wafanyia china.
bidhaa gani hizo munazo-dump Kenya wakati sijaona kitu chochote cha kutoka Tanzania kwenye shelves za supermarket Kenya.
Angalau China wana-dump vitu vya maana kama magari, tarakilishi, simu n.k.
Tutaendelea kununua low value goods na raw materials kutoka Tanzania kisha tuzi-process kwenye viwanda vyetu na kuvipiga chapa ya ''Made in Kenya'' na kuuza Afrika nzima na ughaibuni tuone ni nani anaemkomoa mwenzie.
 
Back
Top Bottom