Mkulima wa Tanzania avutia wanunuzi toka Kenya

Mkulima wa Tanzania avutia wanunuzi toka Kenya

Pole sana. Amini ipo siku tu.
Ipo siku yale mshamba makubwa na yenye rutuba nzuri yanayo milikiwa na wazungu pamoja na wanasiasa tutawanyanganya na kuwapa wananchi ili tuepuke hii aibu ya kupewa misaada ya chakula karne hii.
 
Hongera kwake mkulima, hivi ndivyo inapaswa kupambana, soko la Kenya linaweza kumtoa sana.

Nimepata mwanamke kisii na kanizalia mtoto wa kiume siku hizi geza akiwatania mimi nawatetea bwana shemeji


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
bidhaa gani hizo munazo-dump Kenya wakati sijaona kitu chochote cha kutoka Tanzania kwenye shelves za supermarket Kenya.
Angalau China wana-dump vitu vya maana kama magari, tarakilishi, simu n.k.
Tutaendelea kununua low value goods na raw materials kutoka Tanzania kisha tuzi-process kwenye viwanda vyetu na kuvipiga chapa ya ''Made in Kenya'' na kuuza Afrika nzima na ughaibuni tuone ni nani anaemkomoa mwenzie.
Wala siyo siri- vitunguu vya Tanzania vinafika EU via Nairobi. Vijana wa Mazense /Lumumba bado sana.
 
Tunanunua vichochoroni na chini ya miti juu supermarkets hatuko nazo.
Kiswahili chako cha Kenya mbona? Watanzania hawasemi "hatuko nazo", wanasema "hatuna". Umeishi Kenya kwa muda gani?
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Wakulima wa Tanzania huteseka sana na ndio maana nchi yao maskini kwenye LDC, hawataki kuwaachia hao wakulima uhuru wa kufanya biashara kwenye mazao yao.
Huyu kwenye hii video awe makini maana tayari amejianika, atavurugwa sana na kurudishwa nyuma, jamaa wana roho nyeusi.
Wewe jamaa unachekeshaga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo nyuma sana ndio maana tunaenda chooni kwa hisani ya wazungu, waarabu, warusi na Wachina.
Kwani ni siri? Sisi na hao uliowataja, ambao ndio huwa tunatoa mgao na mchango wetu kwa UN kila mwaka na ambao hatuna deni lao ndio huwa tunawajengea dona kantri matundu ya vyoo. Hahaha! [emoji1][emoji1][emoji1]
2264795_tapatalk_1574965554979.jpeg
 
Kwani ni siri? Sisi na hao uliowataja, ambao ndio huwa tunatoa mgao na mchango wetu kwa UN kila mwaka na ambao hatuna deni lao ndio huwa tunawajengea dona kantri matundu ya vyoo. Hahaha! [emoji1][emoji1][emoji1]
2264795_tapatalk_1574965554979.jpeg

Kwahiyo UNDP wameleta hadi maendeleo ya vyoo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwani ni siri? Sisi na hao uliowataja, ambao ndio huwa tunatoa mgao na mchango wetu kwa UN kila mwaka na ambao hatuna deni lao ndio huwa tunawajengea dona kantri matundu ya vyoo. Hahaha! [emoji1][emoji1][emoji1]
2264795_tapatalk_1574965554979.jpeg
Choo ni kwa ajili ya walioshiba na wenye uhakika wa kula,
Wenye njaa kama wewe flying toilets zinawatosha.
 
Wakulima wa Tanzania huteseka sana na ndio maana nchi yao maskini kwenye LDC, hawataki kuwaachia hao wakulima uhuru wa kufanya biashara kwenye mazao yao.
Huyu kwenye hii video awe makini maana tayari amejianika, atavurugwa sana na kurudishwa nyuma, jamaa wana roho nyeusi.
Si kweli...labda kama unaongea ki ligi ligi na watz
 
Vilaza katika ubora wenu. Mkulima kwa kujituma kwake anafaidi kweli kweli na soko la Kenya. Alafu nyinyi hapo bila aibu mnaendeleza porojo zenu mkiwa kwenye vijiwe vyenu huko Manzese. Mmerogwa nyie, mna uwezo wa kulisha nani? Hebu leteni takwimu za biashara kati ya Kenya na Tz mwaka uliopita 2018/19. Tunawauzia bidhaa nyingi zaidi ya tunazonunua kutoka kwenu, tena hiyo ni kwa nchi zote ukanda huu. Tz, Ug, Rw, Br, S.Sudan wote mna 'trade deficit' kwenye biashara na Kenya. Tena mbaya zaidi ni kwamba bidhaa ambazo mnatuuzia ni kama mahindi na maharagwe. Wakati sisi tunawauzia bidhaa nyingi zaidi, kutoka kwa viwanda, k.m. madawa na sabuni.
Acha ujinga wewe, sisi ndio tunaoshikilia maisha yenu, sisi ndio tegemeo lenu kwa chakula, mnakuja wenyewe kuja kununua vyakula kwa ajili ya watu wenu, bila chakula cha Tanzania wakenya mnakufa njaa.

Kenya inauza bidhaa zisizo na umuhimu wowote kwa Tanzania, tunaweza kuzizuia zisifike Tanzania na wananchi wasihisi kama kuna upungufu wowote ule, ila Tanzania tukizuia bidhaa zetu kuja Kenya, lazima kutatokea mfadhahiko wa uchumi, ukiacha dawa za meno, maziwa, sigara na siagi, nini tena mnaleta Tanzani?

Sisi tunawauzia vitu vingi sana vya viwandani
1)Vinywaji kama Azam Energy, Konyagi, Wins...
2)Transforma za umeme
3)Karatasi
4)Nguzo za umeme
5)Tiles
6)Gasi ya kupikia
7)Gas ya Carbon dioxide
8)Bati za kuezekea
9)Clinker

Wewe taja ni bidhaa gani muhimu Kenya inauzia Tanzania ambazo hazizalishwi Tanzania
 
Back
Top Bottom