Mkulima wa Tanzania avutia wanunuzi toka Kenya

Mkulima wa Tanzania avutia wanunuzi toka Kenya

Choo ni kwa ajili ya walioshiba na wenye uhakika wa kula,
Wenye njaa kama wewe flying toilets zinawatosha.

Boss, endelea kujiliwaza na habari za zamani za kitongoji duni cha Kibera. UNDP huwa hawabahatishi, wanawajengea vyoo kwasababu hakuna mwaka ambao huwa hampo kwenye top 10 ya nchi za Afrika ambazo % kubwa ya watu ndio huwa wanadondosha mzigo hadharani na vichakani. Yaani chini ya 25% tu ya watz ndio huwa wanatumia vyoo. [emoji1] Ndio hii ramani ya 'top 18 countries in Africa' kwenye fani ya kunya hadharani, mijini, vijijini, kote kote. 😀
access-to-sanitation.png
 
Ipo siku yale mshamba makubwa na yenye rutuba nzuri yanayo milikiwa na wazungu pamoja na wanasiasa tutawanyanganya na kuwapa wananchi ili tuepuke hii aibu ya kupewa misaada ya chakula karne hii.
ile ardhi tuliyompa dangote ajenge kiwanda, ipo siku tutampokonya tuwape watanzania walime korosho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss, endelea kujiliwaza na habari za zamani za kitongoji duni cha Kibera. UNDP huwa hawabahatishi, wanawajengea vyoo kwasababu hakuna mwaka ambao huwa hampo kwenye top 10 ya nchi za Afrika ambazo % kubwa ya watu ndio huwa wanadondosha mzigo hadharani na vichakani. Yaani chini ya 25% tu ya watz ndio huwa wanatumia vyoo. [emoji1] Ndio hii ramani ya 'top 18 countries in Africa' kwenye fani ya kunya hadharani, mijini, vijijini, kote kote. 😀
access-to-sanitation.png
Endelea kujiliwaza.
Eti habari za zamani 😂😂😂
 
Hakuna biashara ngumu na ya kichaa kama kilimo!
Tamu Sana especially organic farming tena unakuza na kuvuna when demand ipo juu na supply iko chini otherwise utalia hasara Kama unapanda na kuvuna wakati moja na washindani wako.
 
kila mtu kwa sasa anafaidi soko la kenya, iwe mganda msomali au hata marekani. Tena wote wanafaidi kwa bidhaa ambazo wakenya wasingekuwa wazembe kupitiliza wange lima na wavune.
Wacha wakenya waendelee kuongeza madeni huku wakinunua mahindi mexico -nchi tajiri😂😂😂
 
kila mtu kwa sasa anafaidi soko la kenya, iwe mganda msomali au hata marekani. Tena wote wanafaidi kwa bidhaa ambazo wakenya wasingekuwa wazembe kupitiliza wange lima na wavune.
Wacha wakenya waendelee kuongeza madeni huku wakinunua mahindi mexico -nchi tajiri😂😂😂
Mahindi ya GMO 😂😂😂
 
Back
Top Bottom