Mkulima wa Tanzania avutia wanunuzi toka Kenya

Na ndio ndoto ya kila mkenya anawaza vyakula vya Tanzania tu na ardhi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu kwenye hii video awe makini maana tayari amejianika, atavurugwa sana na kurudishwa nyuma, jamaa wana roho nyeusi.
Umeongelea wakenya
Watakuja tu kuzuia mpakani hizo nyanya kwa siku mbili zioze
Kama sio magufuli mngeendelea kutuburuza tu,sasa hivi maziwa na siagi ya kenya hakuna kabisa
 
Umeongelea wakenya
Watakuja tu kuzuia mpakani hizo nyanya kwa siku mbili zioze
Kama sio magufuli mngeendelea kutuburuza tu,sasa hivi maziwa na siagi ya kenya hakuna kabisa

Biashara mbona zinaendelea freshi tu, tatizo mlianza kwa chuki ila mkabaini hamuwezi kuogoza binadamu kwa misingi ya chuki, mlikuta Wakenya na Watanzania wanafanya biashara vizuri tu kama ndugu na mkajaribu kueneza chuki ila mkalegea wenyewe, leo hii kuna wengi tu kama huyu jamaa wanaendelea kufunaika na uhusiano mzuri baina yetu.
Sema namuona ni mjinga, asingejianika hivi, angeendelea kufaidika kimya kimya, sasa mtamfuata na kumrudisha kwenye hali ya umaskini, tatzio ujamaa uliwalezama kiakili.
 
Wazee wakujibrand eti wanalima parachichi na viazi. Ukienda njombe utawakuta wamejazana uko wanagombania parachichi na viaz lakini ukija huku wanasema wao ndio hulima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wakujibrand eti wanalima parachichi na viazi. Ukienda njombe utawakuta wamejazana uko wanagombania parachichi na viaz lakini ukija huku wanasema wao ndio hulima.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona huwa mpo wazembe na watepetevu hivyo mpaka tunawapumulia shingoni kiasi hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…