Mkumbusheni Ali Hapi: "You will eventually become what you pretend to be"

Mkumbusheni Ali Hapi: "You will eventually become what you pretend to be"

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

1692791476170.jpg
 
Kuna kipindi niliwahigi ku pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kina niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani. Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like " hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"


Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.
unabii huu ungeandika kipindi kileeeeee
 
Kuna kipindi niliwahigi ku pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kina niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani. Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like " hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"


Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.
Kwa hiyo ulikuwa na mazaga zaga yote ya uganga: tunguri, manyoya ya jogoo, ngozi ya fisi, pembe za tandale, nyembe za kupiga watu chale, na mavi ya tembo?
Nafikiri ulikula sana nyama ya majogoo na mbuzi weusi
 
Kuna kipindi niliwahigi ku pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kina niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani. Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like " hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"


Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.
Hapo kwenye ukulima naona amecheza vyema kalata yake vyema kabisa
 
Ana pretend kua mkulima? Ukulima ni ulemavu?
Ulikuwa kwenye nafasi nzuri ambapo miezi 6 tu ilikuwa inatosha kubadilisha maisha yake.
Huyo anatafuta huruma arudi kwenye system tu.
Wakiwa huko kwenye majukwaani wanakata viuno huku wanasema vijana wajiajiri.
Kuna vijana wangapi wamejiajiri kwenye kilimo na hawajipigi picha?
Yeye aendelee kulima kwa kutulia bila kupiga picha zake aweke mitandaoni ili atafute huruma
 
Back
Top Bottom