Mkumbusheni Ali Hapi: "You will eventually become what you pretend to be"

Mkumbusheni Ali Hapi: "You will eventually become what you pretend to be"

Wivuu huzaa chuki na roho mbayaa, kijana mwenzio anajituma kwenye kilimo, na jembe halimizi mtuu.... ww unaanza kujifananisha na ww ulijifanya mganga .
Alaf hapi familia yao sio pangu pakavu na watoto wake wote wanasoma feza
Huyo anataka huruma ili arudishwe kwenye system.
Angekuwa anafanya kimya kimya ningemuona kweli yupo bize na kilimo.
Ila hiyo mipicha na video ni sawa na bongo movie.
Asisahau kuweka Youtube ili watu wamuone zaidi
 
Huyo anataka huruma ili arudishwe kwenye system.
Angekuwa anafanya kimya kimya ningemuona kweli yupo bize na kilimo.
Ila hiyo mipicha na video ni sawa na bongo movie.
Asisahau kuweka Youtube ili watu wamuone zaidi
🤣🤣🤣
 
Huyu jamaa nilikua simkubali kwa tabia zake alipokua Mkuu wa wilaya na Mkuu wa Mkoa.

Kwa anayofanya sasa namuunga mkono kwasababu anaonyesha mfano kwa vijana wengi jinsi kutafuta fursa kwenye kilimo.
 
Ulikuwa kwenye nafasi nzuri ambapo miezi 6 tu ilikuwa inatosha kubadilisha maisha yake.
Huyo anatafuta huruma arudi kwenye system tu.
Wakiwa huko kwenye majukwaani wanakata viuno huku wanasema vijana wajiajiri.
Kuna vijana wangapi wamejiajiri kwenye kilimo na hawajipigi picha?
Yeye aendelee kulima kwa kutulia bila kupiga picha zake aweke mitandaoni ili atafute huruma
Kuwa mkulima ni ujinga? Wabongo nyie mbwa sana
 
Huyo anataka huruma ili arudishwe kwenye system.
Angekuwa anafanya kimya kimya ningemuona kweli yupo bize na kilimo.
Ila hiyo mipicha na video ni sawa na bongo movie.
Asisahau kuweka Youtube ili watu wamuone zaidi
Ali hapi ni mtu na kupenda kuonekana namfaham kabla hajawa mwenykiti CCM vijana . hyo ni personality yake. toka kipindi yupo DC, RC alikuwa anajishughulisha na kilimo .
 
Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

View attachment 2726156
Come to the light
 
Huyo anatafuta huruma ili arudishwe kwenye system.
Hater wake unajipiga maphoto kila muda.
Bado inamuuma kutokuwa DC. Ni sawa na Harmonize kwa Mondi.
Kaa tulia fanya maisha. Angepost anajenga ghorofa, anaendesha gari kali au amefungua duka kubwa ningemuona yupo OK.
Sasa upo shamba halafu unasema upo OK.
Tuache utani
Wewe acha kujitia aibu, kama huelewi uliza au jielimishe, ila kwa ufupi kilimo ndio uchumi wa nchi na kodi kubwa inatoka hapo
 
Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

View attachment 2726156
Inashangaza kukuta thread kama hii inawekwa kwenye trending!
Kwani ukulima ni tatizo au ni ugonjwa? Kama kupretend mtu unakuwa kweli, basi tungekuwa na marais wengi sana nchi hii kwa awamu moja. Maana karibu kila mwanasiasa anajiona rais!

Duh, kweli kazi ipo!
Na hata kama anapretend hayo ni maamuzi yake.
 
Kweli mwanadamu ni changamotoo[emoji16][emoji16][emoji16] Sasa ulitaka aendelee kutembelea vieteee na misafara wakati uhalisii hali yake sasa ni mtu wa kawaidaa au ulitaka aishi vipi...??? Hayo sasa ndo maisha yale aliyoamuaa kuyaishii kufanya kilimo au unadhani ali Hapi akilima anaenda kuuza Kkoo???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

View attachment 2726156
Ana pritend kwani hajishughulishi na kilimo baada ya kuenguliwa kwenye teuzi?
 
Back
Top Bottom