Mkumbusheni Ali Hapi: "You will eventually become what you pretend to be"

Mkumbusheni Ali Hapi: "You will eventually become what you pretend to be"

Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

View attachment 2726156
picha itakupoteza ndg
 
Kama mtu anaweza kupretend kuwa mkulima akafanikiwa kupanda hadi kuvuna mazao yake basi awezeshwe ili azidi kupretend na kulima zaidi. Mleta uzi kama ulivyosema kuwa ulipretend kuwa mganga basi wewe ni mchawi kamili. Mganga na mchawi ni kitu kimoja tu. Kitendo cha kufikiria kujiita mganga kilisikumwa na roho ya kichawi uliyo nayo
 
Kama mtu anaweza kupretend kuwa mkulima akafanikiwa kupanda hadi kuvuna mazao yake basi awezeshwe ili azidi kupretend na kulima zaidi. Mleta uzi kama ulivyosema kuwa ulipretend kuwa mganga basi wewe ni mchawi kamili. Mganga na mchawi ni kitu kimoja tu. Kitendo cha kufikiria kujiita mganga kilisikumwa na roho ya kichawi uliyo nayo
bado ww chawa wa mama.. subiri uyo mama Ako nae.....kama jiwe...

Utaita maji mmaaaa!!!! Unaish Kwa uchawa na kumtegemea binadam mwenzako kama nguruwe inayofugwa..wait
 
Hii Nchi inashindwa kuendelea kutokana na Vijana na Wazee wengi kudhani hakuna maisha mengine nje ya Siasa.

Ndiyo Maana hadi leo hii, Wakina Mzee Steven Wassira hawataki kustaafu Siasa maana wameona hawawezi kuendesha maisha yao nje ya Siasa.

Ndiyo maana akina Dr Hamis Kigwangala waliacha kutibu wagonjwa kule Mhimbili wakaingia kula hela za Siasa

Kuna watu wamepata utajiri kupitia Kilimo, me nadhani anatakiwa atumike kuwa-motivate Vijana wengine wajiajiri na waajiri wenzao kupitia Kilimo, hasa wakati huu ambapo suala la ajira limekuwa kitendawili
 
Anakaa nyuma nyuma sana ilitakiwa kipindi hiki ndio apige uchawa hasa hadi mama amkumbuke
Hiyo ni ndoto huyu aliyesema wastaafu wanawashwa washwa yani kiufupi akimlenga mzee wa msoga ukiwa kiongozi unahitaji hekima sana uongozi hauhitaji kiburi au majivuno Mungu atakupandisha na atakushusha kwa muda mfupi sana kweli walaaniwe wamtegemeaye mwanadamu

Nikiangalia picha yake namuona kama kakosa nuru sijui kama kilimo kinamlipa
 
Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

View attachment 2726156
Nimekuelewa sana. Ila wengi hawajakuelewa
 
Kama hana kazi nyingine kwa sasa na ameamua kujiajiri kupitia kilimo shida iko wapi?mbona Mwalimu Nyerere alikuwa analima? Kwamba alifeli maisha ?hebu acheni kuzonga zonga watu ukumbuke kila mtu ana skills zake anapenda kufanya ukiachana na ajira za serikali na hiyo ndio Plan B yake sasa sijui wewe unatoa wapi makasiriko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Kuna vijana wangapi wamejiajiri kwenye kilimo na hawajipigi picha?
Yeye aendelee kulima kwa kutulia bila kupiga picha zake aweke mitandaoni ili atafute huruma

Mimi najishughulisha na kilimo na nikienda shamba hua napiga picha/video na kupost.
 
Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

View attachment 2726156
Kaulize kwanza bei ya hizo ho ho supermarket ndio uje uandike huu uzi wako vizuri.
 
Hii iko sahihi kabisaa......mimi ilinitokea kazini nikawa nawaambia watu na kuwaaminisha kwamba kutokana na michezo tunayoifanya humu ndani lolote litatokea na kazi hii itaisha........la haula yakanikuta mimi kazi nikasimamishwa na bonge la mkesi juu....kesi kumalizika mkataba ushaisha tiyari. ...Tusijinenee mabaya wala kutamani kuwa aina flani ya watu hata kama ni kwa masihara.
 
Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

View attachment 2726156
Nimecheka kwa hiyo story yako, si kwa ajili ya ukulima wa Happy.
Upande wa Happy, yeye ameshajikomboa. Maana alinyoosha kwenye Kilimo, labda ungesema products zake zimekosa soko, kinyume na hapo huyo ametoboa.
Alitenguliwa tarehe 27 au 28 July, 2021, tangu ametenguliwa mwaka umeshapita, maana yake ana Kiinua mgongo chake cha tangu akiwa DC hadi RC, si chini ya milioni 80 anaenda kuikinga. Anaenda kutanulia project yake ya Kilimo.
Huyo si mwenzako huyo.
 
Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

View attachment 2726156
We c mganga, mloge
 
Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.

Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"

Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.

View attachment 2726156
Anawaonyesha hater wake kuwa I am ok
 
Nimecheka kwa hiyo story yako, si kwa ajili ya ukulima wa Happy.
Upande wa Happy, yeye ameshajikomboa. Maana alinyoosha kwenye Kilimo, labda ungesema products zake zimekosa soko, kinyume na hapo huyo ametoboa.
Alitenguliwa tarehe 27 au 28 July, 2021, tangu ametenguliwa mwaka umeshapita, maana yake ana Kiinua mgongo chake cha tangu akiwa DC hadi RC, si chini ya milioni 80 anaenda kuikinga. Anaenda kutanulia project yake ya Kilimo.
Huyo si mwenzako huyo.
Ha ha ha ha ha
Anatafuta huruma tu ili wamrudishe kwenye system
Nenda Mang'ola kawauliza kina Peter kwasu na wakii halafu uje hapa.
Huyo aliyekuwa DC anatafuta huruma
 
Back
Top Bottom