Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Huyo anataka huruma ili arudishwe kwenye system.Wivuu huzaa chuki na roho mbayaa, kijana mwenzio anajituma kwenye kilimo, na jembe halimizi mtuu.... ww unaanza kujifananisha na ww ulijifanya mganga .
Alaf hapi familia yao sio pangu pakavu na watoto wake wote wanasoma feza
Ukulima poa sana,Ana pretend kua mkulima? Ukulima ni ulemavu?
π€£π€£π€£Huyo anataka huruma ili arudishwe kwenye system.
Angekuwa anafanya kimya kimya ningemuona kweli yupo bize na kilimo.
Ila hiyo mipicha na video ni sawa na bongo movie.
Asisahau kuweka Youtube ili watu wamuone zaidi
Kuwa mkulima ni ujinga? Wabongo nyie mbwa sanaUlikuwa kwenye nafasi nzuri ambapo miezi 6 tu ilikuwa inatosha kubadilisha maisha yake.
Huyo anatafuta huruma arudi kwenye system tu.
Wakiwa huko kwenye majukwaani wanakata viuno huku wanasema vijana wajiajiri.
Kuna vijana wangapi wamejiajiri kwenye kilimo na hawajipigi picha?
Yeye aendelee kulima kwa kutulia bila kupiga picha zake aweke mitandaoni ili atafute huruma
Ali hapi ni mtu na kupenda kuonekana namfaham kabla hajawa mwenykiti CCM vijana . hyo ni personality yake. toka kipindi yupo DC, RC alikuwa anajishughulisha na kilimo .Huyo anataka huruma ili arudishwe kwenye system.
Angekuwa anafanya kimya kimya ningemuona kweli yupo bize na kilimo.
Ila hiyo mipicha na video ni sawa na bongo movie.
Asisahau kuweka Youtube ili watu wamuone zaidi
Come to the lightKuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.
Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"
Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.
View attachment 2726156
Wewe acha kujitia aibu, kama huelewi uliza au jielimishe, ila kwa ufupi kilimo ndio uchumi wa nchi na kodi kubwa inatoka hapoHuyo anatafuta huruma ili arudishwe kwenye system.
Hater wake unajipiga maphoto kila muda.
Bado inamuuma kutokuwa DC. Ni sawa na Harmonize kwa Mondi.
Kaa tulia fanya maisha. Angepost anajenga ghorofa, anaendesha gari kali au amefungua duka kubwa ningemuona yupo OK.
Sasa upo shamba halafu unasema upo OK.
Tuache utani
Hizi akili ndio maana mnaitwa third WorldAnakaa nyuma nyuma sana ilitakiwa kipindi hiki ndio apige uchawa hasa hadi mama amkumbuke
Inashangaza kukuta thread kama hii inawekwa kwenye trending!Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.
Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"
Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.
View attachment 2726156
Tena mama ndo anaweza mteua kirahisii katika watu wanaojutia kubebwa na mfumo kandamizi wa jiwee ni huyu jamaa piaa sema ndo hivyoo...!!Kwani hawezi kupata teuzi kisa anaonekana kujihusisha na kilimo?
Ana pritend kwani hajishughulishi na kilimo baada ya kuenguliwa kwenye teuzi?Kuna kipindi niliwahigi ku-pretend Mimi ni mganga wa kienyeji. Hakuna kitu kilicho kuwa kin niuma kama kuwaambia watu Mimi mganga halafu hawabishi yani.
Wanakubali na wanakuwa na amani kabisa kwamba Mimi mganga. Dah kimoyomoyo nilikuwa naumia sana. I was like "hawa jamaa wameona nini kwangu mpaka wawe na amani ndani yao kwamba Mimi mganga?"
Ndicho ninacho kiona kwa Bwana Mdogo Ali Hapi. Mwisho wa siku he will become what he pretend to be.
View attachment 2726156
Watu wanakurupuka nilivyomuelewa mleta mada inahitaji uwe na mtazamo tofauti ndipo umuelewe kamaanisha niniMkuu ungesema tu picha haina uhusiano na mada, wadau wa relax akili πππ.
Anyway ajitahidi zaidi na zaidi
Ulitaka akiwa mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya kipindi kile awe anaenda kulima halafu aache kazi?una uhakika gani kama huo ndio uhalisia wao