Mkumbusheni Rais Samia, Mungu atamkasirikia na kumpa Kisogo endapo ataendelea Kugawa mamilioni Kwa Hawa Manabii Feki!!

Mkumbusheni Rais Samia, Mungu atamkasirikia na kumpa Kisogo endapo ataendelea Kugawa mamilioni Kwa Hawa Manabii Feki!!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Ikiwa ni Mungu pekee Ndiye agawaye Mamlaka Kwa watu.

Ikiwa ni Mungu pekee ndie anahitaji Mtawala kuyatenda yaliyo mapenzi yake.

Katika Dunia hii ambayo Shetani na Mawakala zake wako kwenye vita Kali dhidi ya Kanisa.

Basi Mtawala yoyote yule ambaye Mkono wake utachangamana na BABELI katika kuwapotosha Wana wa Mungu kwa miujiza, Utajiri n.k , MUNGU HATASITA KUINGILIA KATI.

HASIRA ya Mungu ni dhahiri na hakika, ikiwa ni yeye aloahidi kuwafedhehesha na kuwasagisha meno manabiii wooote wa uongo na walimu wao hewa, BASI MKONO WAKE HAUTASITA KUMSHIKISHA ADABU YOYOTE ANAYEUNGA JITIHADA ZA KUWAPOTEZA WATU WA MUNGU...

Hayo mamilioni anayogawa, mwambieni Kuna Masikin, Yatima, Wajane, Wagonjwa, aka, upeleke huko naye atabarikiwa.

Aache habari za Kutumia Pesa za watanzania kunufaisha Hawa majangili wa Dini ili hali anajua kabisa ni Majangili.
 
Zamani nilikuwa naogopa kweli kusikia mtu akiniapia kwa mungu,

Ukubwani nilichojifunza ni kuwa fanya Jambo kwa Nia njema, hata likwauzi watu haina shida, as long as unaona Jambo ni jema na Lina faida kwa wengi,

Hawa wengine ni distractions Tu.
 
Ikiwa ni Mungu pekee Ndiye agawaye Mamlaka Kwa watu.

Ikiwa ni Mungu pekee ndie anahitaji Mtawala kuyatenda yaliyo mapenzi yake.

Katika Dunia hii ambayo Shetani na Mawakala zake wako kwenye vita Kali dhidi ya Kanisa.

Basi Mtawala yoyote yule ambaye Mkono wake utachangamana na BABELI katika kuwapotosha Wana wa Mungu kwa miujiza, Utajiri n.k , MUNGU HATASITA KUINGILIA KATI.

HASIRA ya Mungu ni dhahiri na hakika, ikiwa ni yeye aloahidi kuwafedhehesha na kuwasagisha meno manabiii wooote wa uongo na walimu wao hewa, BASI MKONO WAKE HAUTASITA KUMSHIKISHA ADABU YOYOTE ANAYEUNGA JITIHADA ZA KUWAPOTEZA WATU WA MUNGU...

Hayo mamilioni anayogawa, mwambieni Kuna Masikin, Yatima, Wajane, Wagonjwa, aka, upeleke huko naye atabarikiwa.

Aache habari za Kutumia Pesa za watanzania kunufaisha Hawa majangili wa Dini ili hali anajua kabisa ni Majangili.
Maza anazingua
 
Back
Top Bottom