lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!
Episode 2!
Niliposema naanza vita vya kupambana na fikra za umasikini na mawazo mgando watu walijua labda nabeep! ama nimekurupuka, ama nitakata tamaaaa! Nooooooooo! Im here to stay! I LOVE THE CHALLANGE!
Nimepata response mbali mbali kwenye episode zilizopita! Napenda kuwakumbusha kuwa freedom of speech n opinion, haya ni mawazo yangu, simlazimishi ama kumshurutisha mtu kuyakubali! Ila nayatoa kwa moyo mmoja kwa wale ambao labda hawakuwahi kungali mambo in a bigger picture kama hivi. Siwezi kutoa mamboyote kwa mkupuo! Noooo! Kidogo kidogo tunakwnda!
Mada iliyopita niliposema watu wawekeze automatically akili za wengi zikarukia kufungua fremu! Yaani wasomi wakanilaanije sasa? Yaani binti na PHD zetu unadai tukauze lonya kariakoo? Unbelievable! Chonde chonde wasomi wa taifa hili si mimi ni mgongano wa kimantiki tu! Leo nagonga ikulu kwenu sasa kwenye mambo yenu ya INTRAPRENUERSHIP.
Naomba kwanza kuwapa FACT kuwa believe it or not kuna wabongo Wengi (My be kiasi), bongo hii hii Darisalama wanalipwa WHOOPING 15MILLIONS AND ABOVE TSH/ MONTH!!!!!!!!!!! Anhaaaaaaaaaaaa! Tena sio ma C.E.O. Na sio dili ni mshahara halali! Najua mtabisha na kuona ni impossible well IT IS A FACT!!!!!!!! Kama huamini chungulia TRA PAYE za watu ndo kidogo unaweza stuka Game Imechange!!!!!!!!!! Jiulize how much are you making? (Sio kimajungu ni hatua ya 1 kubadilisha mambo)
LIFE IS TOO FAST! In a flash unajikuta unaretire! Jiulize huu mwaka wa ngapi upo kazini? Umepanda vyeo vingapi? Na bila external forces kwa acessment ya leo hii kuna dalili ukaishia cheo gani? Ukipata majibu chukua hatua!!!!!!!!
All im sayin is simple!
1. Have a plan and work on the plan to get there! Watu wngi kazini wamerizika, wanajiachia tu. Hatwendi hivo. Have a clear concrete plan labda Mimi lazima niwe CFO, iwe isiwe. Hapo ndo una mwaka tu kazini unaweka lengo hilo. Sasa u CFO hauji kwa kumuomba Mungu tu! Jitihada baba jitihada! Anza na kukusanya magamba hayo ya kuwa CFO, usikimbie umande komaa na mitihani ya bodi. Mind you maofisa mko wengi na kila mwaka wanaajiriwa, so YOU HAVE TO STAND OUT FROM THE REST!!!!!!!! Hapa ndo watu wanaamua kuloga sasa ili kupata nyota! Ila ukijituma na kuwa different utaonekana tu. Baada ya kupata hivo vyeti anza kujionesha una uwezo wa hio post ya CFO kwa kugoole mambo yanayotokea duniani ambapo bado hapo kwenu hawajayajua. Kwenye vikao unatoa mapendekezo hatariiiiiii! Kila mtu anakuona sio mwepesi! Hivo hivo automatically watu wanaanza kukupendekeza wenyewe uchukue nafasi. Ukikaa whining shirika ili wanawekana wenyewe na ndugu zao, wenyewe hao walitoka vijijini kama wewe, so you can get there if you decide.
Ukizubaa mda umeenda, majukumu yamekuzidi, hujasoma, vyeti huna, kazi yenyewe huielewi elewi vizuri, ndo unaweka mikono kichwani! Yesu Wangu na kuanza kushinda kwenye maombi upande cheo! (Kuomba is a good thing by the way but not practical coz unaweza kupewa umezeeka)
Kwenye INTRAPRENEURSHIP mafanikio hayaji by chance ni HARDWORK na COMPEPETION tu! Saivi watoto wadogo wana Deadly Ambitions. I got a friend kamaliza 2010, Keshapata CPA, anamalizia ACCA, na mwaka huu anagraduate MBA, na yupo kazinii! GAME IMECHANGE COMPLATELY!!!!!!!!! TIMING AT ITS HIGHEST!!!!!!!!
2.LOOK AT THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!! Start your own companies and make them sucessfull! Ukiwa HR jipange ufungue HR Consultant firm, mnajiunga hata 10. Kama ni Engineer be a Consultant. Kama ni Dr kwenye mradi start your own project. Tusirizike! Kupewa 3m na 10 yrs of experiance is c.rap . I know people who started their little things lakini now they are UNTOUCHABLES!!!!!!!!!! Alifanya kwa mtu, kajikusanya kaanza chake. I have repect for Engineers wanajitahidi sana kuanzisha makampuni yao. Auditors kibao walikuwa kwenye payroll saivi ni OWNERS!!!!!!
Malecturer wamezinduka wanagombeaje Consultation sasa! Kila mtu ana agency yake ya uconsultant. Million zile za chuo pale wameona ni uzushi! They got in the bigger picturer. Marketers wamefungua Brand manaement companies wanavuta tu mshiko. Lawyers nao wahaya wanamwaga radhi.
Soma mchezo uingie dimbani! Jua bwana after miaka kadhaaa na sisi tunataka kuwa na kampuni yetu. Mambo kama Nigeria! Kila mtu bosi wake mwenyewe!!!!!!!!!!
I aint sayin its easy, piece of cake, lainiiiiiiii! NOOOOOOOOO!!!!!!!!! ITS HARD (MAYBE EVEN HARDER) BUT ITS POSSIBLE!!!!!! And its somethin worth working on! Hata ukishindwa atleast you tried. The Sooner You Are In The Bigger Picture, The Earlier You Will Make Shit Happen!!!!!!!!! So ukianza ukiwa young utafaidi zaidi maisha. Rember Organisation nyingi ni Pyramidal, Juu kuna THE ONLY CHOSEN FEW!!!!!!!!!! You need even bigger balls to get to the top.
Inspiration.
IN THIS LIFE WE GET FEW CHANCES IF YOU DONT GRAB THOSE CHANCES TIGHTLY BY THE BALLS YOU WILL END UP WOUNDERING HOW YOU BECAME SECOND RATED IN LIFE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Note: Ukipata hela usiizike mashambani kwa kujenga ikusanye kwa kulaunch kampuni! Owning a company aint a joke!
Episode 2!
Niliposema naanza vita vya kupambana na fikra za umasikini na mawazo mgando watu walijua labda nabeep! ama nimekurupuka, ama nitakata tamaaaa! Nooooooooo! Im here to stay! I LOVE THE CHALLANGE!
Nimepata response mbali mbali kwenye episode zilizopita! Napenda kuwakumbusha kuwa freedom of speech n opinion, haya ni mawazo yangu, simlazimishi ama kumshurutisha mtu kuyakubali! Ila nayatoa kwa moyo mmoja kwa wale ambao labda hawakuwahi kungali mambo in a bigger picture kama hivi. Siwezi kutoa mamboyote kwa mkupuo! Noooo! Kidogo kidogo tunakwnda!
Mada iliyopita niliposema watu wawekeze automatically akili za wengi zikarukia kufungua fremu! Yaani wasomi wakanilaanije sasa? Yaani binti na PHD zetu unadai tukauze lonya kariakoo? Unbelievable! Chonde chonde wasomi wa taifa hili si mimi ni mgongano wa kimantiki tu! Leo nagonga ikulu kwenu sasa kwenye mambo yenu ya INTRAPRENUERSHIP.
Naomba kwanza kuwapa FACT kuwa believe it or not kuna wabongo Wengi (My be kiasi), bongo hii hii Darisalama wanalipwa WHOOPING 15MILLIONS AND ABOVE TSH/ MONTH!!!!!!!!!!! Anhaaaaaaaaaaaa! Tena sio ma C.E.O. Na sio dili ni mshahara halali! Najua mtabisha na kuona ni impossible well IT IS A FACT!!!!!!!! Kama huamini chungulia TRA PAYE za watu ndo kidogo unaweza stuka Game Imechange!!!!!!!!!! Jiulize how much are you making? (Sio kimajungu ni hatua ya 1 kubadilisha mambo)
LIFE IS TOO FAST! In a flash unajikuta unaretire! Jiulize huu mwaka wa ngapi upo kazini? Umepanda vyeo vingapi? Na bila external forces kwa acessment ya leo hii kuna dalili ukaishia cheo gani? Ukipata majibu chukua hatua!!!!!!!!
All im sayin is simple!
1. Have a plan and work on the plan to get there! Watu wngi kazini wamerizika, wanajiachia tu. Hatwendi hivo. Have a clear concrete plan labda Mimi lazima niwe CFO, iwe isiwe. Hapo ndo una mwaka tu kazini unaweka lengo hilo. Sasa u CFO hauji kwa kumuomba Mungu tu! Jitihada baba jitihada! Anza na kukusanya magamba hayo ya kuwa CFO, usikimbie umande komaa na mitihani ya bodi. Mind you maofisa mko wengi na kila mwaka wanaajiriwa, so YOU HAVE TO STAND OUT FROM THE REST!!!!!!!! Hapa ndo watu wanaamua kuloga sasa ili kupata nyota! Ila ukijituma na kuwa different utaonekana tu. Baada ya kupata hivo vyeti anza kujionesha una uwezo wa hio post ya CFO kwa kugoole mambo yanayotokea duniani ambapo bado hapo kwenu hawajayajua. Kwenye vikao unatoa mapendekezo hatariiiiiii! Kila mtu anakuona sio mwepesi! Hivo hivo automatically watu wanaanza kukupendekeza wenyewe uchukue nafasi. Ukikaa whining shirika ili wanawekana wenyewe na ndugu zao, wenyewe hao walitoka vijijini kama wewe, so you can get there if you decide.
Ukizubaa mda umeenda, majukumu yamekuzidi, hujasoma, vyeti huna, kazi yenyewe huielewi elewi vizuri, ndo unaweka mikono kichwani! Yesu Wangu na kuanza kushinda kwenye maombi upande cheo! (Kuomba is a good thing by the way but not practical coz unaweza kupewa umezeeka)
Kwenye INTRAPRENEURSHIP mafanikio hayaji by chance ni HARDWORK na COMPEPETION tu! Saivi watoto wadogo wana Deadly Ambitions. I got a friend kamaliza 2010, Keshapata CPA, anamalizia ACCA, na mwaka huu anagraduate MBA, na yupo kazinii! GAME IMECHANGE COMPLATELY!!!!!!!!! TIMING AT ITS HIGHEST!!!!!!!!
2.LOOK AT THE BIGGER PICTURE!!!!!!!!!!!!! Start your own companies and make them sucessfull! Ukiwa HR jipange ufungue HR Consultant firm, mnajiunga hata 10. Kama ni Engineer be a Consultant. Kama ni Dr kwenye mradi start your own project. Tusirizike! Kupewa 3m na 10 yrs of experiance is c.rap . I know people who started their little things lakini now they are UNTOUCHABLES!!!!!!!!!! Alifanya kwa mtu, kajikusanya kaanza chake. I have repect for Engineers wanajitahidi sana kuanzisha makampuni yao. Auditors kibao walikuwa kwenye payroll saivi ni OWNERS!!!!!!
Malecturer wamezinduka wanagombeaje Consultation sasa! Kila mtu ana agency yake ya uconsultant. Million zile za chuo pale wameona ni uzushi! They got in the bigger picturer. Marketers wamefungua Brand manaement companies wanavuta tu mshiko. Lawyers nao wahaya wanamwaga radhi.
Soma mchezo uingie dimbani! Jua bwana after miaka kadhaaa na sisi tunataka kuwa na kampuni yetu. Mambo kama Nigeria! Kila mtu bosi wake mwenyewe!!!!!!!!!!
I aint sayin its easy, piece of cake, lainiiiiiiii! NOOOOOOOOO!!!!!!!!! ITS HARD (MAYBE EVEN HARDER) BUT ITS POSSIBLE!!!!!! And its somethin worth working on! Hata ukishindwa atleast you tried. The Sooner You Are In The Bigger Picture, The Earlier You Will Make Shit Happen!!!!!!!!! So ukianza ukiwa young utafaidi zaidi maisha. Rember Organisation nyingi ni Pyramidal, Juu kuna THE ONLY CHOSEN FEW!!!!!!!!!! You need even bigger balls to get to the top.
Inspiration.
IN THIS LIFE WE GET FEW CHANCES IF YOU DONT GRAB THOSE CHANCES TIGHTLY BY THE BALLS YOU WILL END UP WOUNDERING HOW YOU BECAME SECOND RATED IN LIFE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Note: Ukipata hela usiizike mashambani kwa kujenga ikusanye kwa kulaunch kampuni! Owning a company aint a joke!