Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Unakuta mtu ana mke na familia sasa ndio mambo gani ya kijinga .!!
Mambo ya ngono ni kuendekeza na kulemaza akili tu ,mtu mzima badala a'focus kwenye kutafuta mali kazi kuwaza ngono yaani mpaka analawiti.
Madhara👉 Anaenda jela na ndoa ishakufa kama watoto ni wadogo wanakuwa nusu yatima ..Kama alikuwa tegemezi maisha yanakuwa magumu kwa familia yake.
Baadhi ya mambo yanapokemewa sio athari kwa mtendaji tu ,bali kuna mlolongo wa watu wataumia kupitia ujinga wako hata taifa kwa ujumla.
Mambo ya ngono ni kuendekeza na kulemaza akili tu ,mtu mzima badala a'focus kwenye kutafuta mali kazi kuwaza ngono yaani mpaka analawiti.
Madhara👉 Anaenda jela na ndoa ishakufa kama watoto ni wadogo wanakuwa nusu yatima ..Kama alikuwa tegemezi maisha yanakuwa magumu kwa familia yake.
Baadhi ya mambo yanapokemewa sio athari kwa mtendaji tu ,bali kuna mlolongo wa watu wataumia kupitia ujinga wako hata taifa kwa ujumla.