Mkuranga, Pwani: Mwalimu afungwa kifungo cha maisha kwa kulawiti mwanafunzi

Huyo sio Mwalimu ni Mchawi[emoji24]
 
Kabisa aisee
Imagine ujasili anautoa wapi wa kuchojoa nguo zake atoe dyudyu lake amuingize kijana mdogo wa kiume uume wake?! Huu ukatili umepitiliza!!!
Km ni hamu za kimapenzi kina gigy wapo
 
Hapana!! Nyie mmezidi 🙌
 
Tungepata mwenendo wa hii kesi kwanza.
Usikute mwalimu kayatimba tu kwa wazazi wenye pesa. Shule ya private kama ile ya St Matthew, mbona inajiharibia jina? Mutembei mmiliki hapa anasemaje?
Anyone to make follow up?
Inasemekana amefariki
 
Imagine ujasili anautoa wapi wa kuchojoa nguo zake atoe dyudyu lake amuingize kijana mdogo wa kiume uume wake?! Huu ukatili umepitiliza!!!
Km ni hamu za kimapenzi kina gigy wapo
Hivi kwa duni ya sasa wanawake ni wakutafuta kweli
 
Alaf St. Mathew wanatabia ya kuwalazimisha wazazi watoto wa darasa la nne na saba kukaa boarding, jaman bora la saba ila la nne bado wadogo sana wanajifunza tabia kama hizi.

Huyo mwalimu nae kama anataka hayo mambo mbona watu wazima na vijana wapo, kwanini asitafute kwenye mitandao kama romeo na grindr wamejaa kila kona kuliko kumuhatibu mtoto mdogo jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…