DOKEZO Mkurugenzi City Casino Mbeya ambaye ni raia wa kigeni atishia kuua Waandishi wa Habari wanaofuatilia tuhuma za kumfanyia ukatili mke wa mtu

DOKEZO Mkurugenzi City Casino Mbeya ambaye ni raia wa kigeni atishia kuua Waandishi wa Habari wanaofuatilia tuhuma za kumfanyia ukatili mke wa mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wao hua ni kamali na ujambazi baharini na kuuza madawa
Kuna mmoja namjuwa kipindi hicho alikuwa anakaa na miss tz yule aliyekuja kuolewaga na bikionea wa kibongo..
Aise alikuwa anampelekesha sana,kuna wakati walipelekwa afrika kusini ilibidi interpol wasaidie ili warudidhwe bongo
Ila badaye yule mbulgaria alitimuliwa nchini kabisa

Ova
 
Dada amechukuliwa kazini na kuingizwa kwa nguvu garini tena muda wa kazi. Maana yake pale kulikuwa na wafanyakazi na wateja wa hapo Casino.....hakuna mtu hata mmoja aliyeona!!? Na dada hakupiga kelele au ikoje hii? Maana kama labda wafanyakazi wanamuogopa boss kutoa ushahidi wa tukio hili, je wateja?

Hiyo hoteli walikoenda na ile purukushani wameingiaje na purukushani yote hiyo mpaka chumbani na dada kufanyiwa huo ukatili bila msaada wa mtu yeyoye, nako pia hakuna ushahidi? Mmh
 
Mnamo tarehe 8/04/2024 Majira ya saa 2 Usiku katika Kata ya Iyela Wilaya ya Mbeya Mjini inasadikika Mkurugenzi wa Kampuni ya City Casino raia wa Burgalia anayeitwa Vasil Dosev Dimitrov, alimchukua kwa nguvu mfanyakazi wake wa kike jina linahifadhiwa na kwenda kumfanyia ukatili wa Kijinsia na kingono katika hoteli moja maarufu hapa Jijini Mbeya.

Baada ya tukio hilo, Dimitrov akamtuma dereva wake ambaye alimrudisha mwanamke huyo nyumbani kwake Uyole anakoishi na mume wake majira ya saa saba usiku.

Baada ya kufikishwa nyumbani kwake na kuingia ndani huku akilia, aliulizwa na mume wake nini kimetokea, akamuelezea kilichotokea kwamba boss wake huyo alimchukua kwa nguvu kabla hata ya muda wa kufunga ofisi huku akimtishia Kwamba endapo atafanya chochote atamfanyia kitu kibaya.

Mwanamke huyo anasema Mkurugenzi huyo wa City Casino inasemekana alianza kumkaba na kumvuta na kumsukumia ndani ya gari kisha kufunga mlango wa gari na kumuamuru dereva wake anayejulikana kwa jina la Miraji Rashid Swaibu ambaye pia ni fundi wa mashine za PS kuwasha gari na kuondoka eneo la Casino na kwenda Hotelini.

Mume wa Mwanamke huyo baada ya kusimuliwa kila kitu aliamua kuchukua uamuzi wa kwenda kuripoti Kituo cha Polisi Mwanjelwa.

Baada ya kufungua kesi kijana huyo aliamua kuwatafuta SMAUJATA ili waweze kumsaidia kupata Mwanasheria ambaye atasimamia kesi hiyo.

Tarehe 10 Aprili, 2024, Dereva wa Mkurugenzi huyo alionekana maeneo ya Casino na hivyo kumfanya Mume wa Mhanga kupiga simu Polisi na Dereva huyo akakamatwa na kufikishwa Kituo cha Polisi.

Dereve huyo hakukaa muda mrefu akaachiwa kutoka Kituo cha Polisi.

Baada ya kuachiwa kwa Dereva huyo akaenda moja kwa moja kwa Mume wa Mwanamke aliyefanyiwa ukatili na kuanza kumtolea maneno ya kebehi, akimwambia mkewe amefanywa kwa nguvu na Mzungu na Hana cha kumfanya.

Baada ya mume kuona hapati Haki yake kutoka na kudai Mzungu kutumia nguvu ya kiuchumi kumzunguka kwa Vyombo vya Usalama, ndipo akaamua kuwatafuta Waandishi wa Habari na kuwapa kisa kizima alichofanyiwa mke wake na Mkurugenzi huyo.

Waandishi wa Habari baada ya kupata maelezo kutoka kwa Mhanga na Mume wake wakaamua kwenda kwa Meneja wa Casino hiyo ili kupata ukweli wa jambo husika lakini walikosa ushirikiano baada ya meneja huyo anayefahamika kwa jina la Winrose James Muro kudai hamfahamu huyo Mwanamke aliyefanyiwa ukatili.

Waandishi walivyoondoka tu eneo la Casino, meneja huyo akampigia simu yule mwathirika na kuanza kumtishia na kumwambia kwanini amemtumia Waandishi wa Habari.

Kutokana na kitendo hicho cha kumpigia simu Mhathirika na kumtishia, Mwanamke huyo akaamua kuwatafuta Waandishi na kuwapa taarifa ya kile kinachoendelea kutoka kwa Meneja huyo,

Waandishi wakaamua kumpigia simu meneja na kumhoji kwamba kwanini anampigia simu Mhanga wakati alisema hamfahamu na wala hakuna tukio lolote ambalo lilitokea pale.

Baada ya kupigiwa simu na Waandishi akachukua namba za Waandishi hao na kuzituma kwa Boss wake (Mzungu) ambaye siku ya leo majira ya saa nne asubuhi (Aprili 29, 2024) akaanza kuwapigia simu na kuwatukana matusi mazito ya nguoni na kuwatishia maisha kwa kusema atafanya kila awezalo ili awatoe Uhai sababu anadai wanafuatilia mambo yasiyowahusu.

Waandishi hao baada ya kutishiwa maisha wakaamua kwenda kuripoti Kituo cha Polisi cha Kati Mbeya Mjini na kupewa RB.
Duuh, Huyo Meneja Muro Chawa wa Mzungu na huyo Mzungu wanajikuta wao ni nani?

Hapa ndipo Wananchi wanamkumbuka Magu na kusema laiti angekuwepo Magufuli....Mzungu angejamba cheche
 
Mnamo tarehe 8/04/2024 Majira ya saa 2 Usiku katika Kata ya Iyela Wilaya ya Mbeya Mjini inasadikika Mkurugenzi wa Kampuni ya City Casino raia wa Burgalia anayeitwa Vasil Dosev Dimitrov, alimchukua kwa nguvu mfanyakazi wake wa kike jina linahifadhiwa na kwenda kumfanyia ukatili wa Kijinsia na kingono katika hoteli moja maarufu hapa Jijini Mbeya.

Baada ya tukio hilo, Dimitrov akamtuma dereva wake ambaye alimrudisha mwanamke huyo nyumbani kwake Uyole anakoishi na mume wake majira ya saa saba usiku.

Baada ya kufikishwa nyumbani kwake na kuingia ndani huku akilia, aliulizwa na mume wake nini kimetokea, akamuelezea kilichotokea kwamba boss wake huyo alimchukua kwa nguvu kabla hata ya muda wa kufunga ofisi huku akimtishia Kwamba endapo atafanya chochote atamfanyia kitu kibaya.

Mwanamke huyo anasema Mkurugenzi huyo wa City Casino inasemekana alianza kumkaba na kumvuta na kumsukumia ndani ya gari kisha kufunga mlango wa gari na kumuamuru dereva wake anayejulikana kwa jina la Miraji Rashid Swaibu ambaye pia ni fundi wa mashine za PS kuwasha gari na kuondoka eneo la Casino na kwenda Hotelini.

Mume wa Mwanamke huyo baada ya kusimuliwa kila kitu aliamua kuchukua uamuzi wa kwenda kuripoti Kituo cha Polisi Mwanjelwa.

Baada ya kufungua kesi kijana huyo aliamua kuwatafuta SMAUJATA ili waweze kumsaidia kupata Mwanasheria ambaye atasimamia kesi hiyo.

Tarehe 10 Aprili, 2024, Dereva wa Mkurugenzi huyo alionekana maeneo ya Casino na hivyo kumfanya Mume wa Mhanga kupiga simu Polisi na Dereva huyo akakamatwa na kufikishwa Kituo cha Polisi.

Dereve huyo hakukaa muda mrefu akaachiwa kutoka Kituo cha Polisi.

Baada ya kuachiwa kwa Dereva huyo akaenda moja kwa moja kwa Mume wa Mwanamke aliyefanyiwa ukatili na kuanza kumtolea maneno ya kebehi, akimwambia mkewe amefanywa kwa nguvu na Mzungu na Hana cha kumfanya.

Baada ya mume kuona hapati Haki yake kutoka na kudai Mzungu kutumia nguvu ya kiuchumi kumzunguka kwa Vyombo vya Usalama, ndipo akaamua kuwatafuta Waandishi wa Habari na kuwapa kisa kizima alichofanyiwa mke wake na Mkurugenzi huyo.

Waandishi wa Habari baada ya kupata maelezo kutoka kwa Mhanga na Mume wake wakaamua kwenda kwa Meneja wa Casino hiyo ili kupata ukweli wa jambo husika lakini walikosa ushirikiano baada ya meneja huyo anayefahamika kwa jina la Winrose James Muro kudai hamfahamu huyo Mwanamke aliyefanyiwa ukatili.

Waandishi walivyoondoka tu eneo la Casino, meneja huyo akampigia simu yule mwathirika na kuanza kumtishia na kumwambia kwanini amemtumia Waandishi wa Habari.

Kutokana na kitendo hicho cha kumpigia simu Mhathirika na kumtishia, Mwanamke huyo akaamua kuwatafuta Waandishi na kuwapa taarifa ya kile kinachoendelea kutoka kwa Meneja huyo,

Waandishi wakaamua kumpigia simu meneja na kumhoji kwamba kwanini anampigia simu Mhanga wakati alisema hamfahamu na wala hakuna tukio lolote ambalo lilitokea pale.

Baada ya kupigiwa simu na Waandishi akachukua namba za Waandishi hao na kuzituma kwa Boss wake (Mzungu) ambaye siku ya leo majira ya saa nne asubuhi (Aprili 29, 2024) akaanza kuwapigia simu na kuwatukana matusi mazito ya nguoni na kuwatishia maisha kwa kusema atafanya kila awezalo ili awatoe Uhai sababu anadai wanafuatilia mambo yasiyowahusu.

Waandishi hao baada ya kutishiwa maisha wakaamua kwenda kuripoti Kituo cha Polisi cha Kati Mbeya Mjini na kupewa RB.
Hivi unabakwa usipige kelele?
Dada kaiba kiasi gani cha fedha, aseme ukweli.
 
Kwa kweli inafikirisha kwanini asipige kelele wakati anachukuliwa na aliposhushwa hotelini mapokezi kwanini asingepiga kelele, sana sana nionavyo huenda mzungu kiasi alichompa hakikuwa matarajio yake ukizingatia kwamba yeye ni boss/tajiri. Kwenye hili najiuliza swali moja mzungu angempa labda laki 2 au 5 hivi tungeyasikia haya? Kuna wanaume wengine anamchukua mwanamke anafika naye room wanashindwa kuafikiana bei ila unakuta jamaa anaforce hivyo hivyo anamlala, ndo hapo unakuta demu anapayuka kwamba kabakwa mara ooh! ili mradi tu amkomoe jamaa


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Duuh, Huyo Meneja Muro Chawa wa Mzungu na huyo Mzungu wanajikuta wao ni nani?

Hapa ndipo Wananchi wanamkumbuka Magu na kusema laiti angekuwepo Magufuli....Mzungu angejamba cheche
Kwahiyo alivyokuwepo yeye hakukuwepo matukio yoyote ya watu kunyanyaswa!
 
Casino lipo upande gani au yale ma vifaa ya game pale CITY PUB? Utakuta huyo mdada kaiba hela alafu anataka kutuhusisha kwenye kumuonea huruma kwenye majanga yake?
Usidhani ukarukia hitimisho, umehoji pande zote mbili au mihemko tu
 
Pesa huinyamizisha sauti yenye haki siku zote... Haki kuipata ni mchakato, unyanyasaji umekua kwa kasi na kwa style mbalimbali, watu ni wengi hutendwa, serikali vitu kama hivi vikionekana kwenye umma wachukulie hatua na kuipa nafasi kuidadisi watu wapate haki zao.. Tena mgeni anafanya unyanyasaji kwa mzawa katika ardhi yake na serikali inakaa kimya.
 
Kwahiyo alichukuliwa kazini kwa nguvu na walivyofika hotelini akaingizwa hotelini kwa nguvu na akavuliwa nguo kwa nguvu na bado alinyamaza hata kupiga kelele za kujaza watu kashindwa!
Mkuu tuhuma hizi zinamushkeli, hasa ukiamua kuisikiliza stori ya tuhuma yenyewe na kuitafakari!

Mwanamke mtu mzima kulazimishwa mapenzi kwa njia hizo na kushindwa kuweka vigezo vya ushahidi wa tukio ni jambo lisilowezekana.
 
Mnamo tarehe 8/04/2024 Majira ya saa 2 Usiku katika Kata ya Iyela Wilaya ya Mbeya Mjini inasadikika Mkurugenzi wa Kampuni ya City Casino raia wa Burgalia anayeitwa Vasil Dosev Dimitrov, alimchukua kwa nguvu mfanyakazi wake wa kike jina linahifadhiwa na kwenda kumfanyia ukatili wa Kijinsia na kingono katika hoteli moja maarufu hapa Jijini Mbeya.

Baada ya tukio hilo, Dimitrov akamtuma dereva wake ambaye alimrudisha mwanamke huyo nyumbani kwake Uyole anakoishi na mume wake majira ya saa saba usiku.

Baada ya kufikishwa nyumbani kwake na kuingia ndani huku akilia, aliulizwa na mume wake nini kimetokea, akamuelezea kilichotokea kwamba boss wake huyo alimchukua kwa nguvu kabla hata ya muda wa kufunga ofisi huku akimtishia Kwamba endapo atafanya chochote atamfanyia kitu kibaya.

Mwanamke huyo anasema Mkurugenzi huyo wa City Casino inasemekana alianza kumkaba na kumvuta na kumsukumia ndani ya gari kisha kufunga mlango wa gari na kumuamuru dereva wake anayejulikana kwa jina la Miraji Rashid Swaibu ambaye pia ni fundi wa mashine za PS kuwasha gari na kuondoka eneo la Casino na kwenda Hotelini.

Mume wa Mwanamke huyo baada ya kusimuliwa kila kitu aliamua kuchukua uamuzi wa kwenda kuripoti Kituo cha Polisi Mwanjelwa.

Baada ya kufungua kesi kijana huyo aliamua kuwatafuta SMAUJATA ili waweze kumsaidia kupata Mwanasheria ambaye atasimamia kesi hiyo.

Tarehe 10 Aprili, 2024, Dereva wa Mkurugenzi huyo alionekana maeneo ya Casino na hivyo kumfanya Mume wa Mhanga kupiga simu Polisi na Dereva huyo akakamatwa na kufikishwa Kituo cha Polisi.

Dereve huyo hakukaa muda mrefu akaachiwa kutoka Kituo cha Polisi.

Baada ya kuachiwa kwa Dereva huyo akaenda moja kwa moja kwa Mume wa Mwanamke aliyefanyiwa ukatili na kuanza kumtolea maneno ya kebehi, akimwambia mkewe amefanywa kwa nguvu na Mzungu na Hana cha kumfanya.

Baada ya mume kuona hapati Haki yake kutoka na kudai Mzungu kutumia nguvu ya kiuchumi kumzunguka kwa Vyombo vya Usalama, ndipo akaamua kuwatafuta Waandishi wa Habari na kuwapa kisa kizima alichofanyiwa mke wake na Mkurugenzi huyo.

Waandishi wa Habari baada ya kupata maelezo kutoka kwa Mhanga na Mume wake wakaamua kwenda kwa Meneja wa Casino hiyo ili kupata ukweli wa jambo husika lakini walikosa ushirikiano baada ya meneja huyo anayefahamika kwa jina la Winrose James Muro kudai hamfahamu huyo Mwanamke aliyefanyiwa ukatili.

Waandishi walivyoondoka tu eneo la Casino, meneja huyo akampigia simu yule mwathirika na kuanza kumtishia na kumwambia kwanini amemtumia Waandishi wa Habari.

Kutokana na kitendo hicho cha kumpigia simu Mhathirika na kumtishia, Mwanamke huyo akaamua kuwatafuta Waandishi na kuwapa taarifa ya kile kinachoendelea kutoka kwa Meneja huyo,

Waandishi wakaamua kumpigia simu meneja na kumhoji kwamba kwanini anampigia simu Mhanga wakati alisema hamfahamu na wala hakuna tukio lolote ambalo lilitokea pale.

Baada ya kupigiwa simu na Waandishi akachukua namba za Waandishi hao na kuzituma kwa Boss wake (Mzungu) ambaye siku ya leo majira ya saa nne asubuhi (Aprili 29, 2024) akaanza kuwapigia simu na kuwatukana matusi mazito ya nguoni na kuwatishia maisha kwa kusema atafanya kila awezalo ili awatoe Uhai sababu anadai wanafuatilia mambo yasiyowahusu.

Waandishi hao baada ya kutishiwa maisha wakaamua kwenda kuripoti Kituo cha Polisi cha Kati Mbeya Mjini na kupewa RB.
Kwa nguvu alifungwa kamba au alitembea mwenyewe kwanini asipige kelele!
 
Kwahiyo alichukuliwa kazini kwa nguvu na walivyofika hotelini akaingizwa hotelini kwa nguvu na akavuliwa nguo kwa nguvu na bado alinyamaza hata kupiga kelele za kujaza watu kashindwa!
Receptionists hawakuwepo wakati analazimishwa kuingizwa chumbani🙆🙆🙆. Tuache utani Kuna hoteli zingine siyo lazima upitie reception hasa kama receptionists wamepangwa.
 
Receptionists hawakuwepo wakati analazimishwa kuingizwa chumbani🙆🙆🙆. Tuache utani Kuna hoteli zingine siyo lazima upitie reception hasa kama receptionists wamepangwa.
Kwahiyo ukifika hotelini unajihudumia mwenyewe! Yaani unatoa pesa na kujichukulia funguo au siyo!
 
Back
Top Bottom