KERO Mkurugenzi Garda World jitafakari, wafanyakazi tumekuchoka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mkuu
Huyo jamaa ni dizaini ya watu wa mfumk
Wana roho fulani hivi ya Hangaya
 
Pole sana mkuu. Lakini kama umefanya kazi kwa zaidi ya miaka 10, ni vema utafute option nyingine.
 
Boss akiwa na Tamaa na Mbinafsi asee Mtateseka maana atawaza tumbo lake tu.
 
Wewe utakuwa Team Leader au Member wa top Management ya hio Kampuni, Mana Uko detailed sana japo uandishi wako Mbovu
Hpn mkuu mi mlinzi wa kawaida Top leader wanakunja Hela ndefu hawawezi kuja kubweka hapa pia asilimia kubwa ni chawa wake Tafta mlinzi yoyote wa ultimate sio kk muulize atakwambia hivyo hivyo 🤣🤣🤣 wakongwe wa yas (tigo) nasikia Nako alipita wanamjua bwana luQmay.
 
Sawa Mkuu RRONDO amesema Anamforwadia hii thread aje apite hapa aone ila Pia Gardaworld ni Kampuni ya Kimataifa nashauri muwandikie Email Wakubwa huko Juu wazione hizo Concern zenu, I hope wata respond immediately
 
Sawa Mkuu RRONDO amesema Anamforwadia hii thread aje apite hapa aone ila Pia Gardaworld ni Kampuni ya Kimataifa nashauri muwandikie Email Wakubwa huko Juu wazione hizo Concern zenu, I hope wata respond immediately
mkuu hii ishu aliitisha kikao mwezi wa tisa akakubali kutulipa mbaka Leo kimya asaiv anapunguza watu Kwa njian ya umri umeenda nk tumeenda mahakaman tukashinda tumeenda mbaka ubalozini ndio hivyo jamaa alisema tu nitawalipa asaiv tuna karbu miez mitatu yeye anatupunguza Kwa vigezo vya uzee nk kiufupi jamaa ni muhuni watu wa tigo nadhani wanamjua zaidi maana alikuwa kwao kabla.
 
room 106

0744 033 555
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…