Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mkuu hela hizi zina mengi sana... hayo kitaalamu yanaitwa "Magumu", vijana tunakomaa sura tunapitia magumjJamaa anajifanya Big Brother.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hela hizi zina mengi sana... hayo kitaalamu yanaitwa "Magumu", vijana tunakomaa sura tunapitia magumjJamaa anajifanya Big Brother.
Hapo kuwashaur wakomae tu huku walitafuta kazi zingine, au wajiajri machimbo nawaelekezaga humu bure kabisaMkuu wasaidie mawazo jenzi sio kuwakatisha tamaa unawatengenezea stress na sintofahamu
Inavyoonesha kuna mambo gizani yanaendelea huku kila mmoja ndani ya jumba akimsonya mwingine kumbe aliyewafungia hayumo kwenye chumba cha giza!!
Hii hatari na nusuBoss uttoh2002
Mawazo na maoni ya mwingine yaheshimiwe
Eti mfanyakazi ajivike sifa za
1. Unafiki
2. Kuvumilia
3. Kujipendekza
4. Mmbeya (mtu wa kutia chumvi au kuongeza maji mengine) kuondoa au kukoleza ladha ya sifa au lalamiko wakati anateseka na kuogelea kwenye viashiria vya umasikini kwa mshahara wa kula bia kuweka akiba kwa maendeleo binafsi?
Nawewe ni Yale Yale mavijana ya hovyo Sasa umeandika niniUlipotaja neno KELO nikasikitisha kusoma hapo hapo.
Acha kaziGardawada malalamiko ni mengi sana hasa wafanyakazi askari maeneo ya kanda ya ziwa, wana viongozi miungu watu sana
blessings Kwanini Unamjibu mwenzio kwa lugha chafu kama hiyo?, Hii inathibitisha hata wanavyolalamika mnawanyanyasa na kuwanyima haki zao za kisheria kisa mko kwenye madaraka ya muda. Usimtendee mwinzio jambo ambalo wewe hupendi kutendewa...period. Sekta ya ulinzi ninyi viongozi mbona mnadharau sana kwa walinzi wanaowazalishia na kupata mishahara minono kuwazidi wao halafu unajibu nyodo!!! Huu ni uvunjifu wa haki za binadamuAcha kazi
Wewe jamaa hauna akili, wewe ni limbukeni, mimi nimeongea kuhusu malalamiko ya wafanyakazi wenu na hii haimaanishi kuwa mimi ni mfanyakazi wa hilo kundi lenu la ulinzi, kuwa na heshima bwana mdogo.Acha kazi
The game has been closed. Nobody will be paid anything and transfers to be undertaken without obstacles. Age range from 55+ to be eliminated from voluntary and compulsory retirement plans, and will extrovert individuals lose support, thereby being easily axed?!!! @KK, USTL mpo?Wewe jamaa hauna akili, wewe ni limbukeni, mimi nimeongea kuhusu malalamiko ya wafanyakazi wenu na hii haimaanishi kuwa mimi ni mfanyakazi wa hilo kundi lenu la ulinzi, kuwa na heshima bwana mdogo.
Kiswahili mkuuThe game has been closed. Nobody will be paid anything and transfers to be undertaken without obstacles. Age range from 55+ to be eliminated from voluntary and compulsory retirement plans, and will extrovert individuals lose support, thereby being easily axed?!!! @KK, USTL mpo?
Mchezo umeshafungwa. Hakuna atakayelipwa chochote na uhamisho wa jira utafanyika bila kizuizi. Wenye umri zaidi ya miaka 55 wataondoshwa kwenye ajira ama kwa hiari au kwa lazima ya kustaafu kwa mjibu wa sheria. Waongeaji sana watakosa kuungwa mkono na wenzao kwa hofu hivyo itakuwa rahisi kuondoshwa.Kiswahili mkuu
Mkate uliiokwa kwa matumizi ya familia unaenda kwa mtoto wa kuasili wakati mtoto halisi kwa jina la ukoo wake yuko pembeni akisubiria masalia yanayodondoshwa chini yafagliwe kama taka kisha aanze kunyang'anyana na mbwa na paka..................fumbo mfumbie mjinga mwerevu huling'amua.....the deal is doneMchezo umeshafungwa. Hakuna atakayelipwa chochote na uhamisho wa jira utafanyika bila kizuizi. Wenye umri zaidi ya miaka 55 wataondoshwa kwenye ajira ama kwa hiari au kwa lazima ya kustaafu kwa mjibu wa sheria. Waongeaji sana watakosa kuungwa mkono na wenzao kwa hofu hivyo itakuwa rahisi kuondoshwa.
Namba imefunikwa vumbi hamuwezi kuiona na mwendeshaji hamtamtabua kwa hiyo hamna uwezo wa kumdai chochote.. Hiyo ndio mrejesho hai Unachodai na stahiki yoyote unayopaswa kuibugia ilishayeyuka na ukurasa ulishajifunga na kuganda kwenye gundi ya miti.Mkate uliiokwa kwa matumizi ya familia unaenda kwa mtoto wa kuasili wakati mtoto halisi kwa jina la ukoo wake yuko pembeni akisubiria masalia yanayodondoshwa chini yafagliwe kama taka kisha aanze kunyang'anyana na mbwa na paka..................fumbo mfumbie mjinga mwerevu huling'amua.....the deal is done
Mmeelewa lakini nyie Quebeque na Bangalore?Namba imefunikwa vumbi hamuwezi kuiona na mwendeshaji hamtamtabua kwa hiyo hamna uwezo wa kumdai chochote.. Hiyo ndio mrejesho hai Unachodai na stahiki yoyote unayopaswa kuibugia ilishayeyuka na ukurasa ulishajifunga na kuganda kwenye gundi ya miti.
Kiukweli hawa Gada hatuwaelewi alikubali mbaka mda huu wameshatoa wazee bila kuwalipa pesa walizokuwa wanadai pia wamestafishwa bila kulipwa kiinua mgongo na mkono wa Kwa heri ambapo hapo mwanzo tulikuwa tunalipwa vizur lkn gafla wazee wameambiwa Ile ilikuwa ni hisani ya kampuni sio sheria Kwa hiyo amesitisha kiuharisia gada hamna kazi kicho Baki ni kufanya maarifa nje ya kampuni maana hatuna tena mtetezi tena.Mbona mwapunguzwa kupitia umri mkubwa kabla ya malipo yahusuyo mkataba wa jira kutozingatiwa katika mchakato wa ubadilishaji jina na kuhamisha?
Je, walinzi wa kampuni zote zilizonunuliwa mnalipwa au mojawapo tu?
Hampati vitisho tena vya kudai haki yenu?
#The person who hurts you is the person who knows you.
#When you mention a snake get hold of a stick.
#A tree drops nothing on those who are not there.
'Poleni' wakuu haki haipotei, na anayejaribu kuipoteza ukose kwa hila hupotea yeye.