Mkuu,
Tafadhali tueleweshe pima katika hili zonge!!!
Inasemekana Gardaworld imenunua KK Security na Ultimate Security na kuanzisha kampuni kwa usajili wa Tanzania iitwayo Gardaworld West. Lakini cha ajabu mchakato wa kuwabadilisha kutoka kampuni za zamani unafanyika kwa kampuni ya Ultimate Security pekee na kwamba hao ndio watalipwa wengine inadaiwa walishamalizana nao!
Je, kuna ukweli kiasi gani kuhusu mchakato huo kwamba KK Security na Gardaworld West wenyewe sio sehemu ya kulipwa?
uttoh2002 Extrovert OKW BOBAN SUNZU Kalaga Baho Nongwa
Wakilipwa, Ultimate Security na KK Security wakaachwa ni halali na mahusiano kati ya walinzi wa kampuni hizo mfilisi zitakuwa katika hali gani na hujuma zikakosekana?
Elimu au ushauri unaotolewa na wataalamu wa kukodi una tija kwa kampuni na wafanyakazi au ni utumbuaji wa posho ambazo laiti watu wote wangelipwa wangepunguza gharama na hasara baada ya zoezi kukamilika kisha kesi nyingi kufunguliwa na baadhi yao wakidai kutoridhishwa na uendeshaji wa zoezi la uhamishaji ajira?