TANZIA Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini

Yule mama lazima atumie hii nafasi kujinadi
 
Marehemu alikuwa CHAIN smoker wa miongo mingi!!! Highly likely kuwa ndio zilizo muathili!!!

Mkwere ni lazima alie sana kwani huyu ndiye aliyemuwuweka madarakani!!
And the worse thing... kafariki siku ambayo mkwere anasherekea siku yake ya kuzaliwa... october 7 ..
 
Pumzika katika Nyumba ya milelel Mzee Apson...

Pole wafiwa wote.
 
Afrika Kusini alipelekwa Na familia? Kwanini familia ithibitishe kifo cha Mtendaji Mkuu wa idara ya serikali? Taarifa hiyo Ina ukweli gani?
kunbe alikuwa bado ni mtendaji mkuu?
 
Jimmy nani chansa au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…