Nkwakidudu
Senior Member
- Feb 26, 2017
- 160
- 174
Radar??? Enzi za Dalali Vihlani.Labda wenzetu wanatengeneza historia mpya; Apson anahusika na mambo fulani... kwa tunaokumbuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Radar??? Enzi za Dalali Vihlani.Labda wenzetu wanatengeneza historia mpya; Apson anahusika na mambo fulani... kwa tunaokumbuka
Idara ya CCM?Hakika idara imepoteza jembe la kazi....Polen sana wafiwa na familia nzima ya marehemu mzee Apson
Yule mama lazima atumie hii nafasi kujinadiMkurugenzi Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia leo Oktoba 7, nchini Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa, familia yake imethibitisha.
View attachment 1226052Pia soma
Rais Magufuli akimjulia hali Apson Mwang'onda hospitalini enzi za uhai wake
Apson: The Beginning of TISS's Failure
Tunapozungumzia idara ya Usalama wa Taifa na jinsi imeiangusha serikali yetu na kuweka usalama wa taifa letu hatarini nafasi ya Bw. Apson Mwang'onda haiwezi kupuuzwa. Baadhi ya matukio yaliyotokea na kuruhusu ufisadi nchini yalitokea wakati wa "ulinzi" wake na hatujui ni kwa kiasi gani...www.jamiiforums.com
Ukiandika hospitali bila kukopi simu itaweka hospitality, haihitaji lawama kama ni mtumiaji wa simu janja.Hospitality mkuu?
amna mkurugenzi marehemuNi mkurugenzi mstaafu wa TISS
And the worse thing... kafariki siku ambayo mkwere anasherekea siku yake ya kuzaliwa... october 7 ..Marehemu alikuwa CHAIN smoker wa miongo mingi!!! Highly likely kuwa ndio zilizo muathili!!!
Mkwere ni lazima alie sana kwani huyu ndiye aliyemuwuweka madarakani!!
nikajua ni weweR.i.p
kitengo mwenzioRIP Baba Jimmy aiseeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!
iyo suruali yake jau
hapana hakustaafuHuyu alistaafu lini?
kunbe alikuwa bado ni mtendaji mkuu?Afrika Kusini alipelekwa Na familia? Kwanini familia ithibitishe kifo cha Mtendaji Mkuu wa idara ya serikali? Taarifa hiyo Ina ukweli gani?
cha kushangaza hata wazazi wako ni waswahiliMtu ameshafariki halafu nawe tena ' Unamsimanga ' hapa je, umeambiwa kuwa ' Maiti ' huwa inasikia? Miswahili bhana!
unamuuliza Nani ?Hivi Kifo cha Imran Kombe hadi leo Watanzania tuliambiwa kilitokana na nini hasa au nini kilitokea hadi Umauti kumkuta vile?
visima vingi lakini maji ni yale yaleKwanini hakuisaidia nchi ijenge hospitali bora ili atibiwe hapa hapa!?
Au na yeye alikuwa miongoni wa genge la mafisadi?
kariakoo shimoniApson alisomea wapi ujasusi?
Jimmy nani chansa au?Mwambie ' Brazameni ' Jimmy asisahau Kupitisha Kitabu cha Maombolezo cha Msiba wa Baba yake kwa wana Darasa la Saba Wenzake wa ' Obey ' wa mwaka 1992 chini ya Mwalimu Mkuu Marehemu Mama Ng'ambi. Na kwa Kuanzia tu aanze upesi sana na Dada Brenda Msangi Boss Mkuu pale CCBRT Msasani kisha amuwahi na aliyekuwa Jirani yake wakati wakiishi Jirani na Maogesheo ya Mbwa pale ' roundabout ' mita chache tu kutoka Shule ya Msingi ya Obey Dada Mwasu Lubuva ( Binti wa Mzee Jaji Mstaafu Damian Lubuva ) Mimi mchango wangu pekee ambao nitautoa kwakuwa ni ' apeche alolo ' ni wa kupokea tu hiyo Michango, Kuihesabu Kiukamilifu kisha anaihakiki halafu namkabidhi Tom.
Poleni sana Familia ya Mzee Colonel Apson Mwang'onda, Bwana ametoa na Bwana ametwaa pia. Tupo pamoja hasa katika Kipindi hiki Kigumu mno na cha Majonzi ambacho mnakipitia na kikubwa tu nawaomba muwe Wavumilivu na tumuombee Mzee ili basi Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake kama Binadamu wengine, ampokee na amlaze mahala pema peponi Amen / Amina.
Sijajua kwa sasa Msiba upo wapi ila mkitusadia kutupa Maelekezo tutashukuru ili na Sisi wengine tuweze Kujumuika nanyi.
sisi usalama wa taifa mnatuinea sana. njaa tu
ha ahaaa
[emoji14][emoji13]
Kwa hiyo Mungu anatumia maoni ya hapa JF kuchukua hatua stahiki kwa wote wanaotangulia mbele ya haki?