TANZIA Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Apson Mwang’onda afariki Dunia nchini Afrika Kusini

Mleta uzi lengo lake ni kutuambia historia ya Leaders Club!
 
Beny

Ova
 
Jana nlipita mitaa hiyo....mbezi kuzuga
Ebwana mzee mzena wa adaestate nmemkumbuka mpk kesho naona familia yke iko pale wakina Nani???

Ova
 
jifunze ku balance shobo utaolewa Dar pagumu
 
Hapa kuna mkusanyiko wa maneno tu, hakuna ujumbe wowote
 
Tukiuza nyumba zetu hao watakaonunua watakumbana na shida hiyo hiyo tunayokabiliana nayo. Haya maeneo wazee waliyanunua tangu miaka ya 70 mwishoni, mvua huja na kuondoka, maishani ukiwa mwoga unajipunguzia wigo wa kutafuta maendeleo ya kwako binafsi na ya jamii nzima.
 
Ngoja nika review kama wakati wa kusaini mikataba ya ACACIA na ujangili uliokuwa ukifanyika pale BOT kama alikuwa kwenye system halafu wote ulio wataja kwa sifa zote hizo basi Tanzania ingekuwa kama S.Africa,

Hata rais sijui kama atahudhuria kwenye mazishi maana anajua namna walivyo iharibu hii nchi
 
Labda kwa waso.ju.kana
 
Umesema kifo chake ni pigo kwa nchi na Afrika. Umeitaja Afrika kivipi?
 
Aisee..
R.i.p mzee wetu ..nikikumbuka ulivyotoaga amri ya ile ishu ya nanii daaa..any way acha niishie hapo mungu akuweke pahali pema boss
 
Mbona mpaka leo kila baa watu tungi likishawabamba wote wanai kuwa ni watu wa System.

Marehemu alifanikiwa kweli?
Walevi wengine ni walevi fake, na baa ni moja ya maeneo yao ya kutega.
 
hasara kuzaa hili dude

Koo zako zote mbili zingepata kuwa na Mtu ' BRAINIAC ' kama Mimi An Eagle nadhani ungejisifu na mngekuwa na Maendeleo ila kwa bahati mbaya sana imekuwa ni Kinyume chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…