Utaratibu umeshatolewa fuateni taratibu acheni majunguWanawanyima Bima Za Afya Watoto Wetu Waumwe Wafe Ila Wakwao Wazidi Kututawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaratibu umeshatolewa fuateni taratibu acheni majunguWanawanyima Bima Za Afya Watoto Wetu Waumwe Wafe Ila Wakwao Wazidi Kututawala
Mbona watoto wengine wanaendelea kujiunga kwa kufuata utaratibu uliopo? Zingatia taratibu InazowekwaWanaondoa toto card halafu wanaleta bla bla
Walishindwa kwenda huko mashuleni kutoa elimu, na watoto wakajiunga kabla ya kufuta toto card?
Sio wabunifu kabisa
Waziri unakula matango pori
Acha majungu lete hojaHuyu jamaa ni mkiburi kishenzi - yaani anaonesha ukatili wa wazi wazi kwa sababu kazi ake imekuwa ni kuiteka Bodi yake na kujikomba kwa Mawaziri mpaka Makatibu wakuu.
Huyu analazimisha ili watoto wa shule fulani waweze kupata bima ya matibabu eti mpaka idadi yao ifike 50 na kuendelea.
Huyu hajui kwamba kuna shule zina watoto 20 tu. Amezuia hata wale watoto ambao tayari walikuwa na bima wasirenew bima zao ati kwa kuwa shule aliyoenda mtoto husika hawajasajili zaidi ya watoto 50.
Huyu mtu amelewa madaraka na ni mkiburi sana. Ukiwa naye hata katika vikao wanapokuwepo viongozi basi hata namna ya ukaaji wake hamna hata unyenyekevu - yaani anajiweka kama Mungu Mtu, Ningemshauri kwa umri wake ule awe humble, ajiweke katika nafasi ya jamii ya hali ya chini. Sivyo huyu mtu hana utu - na hafai kabisa kuongoza taasisi kama ile inayopaswa kutanguliza huruma mbele.
NHIF ni watoa huduma, si michango tu ya wanachama bali hata kodi za WaTanzania inatumika kufikisha huduma hizo kwetu.
Huyu mtu asipojirekebisha anaumiza wengi na ndiyo chanzo cha kufanya Ummy alalamikiwe.
Acha majungu lete hoja
Tumezidi majunguHuyu jamaa ni mkiburi kishenzi - yaani anaonesha ukatili wa wazi wazi kwa sababu kazi ake imekuwa ni kuiteka Bodi yake na kujikomba kwa Mawaziri mpaka Makatibu wakuu.
Huyu analazimisha ili watoto wa shule fulani waweze kupata bima ya matibabu eti mpaka idadi yao ifike 50 na kuendelea.
Huyu hajui kwamba kuna shule zina watoto 20 tu. Amezuia hata wale watoto ambao tayari walikuwa na bima wasirenew bima zao ati kwa kuwa shule aliyoenda mtoto husika hawajasajili zaidi ya watoto 50.
Huyu mtu amelewa madaraka na ni mkiburi sana. Ukiwa naye hata katika vikao wanapokuwepo viongozi basi hata namna ya ukaaji wake hamna hata unyenyekevu - yaani anajiweka kama Mungu Mtu, Ningemshauri kwa umri wake ule awe humble, ajiweke katika nafasi ya jamii ya hali ya chini. Sivyo huyu mtu hana utu - na hafai kabisa kuongoza taasisi kama ile inayopaswa kutanguliza huruma mbele.
NHIF ni watoa huduma, si michango tu ya wanachama bali hata kodi za WaTanzania inatumika kufikisha huduma hizo kwetu.
Huyu mtu asipojirekebisha anaumiza wengi na ndiyo chanzo cha kufanya Ummy alalamikiwe.
Majungu gani sasa? Elezea wewe wapi kuna majungu?Tumezidi majungu
Kwani miaka mingine tuliishije?Ana mamlaka ya maamuzi, tofautisha kiburi na mamlaka yake, akiwachekea nyie mtakula mpaka mbegu, kazia hapo hapo ndugu Mkurugenzi
Vizuri tuKwani miaka mingine tuliishije?
Ijapo simjui lakini huenda atakuwa daktari.Huyu jamaa ni mkiburi kishenzi - yaani anaonesha ukatili wa wazi wazi kwa sababu kazi ake imekuwa ni kuiteka Bodi yake na kujikomba kwa Mawaziri mpaka Makatibu wakuu.
Huyu analazimisha ili watoto wa shule fulani waweze kupata bima ya matibabu eti mpaka idadi yao ifike 50 na kuendelea.
Huyu hajui kwamba kuna shule zina watoto 20 tu. Amezuia hata wale watoto ambao tayari walikuwa na bima wasirenew bima zao ati kwa kuwa shule aliyoenda mtoto husika hawajasajili zaidi ya watoto 50.
Huyu mtu amelewa madaraka na ni mkiburi sana. Ukiwa naye hata katika vikao wanapokuwepo viongozi basi hata namna ya ukaaji wake hamna hata unyenyekevu - yaani anajiweka kama Mungu Mtu, Ningemshauri kwa umri wake ule awe humble, ajiweke katika nafasi ya jamii ya hali ya chini. Sivyo huyu mtu hana utu - na hafai kabisa kuongoza taasisi kama ile inayopaswa kutanguliza huruma mbele.
NHIF ni watoa huduma, si michango tu ya wanachama bali hata kodi za WaTanzania inatumika kufikisha huduma hizo kwetu.
Huyu mtu asipojirekebisha anaumiza wengi na ndiyo chanzo cha kufanya Ummy alalamikiwe.
Sidhani km huu ni DakariIjapo simjui lakini huenda atakuwa daktari.
Madaktari wengi wana roho.mbaya sana.Wengi wametokea familia maskini na hivyo wanapata nguvu kubwa ya kuwakandamiza maskini kwa kuwa wanadhani hawa watu hawawajibikii kuondoa umaskini wao.
Madaktari wengi ni wabinafsi sana,sana roho mbaya na hawapendi watu wafanikiwe hata kama ni kihalali.Kifupi wako tayari wakose wote iwapo tu kati ya wanaofaidika kuna watu hawawapendi
Acha uzushi. Sina hata masilahi binafsi na NHIF au DG wao Kikubwa ni wau hawa kufana kazi basiVizuri tu
Na amekua pale zaidi ya miaka sita
Kwahiyo kiburi kaanza lini?
Kuna agenda nzuri tu ya distabilization na Iko very poorly crafted… mwezi sasa ni wizara ya afya , wakimaliza wanahama
And target ni Maza apoteze focus ifike July ni vurugu tupu
Anyways… tuendeee kupiga mawe
Tulishasema hapa kwa nature ya majukumu, kazi na lengo la NHIF, umri wake huyu DG hautoshi kuwa ktk nafasi hii..Huyu jamaa ni mkiburi kishenzi - yaani anaonesha ukatili wa wazi wazi kwa sababu kazi ake imekuwa ni kuiteka Bodi yake na kujikomba kwa Mawaziri mpaka Makatibu wakuu.
Huyu analazimisha ili watoto wa shule fulani waweze kupata bima ya matibabu eti mpaka idadi yao ifike 50 na kuendelea.
Huyu hajui kwamba kuna shule zina watoto 20 tu. Amezuia hata wale watoto ambao tayari walikuwa na bima wasirenew bima zao ati kwa kuwa shule aliyoenda mtoto husika hawajasajili zaidi ya watoto 50.
Huyu mtu amelewa madaraka na ni mkiburi sana. Ukiwa naye hata katika vikao wanapokuwepo viongozi basi hata namna ya ukaaji wake hamna hata unyenyekevu - yaani anajiweka kama Mungu Mtu, Ningemshauri kwa umri wake ule awe humble, ajiweke katika nafasi ya jamii ya hali ya chini. Sivyo huyu mtu hana utu - na hafai kabisa kuongoza taasisi kama ile inayopaswa kutanguliza huruma mbele.
NHIF ni watoa huduma, si michango tu ya wanachama bali hata kodi za WaTanzania inatumika kufikisha huduma hizo kwetu.
Huyu mtu asipojirekebisha anaumiza wengi na ndiyo chanzo cha kufanya Ummy alalamikiwe.
Umri upi unafaaTulishasema hapa kwa nature ya majukumu, kazi na lengo la NHIF, umri wake huyu DG hautoshi kuwa ktk nafasi hii..
Watu wengine wakipataga vi madaraka kama hivi, basi wanajiona kama miungu!System nzima ni corrupt