Mkurugenzi Mkuu NHIF ni kati ya wanaomponza Ummy Mwalimu

Mkurugenzi Mkuu NHIF ni kati ya wanaomponza Ummy Mwalimu

Nilisikiliza kwa makini ufafanuzi wa kwanini wanafuta bima ya afya kwa watoto nilitamani nilie.

Moja wapo ya sababu ilikuwa ni asilimia ndogo ya watoto waliojiunga na bima husika ni ndogo sana kwani wazazi tayari wamewalipia kwenye bima ya makazini kwao .

Lakini ukweli ni kuwa idadi ya waajiriwa serikalini na kampuni binafsi wenye bima husika ni asilimia ndogo ya mahitaji halisi kwani watanzania wenye ajira rasmi wakujiunga na mifumo hiyo ya bima kazini ni wachache sana ukilinganisha na idadi kubwa iliyoko mtaani ambao bima ya afya kwa watoto ilikuwa ni mkombozi wao
 
NHIF wapuuzi sana. Walaaniwe.
Nilisikiliza kwa makini ufafanuzi wa kwanini wanafuta bima ya afya kwa watoto nilitamani nilie.

Moja wapo ya sababu ilikuwa ni asilimia ndogo ya watoto waliojiunga na bima husika ni ndogo sana kwani wazazi tayari wamewalipia kwenye bima ya makazini kwao .

Lakini ukweli ni kuwa idadi ya waajiriwa serikalini na kampuni binafsi wenye bima husika ni asilimia ndogo ya mahitaji halisi kwani watanzania wenye ajira rasmi wakujiunga na mifumo hiyo ya bima kazini ni wachache sana ukilinganisha na idadi kubwa iliyoko mtaani ambao bima ya afya kwa watoto ilikuwa ni mkombozi wao
 
Wanaondoa toto card halafu wanaleta bla bla

Walishindwa kwenda huko mashuleni kutoa elimu, na watoto wakajiunga kabla ya kufuta toto card?

Sio wabunifu kabisa

Waziri unakula matango pori
Uzawa, sio ndio kigezo Cha ajira. Haya mambo yanahitaji uwezo. Sio uzawa. Ngoja tulizwe
 
It’s general knowledge Ummy ni kilaza.

Lakini kwenye hili la NHIF kumtupia lawama waziri yeyote ni kumuonea unless ni technocrat wa finance (bottom line kwenye kuisimamia NHIF) unaitaji abc za finance na asilimia kubwa ya mawaziri duniani kote kwenye mambo hayo wanategemea ushauri wa technocrats wa maswala ya finnvcd kutoka wizarani au serikalini.

Zaidi ya hapo kuna bunge la kumsaidia waziri kwenye kuamua kupitia michango yao anapata knowledge.

Bunge ambalo:
Lina pokea report ya CAG na maelezo yake. Report ya mwisho inaeleza kuna fraud za wachangiaji, fraud za service providers na fraud za ndani ya taasisi. Hii ni risk kubwa ya budget planning inayopelekea kuwa na shortfall ya payments. Usipodhibiti itapelekea pricing and insurance coverage changes kwa wachangiaji to sustain the business (ndio kinachotokea) yote hayo ni kwa sababu ya kuchukulia ufisadi poa.​
Its pointless kupanga business strategy yeyote bila kuziba mianya ya upotevu wa hela especially kama hasara yenyewe ya upotevu ni over tsh 100 billion.​
Kuna bunge zima linalopokea CAG report na bunge hilo-hilo linaidhinisha mipango ya NHIF, without scrutiny.​
Kuna kamati ya bunge specific ambayo inatakiwa ku scrutinise uendeshwaji wa NHIF na weledi wake.​
Kuna wizara ya afya na wataalamu wake wa kumshauri waziri​
Kuna wataalamu wa serikali. Baraza la makatibu wakuu wa wizara zote uwa wanakutana, kujadili na kushauriana sera za serikali, kuna kikao cha baraza la mawaziri. Hadi hayo mabadiliko yapitishwe na bunge na kuwa sheria kuna watu wengi wa kulaumiwa.​

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, yes waziri ni incompetent but there is enough blame to be shared and the bulk of that blame lies with the weak parliament, weak parliament committee, TAKUKURU (kwenye kufanyia kazi report ya CAG), NHIF board (kufanyia kazi report ya CAG) na uzembe wa civil service kwa ujumla wao

Kwenye hili Ummy ni victim of circumstances (ni mtu wa mwisho kwenye hierarchy ya lawama) if anything hii ni exposure tumejaza viazi huko mawizara, waziri ashauriwi vizuri, and yes it doesn’t help her having limited knowledge to how things ought to work she is gullible to the ill advice received from NHIF without ministry financiers to counter argue or challenge the proposal.

Tatizo la NHIF sio la Ummy ni la uozo wa serikali nzima na bunge.
 
Sikumaanisha mamlaka ya kimaamuzi ila ni "MKIBURI" - ukioongea naye anaongea kwa nyodo na kiburi sana - mwenye mamlaka ya kimaamuzi houngea kwa staha na kujenga hoja maridadi za kushawishi. Huyu hamna kitu ndiyo maana anamponza Waziri wake. Kisa tu wanalipia baadhi ya gharama za kazi za viongozi wa wizara!
Wewe uliongea naye kama nani? Yaani utoke huko Sokoni Kariakoo na Likaptura lako lichafu ukavamie Ofisi za umma na maswali yako uchwara?

Hebu heshimuni watu na Ofisi zao
 
Hahahahahaaaaaaa….. halafu anastaafu lini? yaani mtu afike 55 halafu utegemee maajabu? Mtu aliyekaa kwenye hiyo system for 30 years ambayo mnailaumu kila Siku?

Kama unafika 55 ndio unaonekana unafaa kuongoza taasisi ujue wewe ni dhaifu… leaders are known at a very early age

Tukubali tu kwamba watanzania hatujui tunataka nini
 
It’s general knowledge Ummy ni kilaza.

Lakini kwenye hili la NHIF kumtupia lawama waziri yeyote ni kumuonea unless ni technocrat wa finance (bottom line kwenye kuisimamia NHIF) unaitaji abc za finance na asilimia kubwa ya mawaziri duniani kote kwenye mambo hayo wanategemea ushauri wa technocrats wa maswala ya finnvcd kutoka wizarani au serikalini.

Zaidi ya hapo kuna bunge la kumsaidia waziri kwenye kuamua kupitia michango yao anapata knowledge.

Bunge ambalo:
Lina pokea report ya CAG na maelezo yake. Report ya mwisho inaeleza kuna fraud za wachangiaji, fraud za service providers na fraud za ndani ya taasisi. Hii ni risk kubwa ya budget planning inayopelekea kuwa na shortfall ya payments. Usipodhibiti itapelekea pricing and insurance coverage changes kwa wachangiaji to sustain the business (ndio kinachotokea) yote hayo ni kwa sababu ya kuchukulia ufisadi poa.​
Its pointless kupanga business strategy yeyote bila kuziba mianya ya upotevu wa hela especially kama hasara yenyewe ya upotevu ni over tsh 100 billion.​
Kuna bunge zima linalopokea CAG report na bunge hilo-hilo linaidhinisha mipango ya NHIF, without scrutiny.​
Kuna kamati ya bunge specific ambayo inatakiwa ku scrutinise uendeshwaji wa NHIF na weledi wake.​
Kuna wizara ya afya na wataalamu wake wa kumshauri waziri​
Kuna wataalamu wa serikali. Baraza la makatibu wakuu wa wizara zote uwa wanakutana, kujadili na kushauriana sera za serikali, kuna kikao cha baraza la mawaziri. Hadi hayo mabadiliko yapitishwe na bunge na kuwa sheria kuna watu wengi wa kulaumiwa.​

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, yes waziri ni incompetent but there is enough blame to be shared and the bulk of that blame lies with the weak parliament, weak parliament committee, TAKUKURU (kwenye kufanyia kazi report ya CAG), NHIF board (kufanyia kazi report ya CAG) na uzembe wa civil service kwa ujumla wao

Kwenye hili Ummy ni victim of circumstances (ni mtu wa mwisho kwenye hierarchy ya lawama) if anything hii ni exposure tumejaza viazi huko mawizara, waziri ashauriwi vizuri, and yes it doesn’t help her having limited knowledge to how things ought to work she is gullible to the ill advice received from NHIF without ministry financiers to counter argue or challenge the proposal.

Tatizo la NHIF sio la Ummy ni la uozo wa serikali nzima na bunge.
Very very very well said!
 
Huyu jamaa ni mkiburi kishenzi - yaani anaonesha ukatili wa wazi wazi kwa sababu kazi ake imekuwa ni kuiteka Bodi yake na kujikomba kwa Mawaziri mpaka Makatibu wakuu.

Huyu analazimisha ili watoto wa shule fulani waweze kupata bima ya matibabu eti mpaka idadi yao ifike 50 na kuendelea.

Huyu hajui kwamba kuna shule zina watoto 20 tu. Amezuia hata wale watoto ambao tayari walikuwa na bima wasirenew bima zao ati kwa kuwa shule aliyoenda mtoto husika hawajasajili zaidi ya watoto 50.

Huyu mtu amelewa madaraka na ni mkiburi sana. Ukiwa naye hata katika vikao wanapokuwepo viongozi basi hata namna ya ukaaji wake hamna hata unyenyekevu - yaani anajiweka kama Mungu Mtu, Ningemshauri kwa umri wake ule awe humble, ajiweke katika nafasi ya jamii ya hali ya chini. Sivyo huyu mtu hana utu - na hafai kabisa kuongoza taasisi kama ile inayopaswa kutanguliza huruma mbele.

NHIF ni watoa huduma, si michango tu ya wanachama bali hata kodi za WaTanzania inatumika kufikisha huduma hizo kwetu.

Huyu mtu asipojirekebisha anaumiza wengi na ndiyo chanzo cha kufanya Ummy alalamikiwe.
Huu ni uongo,tatizo la NHIF sio LA DG ni CCM!/haya mengine nblabla tu!
 
Huyu jamaa ni mkiburi kishenzi - yaani anaonesha ukatili wa wazi wazi kwa sababu kazi ake imekuwa ni kuiteka Bodi yake na kujikomba kwa Mawaziri mpaka Makatibu wakuu.

Huyu analazimisha ili watoto wa shule fulani waweze kupata bima ya matibabu eti mpaka idadi yao ifike 50 na kuendelea.

Huyu hajui kwamba kuna shule zina watoto 20 tu. Amezuia hata wale watoto ambao tayari walikuwa na bima wasirenew bima zao ati kwa kuwa shule aliyoenda mtoto husika hawajasajili zaidi ya watoto 50.

Huyu mtu amelewa madaraka na ni mkiburi sana. Ukiwa naye hata katika vikao wanapokuwepo viongozi basi hata namna ya ukaaji wake hamna hata unyenyekevu - yaani anajiweka kama Mungu Mtu, Ningemshauri kwa umri wake ule awe humble, ajiweke katika nafasi ya jamii ya hali ya chini. Sivyo huyu mtu hana utu - na hafai kabisa kuongoza taasisi kama ile inayopaswa kutanguliza huruma mbele.

NHIF ni watoa huduma, si michango tu ya wanachama bali hata kodi za WaTanzania inatumika kufikisha huduma hizo kwetu.

Huyu mtu asipojirekebisha anaumiza wengi na ndiyo chanzo cha kufanya Ummy alalamikiwe.
Du! Kumbe alishatabiriwa. Lakini yeye na Waziri wake wamtumbuliwa kimya kimya!
 
It’s general knowledge Ummy ni kilaza.

Lakini kwenye hili la NHIF kumtupia lawama waziri yeyote ni kumuonea unless ni technocrat wa finance (bottom line kwenye kuisimamia NHIF) unaitaji abc za finance na asilimia kubwa ya mawaziri duniani kote kwenye mambo hayo wanategemea ushauri wa technocrats wa maswala ya finnvcd kutoka wizarani au serikalini.

Zaidi ya hapo kuna bunge la kumsaidia waziri kwenye kuamua kupitia michango yao anapata knowledge.

Bunge ambalo:
Lina pokea report ya CAG na maelezo yake. Report ya mwisho inaeleza kuna fraud za wachangiaji, fraud za service providers na fraud za ndani ya taasisi. Hii ni risk kubwa ya budget planning inayopelekea kuwa na shortfall ya payments. Usipodhibiti itapelekea pricing and insurance coverage changes kwa wachangiaji to sustain the business (ndio kinachotokea) yote hayo ni kwa sababu ya kuchukulia ufisadi poa.​
Its pointless kupanga business strategy yeyote bila kuziba mianya ya upotevu wa hela especially kama hasara yenyewe ya upotevu ni over tsh 100 billion.​
Kuna bunge zima linalopokea CAG report na bunge hilo-hilo linaidhinisha mipango ya NHIF, without scrutiny.​
Kuna kamati ya bunge specific ambayo inatakiwa ku scrutinise uendeshwaji wa NHIF na weledi wake.​
Kuna wizara ya afya na wataalamu wake wa kumshauri waziri​
Kuna wataalamu wa serikali. Baraza la makatibu wakuu wa wizara zote uwa wanakutana, kujadili na kushauriana sera za serikali, kuna kikao cha baraza la mawaziri. Hadi hayo mabadiliko yapitishwe na bunge na kuwa sheria kuna watu wengi wa kulaumiwa.​

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, yes waziri ni incompetent but there is enough blame to be shared and the bulk of that blame lies with the weak parliament, weak parliament committee, TAKUKURU (kwenye kufanyia kazi report ya CAG), NHIF board (kufanyia kazi report ya CAG) na uzembe wa civil service kwa ujumla wao

Kwenye hili Ummy ni victim of circumstances (ni mtu wa mwisho kwenye hierarchy ya lawama) if anything hii ni exposure tumejaza viazi huko mawizara, waziri ashauriwi vizuri, and yes it doesn’t help her having limited knowledge to how things ought to work she is gullible to the ill advice received from NHIF without ministry financiers to counter argue or challenge the proposal.

Tatizo la NHIF sio la Ummy ni la uozo wa serikali nzima na bunge.

Hii comment iwekewe ulinzi, kwanza ilipaswa iwe ndio uzi wa kujadiliwa...
 
Back
Top Bottom