Muhumba wa Mukinyaa
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 683
- 1,251
Nadhani haupo SAHIHI kiongozi,kwa huyu CEO mpya,Ndugu Kihamia ameshaanza kutembelea vituo mbalimbali vya huu MRADI wa Mwendokasi,..wiki iliyopita vyombo vingi vya habari vilionyesha picha zake akiwa na abiria,akipokea maoni toka kwao..tumpe nafasi
Sema namuonea huruma MGOSI kwa kubebeshwa huu MSALABA,sijui ataweza masikini?
Ukifuatilia michango ya waliokuwa Wabunge wa Upinzani wa Dar Es Salaam, wakiongozwa na Mh Mdee na Kubenea hata Mh Ex Mayor Mwita,miaka ya 2015-2020 ni kana kwamba MRADI huu ULIANZISHWA na KUTEKELEZWA KWA UBATILI MTUPU..Kuna ulaghai mwingi kuanzia Mikataba wenyewe,ununuzi wa Magari(Mdee alisema magari mengi ni Kuu kuu,tena akiwa ndani ya Bunge + over priced)
Kingine menejimenti iliyopewa kuendendesha Mradi huu,chini ya Bwana Kisena ,ilijaa UTAPELI ,UONGO,WIZI ndio maana Kisena et al wamehukumiwa nadhani miaka 10 Gerezani
Wito wangu,
i.Mh Mdee et al tokeni na endeleeni KUPAZA sauti hadi Majizi yote yapate stahilii zao,Kisena na hao wachache hawatoshi
ii.Serikali ipitie kikamilifu MIKATABA wote wa UENDESHAJI wa huu MRADI ili kujua UOZO wote na kufanya MABORESHO+ kuwafikisha mahakamani WEZI wote
III.Serikali kununua mabasi mengi aliyo kwenye hali nzuri kwa kuangalia taratibu na kanuni zote za manunuzi.
IV;Watafutwe WEENDESHAjI NGULI ndani or nje ya Tz kwa ajili ya kusimamia Mradi huu
OR
V.Tuwape sekta BINAFSI kwa ajili ya kuuendesha kwa 100% ,serikali ibaki kuboresha MIUNDO MBINU + kukusanya KODI
Sema namuonea huruma MGOSI kwa kubebeshwa huu MSALABA,sijui ataweza masikini?
Ukifuatilia michango ya waliokuwa Wabunge wa Upinzani wa Dar Es Salaam, wakiongozwa na Mh Mdee na Kubenea hata Mh Ex Mayor Mwita,miaka ya 2015-2020 ni kana kwamba MRADI huu ULIANZISHWA na KUTEKELEZWA KWA UBATILI MTUPU..Kuna ulaghai mwingi kuanzia Mikataba wenyewe,ununuzi wa Magari(Mdee alisema magari mengi ni Kuu kuu,tena akiwa ndani ya Bunge + over priced)
Kingine menejimenti iliyopewa kuendendesha Mradi huu,chini ya Bwana Kisena ,ilijaa UTAPELI ,UONGO,WIZI ndio maana Kisena et al wamehukumiwa nadhani miaka 10 Gerezani
Wito wangu,
i.Mh Mdee et al tokeni na endeleeni KUPAZA sauti hadi Majizi yote yapate stahilii zao,Kisena na hao wachache hawatoshi
ii.Serikali ipitie kikamilifu MIKATABA wote wa UENDESHAJI wa huu MRADI ili kujua UOZO wote na kufanya MABORESHO+ kuwafikisha mahakamani WEZI wote
III.Serikali kununua mabasi mengi aliyo kwenye hali nzuri kwa kuangalia taratibu na kanuni zote za manunuzi.
IV;Watafutwe WEENDESHAjI NGULI ndani or nje ya Tz kwa ajili ya kusimamia Mradi huu
OR
V.Tuwape sekta BINAFSI kwa ajili ya kuuendesha kwa 100% ,serikali ibaki kuboresha MIUNDO MBINU + kukusanya KODI