Amani kwenu wadau,
Wiki moja iliyopita niliwaeleza jinsi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la habari Tanzania (TBC), AYOUB RYOBA alivyotaka kupigana na mtangazaji wa EFM Radio, Gerald Hando
Dr. Rioba wa TBC ataka kupigana na Gerald Hando wa E-FM kwa kuambiwa TBC imemshinda
Jana TANAPA walikutana na wahariri jijini Tanga ili kuzungumzia uanzishwaji wa CHANELI ya Wanyama TBC. Katika kikao hicho ambacho AYOUB RYOBA alihudhuria, ulipofika wakati maswali, bosi huyo wa TBC aliulizwa juu ya tuhuma za kutaka kupigana na Gerald Hando wa EFM ndipo Dkt. Ryoba alipoanza tambo, kebehi ,matusi na dhihaka badala ya kujibu swali aliloulizwa.
Hii hapa ni nukuu ya maneno yake:
"Kuna Dada kanifuata kuniuliza upumbavu. Mimi sijibu upumbavu. Mimi si mnafiki, hata huyo aliyeniuliza sijui kama hata amemaliza darasa la saba hata digirii hana.
Jamii Forum nilipokuwa Ulaya nilikuwa naitumia sana kama chanzo cha kupata taarifa na kushiriki mijadala. Najua kuna maprofesa, majenerali wengi walikuwa member humu
Lkn sasa uongo na uzushi umezidi. Mimi siku nasoma taarifa ya kuteuliwa nilikuwa na kazi ya kulipwa milioni 60, ndiye mwandishi wa kwanza kumiliki Range Rover, sasa hivi hali yangu mbaya, natukanwa zaidi, afya yangu mbaya ....
Hata kama nitatumbuliwa nitaendelea kumuunga mkono (rais)."
Baada ya maneno hayo ya Ryoba, ABISALUM KIBANDA alimtaka Mkurugenzi huyo Mkuu wa TBC kuacha lugha za matusi na dharau kwani ni mtu msomi, kiongozi na mtu anastahili kuheshimu watu ii naye aweze kuheshimiwa
Wiki moja iliyopita niliwaeleza jinsi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la habari Tanzania (TBC), AYOUB RYOBA alivyotaka kupigana na mtangazaji wa EFM Radio, Gerald Hando
Dr. Rioba wa TBC ataka kupigana na Gerald Hando wa E-FM kwa kuambiwa TBC imemshinda
Jana TANAPA walikutana na wahariri jijini Tanga ili kuzungumzia uanzishwaji wa CHANELI ya Wanyama TBC. Katika kikao hicho ambacho AYOUB RYOBA alihudhuria, ulipofika wakati maswali, bosi huyo wa TBC aliulizwa juu ya tuhuma za kutaka kupigana na Gerald Hando wa EFM ndipo Dkt. Ryoba alipoanza tambo, kebehi ,matusi na dhihaka badala ya kujibu swali aliloulizwa.
Hii hapa ni nukuu ya maneno yake:
"Kuna Dada kanifuata kuniuliza upumbavu. Mimi sijibu upumbavu. Mimi si mnafiki, hata huyo aliyeniuliza sijui kama hata amemaliza darasa la saba hata digirii hana.
Jamii Forum nilipokuwa Ulaya nilikuwa naitumia sana kama chanzo cha kupata taarifa na kushiriki mijadala. Najua kuna maprofesa, majenerali wengi walikuwa member humu
Lkn sasa uongo na uzushi umezidi. Mimi siku nasoma taarifa ya kuteuliwa nilikuwa na kazi ya kulipwa milioni 60, ndiye mwandishi wa kwanza kumiliki Range Rover, sasa hivi hali yangu mbaya, natukanwa zaidi, afya yangu mbaya ....
Hata kama nitatumbuliwa nitaendelea kumuunga mkono (rais)."
Baada ya maneno hayo ya Ryoba, ABISALUM KIBANDA alimtaka Mkurugenzi huyo Mkuu wa TBC kuacha lugha za matusi na dharau kwani ni mtu msomi, kiongozi na mtu anastahili kuheshimu watu ii naye aweze kuheshimiwa