Mkurugenzi mkuu wa TBC, Dr Ayoub Ryoba aendeleza matusi kwa wakosoaji wake. Aivaa JamiiForums...

Mkurugenzi mkuu wa TBC, Dr Ayoub Ryoba aendeleza matusi kwa wakosoaji wake. Aivaa JamiiForums...

Sijawahi kuelewa ni kwa nini Ryoba bado ni DG wa TBC mpaka leo hii?!. Kuna udhaifu mkubwa katika performance appraisal ya watumishi wa umma kama huyu au analindwa kama bashite?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuelewa ni kwa nini Ryoba bado ni DG wa TBC mpaka leo hii?!. Kuna udhaifu mkubwa katika performance appraisal ya watumishi wa umma kama huyu au analindwa kama bashite?!

Sent using Jamii Forums mobile app

Dr Ryoba ni mganga njaa tu, alipokuwa Udsm kelele zilikuwa nyingi KWA sababu njaa ilikuwa inamuuma, NA Ilipanda kichwani kama malaria Kali.

Vile vile, PhD yake/udaktari wake pia una mashaka KWA sababu haujasaidia kitu chochote kile ktk kuiboresha TBC. Afadhali hata Tido Mhando aliweza kuiboresha na kuipaisha TBC licha ya kwamba ana Elimu ya Diploma tu, basi.

PhD yake ktk masuala ya habari haina positive impact yoyote KWA TBC ukilinganisha NA Diploma ya Tido Mhando ambaye aliipaisha sana TBC enzi zake.
 
Kuhusu yy kulalamika afya yake mbaya anaumwa nini? Ila naona mashavu yamemvimba vimba au macho yangu tuu?
 
Usilolijua litakusumbua.
mleta mada ana bifu, chuki binafsi na Ryoba, eti kwa sababu tu anatoka mkoa wa Mara jirani na Nyerere. kwani kumwambia mtu ukweli ni matusi? kama amesoma kweli inamuuma nini? si akanushe tu ili maisha yaendelee! kujipambanua kuwa siyo mnafiki kuna ubaya gani?
ngoja nimsaidie aseme hivi;
''Si kweli kuwa sijasoma mimi ni graduate Mlimani city ya chini au juu, nina degree ya ENGINEERING,'' Baasi! yameisha!

Jingine kama ana Range lover jamani asiseme? au aifungie ndani? acheni majungu na fitina!
mleta mada ana chuki na huyu jamaa, hata ukiangalia writing language yake. alitaka ateuliwe yeye kuwa mkurugenzi wa hii RTD ya zamani..
 
Usilolijua litakusumbua.
mleta mada ana bifu, chuki binafsi na Ryoba, eti kwa sababu tu anatoka mkoa wa Mara jirani na Nyerere. kwani kumwambia mtu ukweli ni matusi? kama amesoma kweli inamuuma nini? si akanushe tu ili maisha yaendelee! kujipambanua kuwa siyo mnafiki kuna ubaya gani?
ngoja nimsaidie aseme hivi;
''Si kweli kuwa sijasoma mimi ni graduate Mlimani city ya chini au juu, nina degree ya ENGINEERING,'' Baasi! yameisha!

Jingine kama ana Range lover jamani asiseme? au aifungie ndani? acheni majungu na fitina!
mleta mada ana chuki na huyu jamaa, hata ukiangalia writing language yake. alitaka ateuliwe yeye kuwa mkurugenzi wa hii RTD ya zamani..

Hivyo alivyosema kama vile kuwa na range rover, alikuwa NA deal LA milioni 60 NA aliliacha, anaumwa, n.k, vina uhusiano gani na uboreshaji wa vipindi pamoja TBC yote KWA ujumla? Vitu hivyo vinasaidiaje ktk kuiboresha TBC?
Kama kweli ni mgonjwa NA hawezi tena kufanya kazi zake vizuri KWA sababu ya ugonjwa, so ndio unatakiwa kuomba kustaafu ili kuwapisha Watu wengine wenye afya bora wachukue nafasi yake???

Wananchi tunataka kuona TBC iliyo bora wala siyo porojo zake za siasa
 
Mi sijaelewa, Apo million 60 imeingiaje? hilo range nalo limeingiaje? kuna aliemuuliza kuhusu maisha yake?
apo kaleta mambo ya Kiduku Lilo
 
Mi sijaelewa, Apo million 60 imeingiaje? hilo range nalo limeingiaje? kuna aliemuuliza kuhusu maisha yake?
apo kaleta mambo ya Kiduku Lilo

Inashangaza sana KWA kweli.
Dr Ryoba alikuwa anaiponda sana TBC wakati alipokuwa Udsm kwamba haifai NA haipo vizuri.
Leo hii kakabidhiwa usukani ndio ameonekana Kushindwa zaidi, afadhali kidogo ya wenzake waliomtangulia kuliko yeye.

Ninavyosikia habari za chini chini ni kwamba hapatani kabisa NA watumishi wenzake waliopo huko TBC, hawampendi KWA hiyo hawampatii ushirikiano wa kutosha. Pia, Dr Ryoba anasemekana kuwa ni mbinafsi, nasikia amewajaza ndugu zake wengi hapo TBC baada ya yeye kuingia hapo.
 
Hivyo alivyosema kama vile kuwa na range rover, alikuwa NA deal LA milioni 60 NA aliliacha, anaumwa, n.k, vina uhusiano gani na uboreshaji wa vipindi pamoja TBC yote KWA ujumla? Vitu hivyo vinasaidiaje ktk kuiboresha TBC?
Kama kweli ni mgonjwa NA hawezi tena kufanya kazi zake vizuri KWA sababu ya ugonjwa, so ndio unatakiwa kuomba kustaafu ili kuwapisha Watu wengine wenye afya bora wachukue nafasi yake???

Wananchi tunataka kuona TBC iliyo bora wala siyo porojo zake za siasa
Usi pick mabaya yake tu, una tafuta negativisms sana wewe, mfano km mimi niseme hapo juu umetaja hili gari kwa herufi ndogo, au umechanganya kubwa na ndogo halafu nijenge hoja kuwa hukusoma wkt ninge ignore tu.
hilo neno R/lover lilipita ktk hayo maongezi hayo, sema lilikuuma mwenzako kuwa na R/Lover new model. na wewe huna. huwezi ukalitamka neno moja tuu hotuba nzima. kusema aliacha hilo deal la milion 6 ni kuwakumbusha kuwa alijali nyumbani, shida iko wapi hapo?
Suala la kuumwa kila mtanzania kwa ujumla wenu hapo mlipo mnaumwa, Mawazo ya maisha duni, minyoo, adult malnutrition ina wasumbua, wewe ulifanya lini Med. chek up?

Watu wa Tanga barabara ya makolola, mna majungu sana.
 
Usi pick mabaya yake tu, una tafuta negativisms sana wewe, mfano km mimi niseme hapo juu umetaja hili gari kwa herufi ndogo, au umechanganya kubwa na ndogo halafu nijenge hoja kuwa hukusoma wkt ninge ignore tu.
hilo neno R/lover lilipita ktk hayo maongezi hayo, sema lilikuuma mwenzako kuwa na R/Lover new model. na wewe huna. huwezi ukalitamka neno moja tuu hotuba nzima. kusema aliacha hilo deal la milion 6 ni kuwakumbusha kuwa alijali nyumbani, shida iko wapi hapo?
Suala la kuumwa kila mtanzania kwa ujumla wenu hapo mlipo mnaumwa, Mawazo ya maisha duni, minyoo, adult malnutrition ina wasumbua, wewe ulifanya lini Med. chek up?

Watu wa Tanga barabara ya makolola, mna majungu sana.

Point yako ni nini?? Mbona sijakuelewa??

Wananchi tutathibitisha kuwa kama kweli alikuwa mzakendo NA alijali nyumbani, basi tuone TBC iliyo bora wala siyo vinginevyo, porojo za siasa hatutaki kuziona.
Tunataka kuona matunda ya kazi yake yakishamiri, kama tulivyoshuhudia sisi wenyewe enzi za Tido Mhando alipokuwa hapo TBC.

Hebu jaribu kulinganisha suala hili:
Tido Mhando ana Elimu ya Diploma tu lakini alifanikiwa pakubwa kuiboresha TBC vizuri zaidi kabisa NA kila mtu mzalendo aliipenda , lakini Dr Ryoba ana elimu ya PhD , na TBC imekuwa mbaya zaidi, sasa inachukiwa karibu na kila MTU.

Hii inamaanisha kwamba PhD ya Dr Ryoba si kitu chochote mbele ya Diploma ya Bwana Tido Mhando, KWA sababu Dr Ryoba ameshindwa kabisa kumudu kuiboresha TBC licha ya PhD yake ya Chuo Kikuu aliyonayo, wakati huo huo Bwana Tido Mhando ameibuka kuwa Shujaa wa kweli KWA kufanikiwa kuiboresha TBC ktk viwango bora kabisa licha ya Elimu yake ndogo ya Diploma aliyonayo.
Tido Mhando atabaki kuwa Shujaa Daima KWA kufanikiwa kuiboresha TBC
 
Point yako ni nini?? Mbona sijakuelewa??

Wananchi tutathibitisha kuwa kama kweli alikuwa mzakendo NA alijali nyumbani, basi tuone TBC iliyo bora wala siyo vinginevyo, porojo za siasa hatutaki kuziona.
Tunataka kuona matunda ya kazi yake yakishamiri, kama tulivyoshuhudia sisi wenyewe enzi za Tido Mhando alipokuwa hapo TBC.

Hebu jaribu kulinganisha suala hili:
Tido Mhando ana Elimu ya Diploma tu lakini alifanikiwa pakubwa kuiboresha TBC vizuri zaidi kabisa NA kila mtu mpenda mzalendo aliipenda , lakini Dr Ryoba ana elimu ya PhD , na TBC imekuwa mbaya zaidi, sasa inachukiwa karibu na kila MTU.

Hii inamaanisha kwamba PhD ya Dr Ryoba si kitu chochote mbele ya Diploma ya Bwana Tido Mhando, KWA sababu Dr Ryoba ameshindwa kabisa kumudu kuiboresha TBC licha ya PhD yake ya Chuo Kikuu aliyonayo, wakati huo huo Bwana Tido Mhando ameibuka kuwa Shujaa wa kweli KWA kufanikiwa kuiboresha TBC ktk viwango bora kabisa licha ya Elimu yake ndogo ya Diploma aliyonayo.
Tido Mhando atabaki kuwa Shujaa Daima KWA kufanikiwa kuiboresha TBC
Mkuu point zangu ziko wazi na kwa lugha nyepesi,
but ukiziangalia kwa jazba unaweza usizielewe!
Kusema in repeatedly manners slogan ya ameboresha huyu, huyu hajaboresha ni mtizamo wako binafsi unavotaka wewe iwe kidaslama daslam, siyo mtizamo wetu wote. kuna watu mikoani huko hawakuelewi bila TBC, sehemu kubwa ya wakenya km machakosi, Maoiri, North madagascar , Kisangani,nk wanatizama TBC ,hasahasa inapendwa kwa sababu ya Lugha muanana ya kiswahili ni kupita maelezo.

Tangu enzi za kina David wakati RTD ni bora ni chema kinachojiuza chenyewe wala siyo kazi ya Ryoba wala Tido m. yenyewe itajiboresha kwa kuweka mitambo ya kisasa. kwani Ryoba ni mtambo wa kurusha matangazo? usikariri eti kwa sababu mitambo ya kisasa ililetwa enzi za tido basi ameboresha yeye!
 
Point yako ni nini?? Mbona sijakuelewa??

Wananchi tutathibitisha kuwa kama kweli alikuwa mzakendo NA alijali nyumbani, basi tuone TBC iliyo bora wala siyo vinginevyo, porojo za siasa hatutaki kuziona.
Tunataka kuona matunda ya kazi yake yakishamiri, kama tulivyoshuhudia sisi wenyewe enzi za Tido Mhando alipokuwa hapo TBC.

Hebu jaribu kulinganisha suala hili:
Tido Mhando ana Elimu ya Diploma tu lakini alifanikiwa pakubwa kuiboresha TBC vizuri zaidi kabisa NA kila mtu mzalendo aliipenda , lakini Dr Ryoba ana elimu ya PhD , na TBC imekuwa mbaya zaidi, sasa inachukiwa karibu na kila MTU.

Hii inamaanisha kwamba PhD ya Dr Ryoba si kitu chochote mbele ya Diploma ya Bwana Tido Mhando, KWA sababu Dr Ryoba ameshindwa kabisa kumudu kuiboresha TBC licha ya PhD yake ya Chuo Kikuu aliyonayo, wakati huo huo Bwana Tido Mhando ameibuka kuwa Shujaa wa kweli KWA kufanikiwa kuiboresha TBC ktk viwango bora kabisa licha ya Elimu yake ndogo ya Diploma aliyonayo.
Tido Mhando atabaki kuwa Shujaa Daima KWA kufanikiwa kuiboresha TBC
Unavyo mdharau Ryoba mwenye PhD na kumpaisha Tido mwenye Diploma, si shangai kwa sababu ni kawaida ya idealistic man, kudharauliwa na watu wa chini.
kama Yesu alivoonekana si kitu kwa kushindwa kujiokoa mwenyewe mpaka akasulubiwa, akilinganishwa na Musa aliyewaongoza wana wa israel jangwani na kushinda vita nyingi sana pamoja nashida zote zile. kwa akili zao wayahudi wakaona Musa ni bora kuliko Yesu, sasa nisawa na wewe.unaona diploma si kitu kuliko phd.
mtu kujipenda siyo kujiona. ila wanatamani wawe kama yeye ila hawawezi.
 
Mkuu point zangu ziko wazi na kwa lugha nyepesi,
but ukiziangalia kwa jazba unaweza usizielewe!
Kusema in repeatedly manners slogan ya ameboresha huyu, huyu hajaboresha ni mtizamo wako binafsi unavotaka wewe iwe kidaslama daslam, siyo mtizamo wetu wote. kuna watu mikoani huko hawakuelewi bila TBC, sehemu kubwa ya wakenya km machakosi, Maoiri, North madagascar , Kisangani,nk wanatizama TBC ,hasahasa inapendwa kwa sababu ya Lugha muanana ya kiswahili ni kupita maelezo.

Tangu enzi za kina David wakati RTD ni bora ni chema kinachojiuza chenyewe wala siyo kazi ya Ryoba wala Tido m. yenyewe itajiboresha kwa kuweka mitambo ya kisasa. kwani Ryoba ni mtambo wa kurusha matangazo? usikariri eti kwa sababu mitambo ya kisasa ililetwa enzi za tido basi ameboresha yeye!

Ndugu yangu huoni hata aibu kabisa kuzungumza hayo uliyoeleza hapo juu.
"Kusoma hujui lakini hata picha huoni?"😁

Narudia tena kusema, Tido Mhando ni Shujaa mkubwa KWA kufanikiwa kuiboresha TBC ukilinganisha NA Dr Ryoba.
Tido Mhando ameibuka kidedea TBC, hili halina ubishi NA wala halipingiki.

" The truth is still the truth even if no one believes it, and,
A lie is still a lie even if everyone believes it"
 
Ndugu yangu huoni hata aibu kabisa kuzungumza hayo uliyoeleza hapo juu.
"Kusoma hujui lakini hata picha huoni?"😁

Narudia tena kusema, Tido Mhando ni Shujaa mkubwa KWA kufanikiwa kuiboresha TBC ukilinganisha NA Dr Ryoba.
Tido Mhando ameibuka kidedea TBC, hili halina ubishi NA wala halipingiki.

" The truth is still the truth even if no one believes it, and,
A lie is still a lie even if everyone believes it"
Ongea vitu vipya, ambavyo amefanya siyo kurudia rudia neno ameboresha, ametoka juzi tu hivo basi kama ni suala la udhaifu wa juzi limesababishwa na yeye, wala siyo ryoba, na maboresho ni ya mtangulizi wake.

kama Ryoba ni dhaifu leo. matokeo ya udahifu wake siyo leo ni kesho. kwa mfano ukimuacha mkewako leo wkt amekuachia nguo zako zote safi kabatini, utaona ni sawa tu utajimudu kujifanyia usafi, but utajua umuhimu wake baada ya nguo zile kuchafuka na kufua huwezi
 
Matumizi mabaya ya mdaraka, hakujua sera
Point yako ni nini?? Mbona sijakuelewa??

Wananchi tutathibitisha kuwa kama kweli alikuwa mzakendo NA alijali nyumbani, basi tuone TBC iliyo bora wala siyo vinginevyo, porojo za siasa hatutaki kuziona.
Tunataka kuona matunda ya kazi yake yakishamiri, kama tulivyoshuhudia sisi wenyewe enzi za Tido Mhando alipokuwa hapo TBC.

Hebu jaribu kulinganisha suala hili:
Tido Mhando ana Elimu ya Diploma tu lakini alifanikiwa pakubwa kuiboresha TBC vizuri zaidi kabisa NA kila mtu mzalendo aliipenda , lakini Dr Ryoba ana elimu ya PhD , na TBC imekuwa mbaya zaidi, sasa inachukiwa karibu na kila MTU.

Hii inamaanisha kwamba PhD ya Dr Ryoba si kitu chochote mbele ya Diploma ya Bwana Tido Mhando, KWA sababu Dr Ryoba ameshindwa kabisa kumudu kuiboresha TBC licha ya PhD yake ya Chuo Kikuu aliyonayo, wakati huo huo Bwana Tido Mhando ameibuka kuwa Shujaa wa kweli KWA kufanikiwa kuiboresha TBC ktk viwango bora kabisa licha ya Elimu yake ndogo ya Diploma aliyonayo.
Tido Mhando atabaki kuwa Shujaa Daima KWA kufanikiwa kuiboresha TBC
Kwanza kwenda kinyume na sera na msimamo wa mwajiri wako ni kosa la matumizi mabaya ya madaraka, na kuto kujua sheria hii siyo kinga. alikuwa na fanya kazi kwa maslahi ya nani? kupitia vipindi vyake vya hovyo. ndo maana aliondolewa TBC, na million 187 zetu ziko wapi, tunazitaka.
 
Ndugu yangu huoni hata aibu kabisa kuzungumza hayo uliyoeleza hapo juu.
"Kusoma hujui lakini hata picha huoni?"😁

Narudia tena kusema, Tido Mhando ni Shujaa mkubwa KWA kufanikiwa kuiboresha TBC ukilinganisha NA Dr Ryoba.
Tido Mhando ameibuka kidedea TBC, hili halina ubishi NA wala halipingiki.

" The truth is still the truth even if no one believes it, and,
A lie is still a lie even if everyone believes it"
Dr Ayoub Ryoba alikabidhiwa kitengo kilchofilisika, kutokana na matumizi mabaya yaliyo ktk smoke screen ya utendaji bora. nani asiyemjua huyu Ryoba kwa makala zake nzito nzito kwa watawala, na lazima mtu mahiri ajue mazingira anayo fanyia kazi,km Ryoba alijua hii redio ni ya propaganda, anaiongoza kipropaganda. wewe ulitakaje?

Tido mhando alikurupuka na uzoefu wake wa uzunguni, na kuuleta uswahilini Bongo, yaani mtu asiye na maono ni shida, hakujulikana yuko upande gani ktk kutumia Radio ya taifa, km una msimamo tofauti jiengue bila kuvunjiwa heshima. kama alivo vunjiwa heshima, hasahasa alipokurupuka na kipindi chake kilee cha michakato, kilicho jaa ufisadi. lkn Ryoba yuko makini na anajua mazingira ya TBC.

wewe kwa IQ yako hiyo yaaani mtu akipiga domo saana ndo ana akili siyo? wee subiri huko nako aliko awe makini.

Ni sawa Tido ni mzoefu mkongwe, aliyewahi fukuzwa kenya. ajili hii hii ya kukurupuka bila tafakuri ya kina, yakamkuta ya kumkuta . lkn pia hajifunzi tokana na makosa ndo udhaifu wake mkubwa.
Ayubu ni mwandishi mwanazuoni, uzoefu wa manejiment ameuanzia TBC, shida iko wap?i, kwa udhaifu gani?
usifanye mambo kiushabiki bali pambanua kwa kutumia akili yako......
 
Dr Ayoub Ryoba alikabidhiwa kitengo kilchofilisika, kutokana na matumizi mabaya yaliyo ktk smoke screen ya utendaji bora. nani asiyemjua huyu Ryoba kwa makala zake nzito nzito kwa watawala, na lazima mtu mahiri ajue mazingira anayo fanyia kazi,km Ryoba alijua hii redio ni ya propaganda, anaiongoza kipropaganda. wewe ulitakaje?

Tido mhando alikurupuka na uzoefu wake wa uzunguni, na kuuleta uswahilini Bongo, yaani mtu asiye na maono ni shida, hakujulikana yuko upande gani ktk kutumia Radio ya taifa, km una msimamo tofauti jiengue bila kuvunjiwa heshima. kama alivo vunjiwa heshima, hasahasa alipokurupuka na kipindi chake kilee cha michakato, kilicho jaa ufisadi. lkn Ryoba yuko makini na anajua mazingira ya TBC.

wewe kwa IQ yako hiyo yaaani mtu akipiga domo saana ndo ana akili siyo? wee subiri huko nako aliko awe makini.

Ni sawa Tido ni mzoefu mkongwe, aliyewahi fukuzwa kenya. ajili hii hii ya kukurupuka bila tafakuri ya kina, yakamkuta ya kumkuta . lkn pia hajifunzi tokana na makosa ndo udhaifu wake mkubwa.
Ayubu ni mwandishi mwanazuoni, uzoefu wa manejiment ameuanzia TBC, shida iko wap?i, kwa udhaifu gani?
usifanye mambo kiushabiki bali pambanua kwa kutumia akili yako......

Tanzania inaangamia sana, NA itaendelea kuangamia kutokana na kuwepo KWA Watu wengi sana wenye mawazo mfu na potofu kama haya uliyonayo wewe.

"Ee Mungu we, tunusuru wana wa nchi hii ya Tz kwa kuwafanya Watu wenye mawazo potofu kama haya wazaliwe huko mbali kwenye nchi nyingine lakini siyo Tz"!!
 
Back
Top Bottom