Mkurugenzi mkuu wa TBC, Dr Ayoub Ryoba aendeleza matusi kwa wakosoaji wake. Aivaa JamiiForums...

Ryoba,Polepole,Lipumba,Slaa,Mrema,Cheyo,Kitila etc
 
Weka kideo hayo maneno uliyosema umenukuu,
kuyatunga ni rahisi juu yake.
 
mmeona TBC inawaovertake mmeshaanza fitna zenu private sector
 
Kwa nini ang'ang'anie kuwa mkurugenzi ilhali haipendi wala kuridhishwa na malipo ya kazi husika? Kwa nini asubiri kutumbuliwa wakati anaweza kuomba kukaa pembeni na wenye moyo wa kujitolea wakachukua nafasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…