Ndio maana magufuli alikuwa jeuri na kuwajibu shombo maana watanzania mna midomo sana.
CV yake kuu ya kiutendaji ni usimamizi wa miradi mikubwa ya meli kwenye maziwa yetu
Kama umetumia takwimu za awamu ya Tano nakukumbusha hata Bodi ya Mikopo ilitoa gawio japo kuna watu walikuwa wamekosa mikopo ,ATC walitoa hadi gawio kumbe imepigwa 'tanganyika jeki' ya Mabilion
Ni hao hao wakosoaji unaowadharau ndio walikuwa wa mwanzoni kuibua issue ya dogo wa Evening Class from unknown institution kuteuliwa kuwa DG wa TPDC, na Samia, unayedhani ana mawazo kama yako, hatimae akatengua uteuzi bila kujali kama alitengua kutokana na influence ya hao unaowaona "wanatamani wangeteuliwa wao" lakini huo ni ujumbe tosha kwako kwamba watu wanakosoa huku wakifahamu nini wanakosoa!Wakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.
Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
Hujajibu swali langu mkuu,Taifa bila wakosoaji ni Taifa mfu msione kero
Yule Dogo aliyesema dawa ya Lissu ni Sindano ya Sumu zamu yake lini?
Pia nasi tunatamani kujua nawe ni upi mchango wako kwa taifa.Wakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.
Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
Miruzi mingi humpoteza mmbwaWana midomo kwa sababu ni nchi yao na wao raia ndio wanalipa mishahara ya watumishi wote wa umma. Ni haki yao kabisa kuwa na midomo sana.
Stroke acha jazbaWakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.
Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
Ujeuri umemfikisha wapi? Unayafahamu waliyokuwa wanayafanya wateule wake?. Wewe kama limdomo lako linanuka ukashauriwa namna ya kulifanya unachukia? Umeyaona ya MATAGA mwenzako Thobias Mwesiga? Kwahiyo isingekuwa hiyo unayoiita midomo ingekuwaje?Ndio maana magufuli alikuwa jeuri na kuwajibu shombo maana watanzania mna midomo sana.
nimefurahi pamoja na kusikitika sana
huyu mwamba nimekua nafatilia sana ike Tasac jinsi walivoboresha mausafiri ya meli huko sehem mbalimbal na kufufua na kujenga meli mpya.
sasa hiv watu bukob via mwanza kwa meli raha zako unafika huku umelala.
nasikitika sana kukosa safar za meli Dar Tanga Mtwara.waliwah kusem ndio mpango unaokuja.ila ndio bas tena sijui.
Tasac wamefanya kazi kubwa sana
Kwani uteuzi wa Ndomba umetenguliwa ama muda wake wa kustaafu ulikua umefika?TASAC licha ya kufanya vizuri, DG wake ameondoshwa ofisini.
Yajayo yanafurahisha.
Jamaa bado U-NAWATAFUNA, au WA-NAKUTAFUNA?!Acheni unoko asee.