Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Makamu akijiuzulu watu wanaingia mitaani kufanya fujo?
Soma hii uone kama kusema amejuizulu kunaleta shida:
Whoever, by words, either spoken or written, or by signs, or by visible representation, or otherwise, brings or attempts to bring into hatred or contempt, or excites or attempts to excite disaffection towards,
Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake. Hawa wa hapahapa wana uwezoMbona hata facebook yaliandikwa hayo au kwakua hawawez kulipata server la fb
kwa ivo tuanze safari ya kuhamia tulikotoka yaani fbKila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake. Hawa wa hapahapa wana uwezo
Nao na nadhani ndio watakuwa wakuonyeshwa mfano.
Mwanzo alikuwa hajaweka sababuumeshaambiwa kakataa kutoa siri za watumiaji wa JF, tena unauliza kakamatwa bila sababu
Itakuwa vizuri. Hamuoni dada yenu Mange Kimambi yeye alishasoma alama za nyakatikwa ivo tuanze safari ya kuhamia tulikotoka yaani fb
Salary Slip nakupa [emoji106]. uliona mbali. enzi zetu ningekuita mlenga mbaliKwa kosa gani?
Nimekumbuka huu uzi
https://www.jamiiforums.com/threads/jamiiforums-members-cybercrime-fund.831679/
Pole sana ndugu Mello.
[...Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. .
Kuhusu ishu ya iOSI thought wangefanya jitihada kuhack hii jf na kutafuta wanachokitaka instead ya kumuwajibisha mmiliki.
Inanikumbusha kesi ya Apple na FBI kuhusu kuwapa backdoor ya IOS, mahakamani walishindwa FBI then they bypass it kupitia third person.
Kuna haja ya kuongeza wataalam wa ethical hacking katika kitengo chao. I can't believe imewashinda kuhack server.
Unaweza kuwa na wazo huru lakini la kizushi na hali itakapochafuka watu watakupatia wapi wakati unasajili humu JF detail zako zote zipo kwa Maxence Melo ambae leo hii yeye ndio anasota rumande wewe unakatisha tu mitaa.
kama detail ulizoweka ni za uongo hapo ni inshu nyingine yeye anatakiwa kuweka vigezo na masharti ya kujiunga humu JF vinavyoendana na sheria za nchi.
Kuna uzi humu ulisema wazi na ushahidi kuwa Makamu wa rais amejiuzulu.
Kuna uzi humu ulipost barua ya ikulu ikionyesha nembo ya ikulu na sahihi ya msemaji wa ikulu ikielezea kutenguliwa kwa mrisho gambo. Huo sio uchochezi ? Au uchochezi kwako ni mpaka watu washike bunduki
Hatutakuwepo kimwili lkn kiroho tutakuwepo. Achague kuitumikia serikali akose member's ambayo itampelekea kufunga au awe huru apate membersHuo ndio ukweli inasikitisha lkn ndiyo hivyo wote ninyi akiwahitaji kesho hamtakuwepo!