Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

H social ina civil kubwa kwa wananchi lazima awe kalibu naye h nchi Yetu ndivyo ilivyo
 
Najutia sana mda wangu niliopoteza kuwapigia kura hawa ma ccm
Mungu ampe nguvu melo
 
Mbona serikali ya marekani haikuwaweka ndani wamiliki wa apple baada ya kukataa kutoa taarifa za wateja wao? Refer case ya Julius assange wa wikileaks!
Kwani sie tunajielewa sasa
 
Mexence mello amekamatwa km sehemu tu kutafuta namna ya kuifunga hii jamii forums. Km wanamtaka atoe taarifa za watu hili jukwaa litakuwa na thamani gani..!!? Kinachoifanya jf iwe hivi ni kwa sababu ya ulinzi wa taarifa zetu.

Simu za apple zinauzwa bei mbaya kwa sababu ndo simu zenye uwezo mkubwa kwa ulinzi kuliko simu zote. Apple walikataa kabisa kufungua simu ya gaidi km walivyokuwa wanataka FBI.
 
Waende Mahakamani kuzidai- na huko ndiko haki hupatikana !. Kama kweli kinachotafutwa kiko kinyume na Sheria si Mahakama itatoa warranti kwa mhusika kutoa ushirikianano kwa Polisi?
Umenena vema mkuu
 
Jamaa wanapata tabu sana, ni rahisi sana sana kuwa fumba kinyvwa watzed. Ama washughulikie kero zote, waweke uwazi na kutenda haki. Ama wakiona hilo hawawezi, basi wapeleke haraka muswada wa marekebisho ya katiba. Waondoe "haki na uhuru wa kupata taarifa", uhuru wa kutoa maoni. Kisha watunge sheria, hakuna kutumia mitandao Ya kijamii. Marufuku kukusanyika. Na wafute vyombo vyote vya habari vya binafsi. Hapo inakuwa simple tu. Hakuna atakayehoji wala kukosoa!
 
Lakini melo hii ishu sijajua kwanini umeamua ikupotezee muda!!!!!

Hata mitandao ya simu huwa wanaachia taarifa binafsi kwa uchunguzi, ni swala kuachia tu.
Si rahisi kama unavyofikiri.
 
Mimi mwenyewe nilizisoma alama za nyakati nina wiki sijagusa siasa kabisa.
Thanks to my bae kwa kunikeep busy,saa hizi ningekuwa ktk hofu kubwa sana.
Siasa kwa sasa tuziache,hali ni mbaya.
Ni kweli kabisa, mimi niliacha muda kidogo baada ya kuwa napigwa ban kwa kusema ukweli. Nikaona bora niende kwenye majukwaa yasiyo ya kujenga Viwanda.
 
Vigezo na masharti inabidi kuzingatiwa ili twende na sheria mpya ya magazeti na ile ya mitandao
kusema ukweli humu JF mazombi tupo wengi mno inabidi uongozi ili ujichomoe na kadhia hii ni muhimu wote kuwa verify our names na adress kwa ujumla wake
kama kweli hatuna nia mbaya,
Hivi nia mbaya ni nini?
 
Aiseee huenda jina langu likawemo acha nikakate tiketi nikapumzike kisha nitarudi

Kama nimo mtatambikia kunipata acha nikaongeze ulinzi wa simu yangu kwanza

Ukimtaka tu kuchunguza niwe najua
 
hata ww ni mmojawapo ya wavuka mipaka ila uko upande wa wanaochukia kukosolewa. kama mtu anavuka mipaka kuna sheria za jf huwa anapata ban, kinyume na hapo ni kwamba ukweli unauma.
Mkipigwa ban pia huwa mnalalamika.
 
Unaposema Magufuli hawezi kuwa Rais unamaanisha nini? Au ndicho kilichoujaza moyo wako kwamba Magufuli hawezi kuwa Rais?
Were hujitambui kwasasa unakurupuka
Nimekuambia
Sheria ya mitandaoni ilipitishwa kipindi Magufuli hategemewi kuwa Rais
Tena Huyo Lowassa ni mmoja wa walio pitisha sheria hiyo
 
Back
Top Bottom