ina maana hajuikani? mbona magazeti yaliandika na mahakama ikakanusha? kwa nini wasimuulize mkurugenzi aliyepokea hiyo amri ya mahakama mpaka wategemee jamii forums?Na yeye ni mmoja wapo wa hao wanaotafutwa. Sababu hiyo habari na yenyewe iliwekwa humu so polisi wakishapata hizo details zao ndio tutajua watakachofanywa
Sasa unaweza kufanya nini mtu mwenye silaha na mamlaka akikukamata iwe kwa kosa ama kuonewa?Nilisema Watanzania tumegawanyika na waoga kama Nyumbu
Kundi moja linaonewa, wengine wanakaa kimya jinsi Mamba anavyomla Nyumbu
Mfano: Madokta waligoma, hakuna aliyewaunga mkono
Wafanyakazi wakalia kuhusu FAO La kujitoa, wengine kimya
Sheria ya Vyombo vya habari ikaja, wanahabari nao wakakosa support
Wanafunzi wakakosa mikopo, watu wengine kimya
Sasa ni JF, wengine kimya
Kuna principle inasema, mmoja wetu akionewa, ni wote tumeonewa (hii Tanzania hakuna).......
Watawala watatunyanyasa sana na kura watachukua kwa nguvu.....FFU watapiga mabomu mkikaa mita 200
Aisee kumbe unasahau neno hili alilosema yesu "wengine kutokana na dhambi zao zimekwisha watangulia hukumuni" hivyo wale waliomsulubisha yesu tayari walisha hukumiwaKama ni hivvyo unavyoamini basi haujauelewa Ukristo, Yesu alisema siku ya mwisho nitarudi kuwahukumu wazima na wafu, hivyo kwa mujibu wa Yesu na mafundisho ya Kikristo bado tunasubiri hukumu yao/yetu!
Nikupambana nae. Heri kufa ukipambana kuliko kufa ukiwa umepiga magotiSasa unaweza kufanya nini mtu mwenye silaha na mamlaka akikukamata iwe kwa kosa ama kuonewa?
Mkuu onesha mfano basi sio unaishia kusema tu humu,maana nawe utakuwa kama hao wanaoishia kulalamika tu.Mimi nadhani upole wetu wtz ndo kuumia kwetu, hawa jamaa wameshavuka mstari, inabidi kuwatuliza kwanza, kwa mwendo wetu huu wa kulalamika itafika kipindi tutakuwa kama north korea, inabidi tuanze ku deal nao, especially watu wa juu sio hawa polisi wanaotumika, nchi za magharibu huwezi fanya upuuzi huu,Nigeria wanamsemo wao wanasema "u do I do", kama wao wamezamilia kumaliza vijana wote tukumbuke pia na wao wako na familia zao, tuamkeni.
Kwamba it is better to die for fighting than to die for being a pardon, haya bwana.Nikupambana nae. Heri kufa ukipambana kuliko kufa ukiwa umepiga magoti
Tafadhali soma Maelezo utaelewa.Tatizo ni nini.