Kwahyo raisi hapingwi !??Mlijiachia sana wacha wawashtue kidogo,dharau zilizidi mno kwa rais wa nchi hata penye ukweli mnapinga tu. Wakati mwingine nilifananisha hapa km mange kimambi asiejielewa huku mkiwa na fake ID.
kina lizaboni@rutashobolwa@MOTOCHINI wangoje kupanda vyeowatu wanaongea ukweli uliopitiliza na jamaa hawako tayari kuvumilia. Wanaotafutwa ni wale wanaokosoa tu.Kama.unasifia usishangae kupata cheo
sheria ya Mitandao ya mwaka 2015 imo wazi sana ktk hiliUpo sahihi mkuu,
Hakuna ulazima wa ku disclose source of information.
Unless kama ulivyosema ila tatizo kubwa hapa polisi watahitaji sana mambo ya kisiasa kuliko sheria inavyotaka.
Tunahitaji kesho afikishwe mahakamani tufahamu wanatumia sheria ipi kulazimisha mmliki wa chombo cha habari kutoa source.
Lakini mbona hili ni kosa la kipuuzi sana kiasi kwamba halingii akilini badala yake linazua maswali yawezekana kuna cha ziada ambacho sisi hatukijui kilichofanya wao wamshikilie!!!?Maxence Melo, mkurugenzi mtendaji wa jamii forums amekamatwa na jeshi la polisi, kituo cha kati Dar.
Polisi wanaeleza kuwa kesho atafikishwa mahakamani kwa kosa la kushindwa kutoa ushirikiano kwa mamlaka.
Kesho atapanda kizimbani.
Watufunge tu.ila ukweli utasemwaaaaaaaaaaaaa.Ww hujifichi poppte hata ubadili Emails watakusoma tu TCRA
Tamba.tunawajua wasaliti mpo humu humu.unafikiri mchawi anatoka mbali?si kuna wanasheria wabobez humu..... raise ur views..: anashikliliwa kwa kukutunzia eshima wewe.... afu bado unajisahau:
Tunajua hamuipendi jamii forums.ila mungu anawaonaaAfsa nyie ndo mnaotafutwa maneno gani hayo shauri yako hujui hata majirs na nyakati
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na Mmutunapoelekea tutakua tunaingia jukwaa la vichekesho na mapishi tu humu ndan...
Lizaboni hayumo .polisi wamnataka wajue majina yetu halisi na namba za simu?