Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

This the freak wana jf mathinker hoi hawajiamini tena kwa nn mbona tulijiamini sana ktk hoja wap sasa
 
Kifuatacho JF itakuwa ni uwanja wa CCM kujidai.
Wewe ndiyo kwa akili yako unaona JF ni mali ya Chadema nyie ndiyo mnafanya kila Melo wanasumbuliwa.
Kwahiyo akina MELO wanasumbuliwa kwa ajili JF inaonekana kama mali ya CHADEMA?
 
Hoja yako hapa ni nini?

Kwa hiyo kama kipindi cha JK ilikuwepo basi iendelee kuwepo?

Kwa mantiki yako unataka kusema kwa sababu wakati wa JK kulikuwa na ufisadi basi uachwe uendelee kuwepo. Au kwa sababu kipindi cha JK kulikuwa na watumishi hewa basi waachwe tu waendelee kuwepo.

Unatakiwa uelewe kuwa dunia inabadilika kulingana na mazingira.

Leo hii hata Uingereza wamepitisha sheria ya mitandao ambayo miaka ya nyuma hawakutegemea kama itawezekana lakini kutokana na mazingira, sheria kali imepitisha bila hata kupata upinzani mkubwa bungeni.

Kwa kukusaidia soma hapa;

'Extreme surveillance' becomes UK law with barely a whimper

The Investigatory Powers Act, passed on Thursday, legalises a whole range of tools for snooping and hacking by the security services unmatched by any other country in western Europe or even the US.

US whistleblower Edward Snowden tweeted: “The UK has just legalised the most extreme surveillance in the history of western democracy. It goes further than many autocracies.”

Jim Killock, the executive director of Open Rights Group, said: “The UK now has a surveillance law that is more suited to a dictatorship than a democracy. The state has unprecedented powers to monitor and analyse UK citizens’ communications regardless of whether we are suspected of any criminal activity.”

Renate Samson, the chief executive of Big Brother Watch, said: “The passing of the investigatory powers bill has fundamentally changed the face of surveillance in this country. None of us online are now guaranteed the right to communicate privately and, most importantly, securely.”
Kama JF night tatizo na unaamini hivyo, situation zote ulikuwa unafanya nine humu!?
 
Data gani wanataka? Si waje hapa waanzishe thread tuwape detais zetu
Wanataka vitu kama IP adress,Email uliyojiungia wanasahau kama kuna watu wana ID special ambazo akitaka kumwaga mchele hu activate VPN na kuwa na Fake ID wasitegemee kukamata watu makini
 
Melo yuko salama..wala hakuna jambo jipya kaitwa kuhojiwa tuu.
Lakini walio sababisha kuitwa kuhojiwa ni wale waleta habari za uzushi ambazo serikali inalazimika kuhangaika kuzikanusha kila leo...
sheria ile ya mitandao ina ipa mamlaka polisi kupata taarifa za mtu kutoka kwa mtu na inawezekana hata kuchukua vifaa husika...
Melo yuko salama salimini.
Acha hizo, yuko salama kivipi wakati hata dhamana Polisi wamemnyima? Hivi kweli ktk akili ya kawaida, mtu aliyejipeleka mwenyewe Polisi baada ya kuitwa ananyimwa dhamana halafu unadai yuko salama mahabusu; mahabusu kuna usalama gani?

Vv
 
Ninakumbuka wakati uleeeee zilikuwa zikiletwa thread za udaku au madai fulani zilikuwa zikiwekwa pending kusubiri ukweli. Kama hakuna ukweli zilikuwa zinafutwa.

Kwa sasa nadhani MOD's wamezidiwa na uwingi wa thread kiasi kwamba inawawia vigumu kupitia kila thread.

Kwa sasa kuna hizi ID's zilizojiunga mwaka huu 2016 ambazo hata michango yake ni kama uko facebook au instagram. Ninaamini michango ya aina hii ya kifacebook na instagram imewafanya baadhi ya watu wenye uelewa mpana kwa sasa kutochangia kwenye mijadala mbali mbali.

Nakupata sana mkuu.

Mimi mwenyewe nimekuwa nachechemea miaka ya hivi karibuni na hiyo ni kutokana na wingi wa mada za muonekano wa FB na Instm kukatisha tamaa.

Ila bado nijivunia kuwepo hapa kwa miaka 10 ilopita na nimeona mengi, ila kwa sasa JF imefikishwa mahali si pazuri na wa kulaumiwa ni hawa baadhi ya wanachama wenzetu ambao pengine walikuwa na lengo zuri la kukosoa lakini wakavuka mipaka.

Kwa sasa maji yamemwagika na ni vigumu kuyazoa.

Ni matumani yangu kwamba Maxence Melo ataachiwa bila masharti na pia kushirikiana na polisi kwa kadri ya uwezo alo nao.

Kosa lake ni kuzuia uchunguzi wa polisi yaani "preventing the course of justice" kwa maana kwamba mlalamikaji ni dola na mlalamikiwa ni Max kwa niaba ya JF.

Cha msingi ni kwa wakili wa Max kuhakikisha Maxcence Melo anapata dhamana kesho.

Akipata dhamana itamwezesha kujipanga upya na kuunda mkakati mpya wa kuisuka JF upya kulingana na sheria ya mtandao inavyotaka maana ilikwishasainiwa.
 
Maxence Melo, mkurugenzi mtendaji wa jamii forums amekamatwa na jeshi la polisi, kituo cha kati Dar.

Polisi wanaeleza kuwa kesho atafikishwa mahakamani kwa kosa la kushindwa kutoa ushirikiano kwa mamlaka.


Kesho atapanda kizimbani.
Hakuna kitu kinaitwa "kituo cha kati"....kama unatataka kutafsiri maana ya neno "Central Police Station" inatakiwa useme "kituo kikuu cha polisi" na sio "kituo cha kati"
Waandishi wengi mnaboronga kwa hili!
 
Uhuru wa kujieleza una mipaka yake soma hii paragraph nadhani imewekwa hapo juu na moderator katika post #1 kuwa

" Watumiaji wa mtandao wa JamiiForums wako huru kuweka mijadala, kuanzisha mijadala, kuchangia chochote pasipo kuvunja sheria za nchi au kuhatarisha usalama wa taifa."

Unapoweka barua ya Ikulu tena ikiwa na nembo ya ikulu na sahihi ya kufoji ya msemaji wa ikulu huku ukijua kufanya hivyo ni kosa la jinai nia nini hasa kama si kutaka kuvunja sheria za nchi au kuhatarisha usalama wa taifa. Na hicho si serikali tuu hata uongozi wa JF unakipinga.

Alipofika maxence mello leo ni ujinga wetu sisi kama members wa JF kujali zaidi maslahi ya Matumbo yetu huku tukijua wazi tunawasababishia matatizo uongozi wa JF.

Tukipost kwa staha na kwa kutoa mawazo ambayo si ya kutengeneza makosa ya jinai kama kuleta Machapisho ya serikali tena ya kufoji sidhani kama mello leo hii angekuwa selo.
You have said it all bro...

Michango yetu iwe yenye kujenga na tafakuri fikirishi....sio watu wanatukana eti kwakuwa Jamiiforums ipo itawatetea

Eti kwakuwa tunatumia majina bandia basi tufoji nyaraka na tuziite za serikali ili kuichonganisha serikali na wananchi wake. Hii haikubaliki hata kidogo...JF isiwalinde watu wa namna hii kwani wanaaribu image ya JF.
 
Kama serikali iko serious kudhibiti uzushi na upotoshaji wangeanza na gazeti la UHURU, otherwise wanatania tu.

Wasidhani kila mtu anatishika, wengine hatuna desturi hiyo!
 
Hii comment yako inahusiana nini na Mada husika au hicho nilichokipost. Watu kama nyinyi ndio mnaosababisha kutia madoa JF na kuwaweka matatizoni viongozi wake
Kama kwako hakina maana unasepa, madoa mnatoa nyie mnaowashangilia mapolisi.
 
Wamuachie wanataka taarifa ili iweje?hawa watu wanahangaika sana
 
Back
Top Bottom