py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Vpn=virtual private networkHiyo namba tatu umeisisitiza japo sijaielewa naomba ufafanuzi
Mfano saizi umejiunga kifurushi cha tigo sasa isp=internet service provider wako ambaye ni tigo anakupa IP address na anaku monitor kila step unayofanya
Sasa VPN unatumia private network mfano network ipo uholanzi,Romania au popote pale sasa Ww utadownload VPN kwenye site yake kisha utalipa kiasi cha pesa aidha kwa mwezi au mwaka huyu anakupa IP address yake yy,ya server yake mtu yeyote akikutafuta anakutana na IP ya server ya VPN yako kama yupo Romania basi itaonyesha Ww upo Romania huyu mwenye server IP yko anaificha ..
VPN -virtual private network
Raha ya kusoma BCS ndio hii