Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He Once commented "Mtanikumbuka"I will be Loving Jakaya kikwete Forever
China fb ipo sema sio maarufu ni ka uku kwetu na twitter vile.....China wakiifungia facebook hawana shida kwa sababu hata wakitengwa na mataifa makubwa bado wana uwezo wa kujitegemea!....Kutengwa na mataifa makubwa maana yake ni pamoja na kunyimwa kuuziwa vitu muhimu kama vile dawa za malaria,dawa za ukimwi,nguo,computers,magari,silaha za kivita e.t.c sasa imagine Tanzania inyimwe hivyo vitu,je nchi si itasimama???(kwa sababu ni lazima ujue kuwa Tanzania hatuna uwezo hata wa kutengeneza chupi inabidi tutegemee wazungu watutengenezee!![emoji30]......hebu dadisi hiyo chupi uliyovaa imetengenezewa wapi then uone kama hautachanganyikiwa kwa kugundua kuwa hili ni taifa la wendawazimu)
Sasa inasubiri nini?Mh!! Serikali hujui kama inauwezo wa kuifungia facebook isiwe hewani Tanzania?
Tumia akili wwVipo vigezo humu na masharti pia. Ulitaka yapi tena? Au ndio woga kwahiyo unaanza kujitakatisha na comments safi
kuna basic info. wakishazipata kutoka kwa max melo basi umeisha hata kama una fake idkivipi
Ndio maana narudia tena habari yoyote ya uzushi inaondolewa na hao wahariri. Mfano ni ile habari ya kuteuliwa kwa wassira na CCM ile ilikuwa habari ya uzushi na ilaondolewa.Ndio maana kuna wahariri na wakiona hakuna ukweli huwa wananondoa taarifa hiyo mapema,
Ni kazi ngumu sana kushindana na technology
Sizonje mtu wa ajabu kabisa kama anataka kufanya kazi afanye itaonekana tuu kwenye kumpongeza tutafanya hivyo na kwenye kumponda tutafanya hivyo daima ndo maisha yetu tuliyochagua great thinkers, we will always be one step ahead of you sizonje!
Kwa mfano,tamko la kufoji la serikali ni lipi?
Kwa mfano habari ya kufukia maiti saba waziri mmoja anasema ni wahamiaji haramu na mkubwa wake anasema ni magaidi sasa huo sio uzushi na uchochezi kwa wote au mmoja wao?taarifa kama hii utaamini yupi kwa uchunguzi gani na uhalali gani wauliwe vile?Habari za mashoga zinahusiana vipi ?
Kung'amua kama sio ukweli ni swala la mtoa habari
Kwanini alete habari ya kizushi ?
Serikali iwe kilasiku kukanusha uzushi !!!
Tulianza na kuzuia Bunge live
Siasa mpaka 2020
Baadaye kama masikhara hivi Mkuu akasema anatamani mitandao ya kijamii hasa JF(Ingawa hakutaja moja kwa moja) isingekuwepo kabisa due to critics ambazo anapata , lakini ni muhimu kukosolewa ili kujua ni wapi ulipojikwaa na kusonga mbele.Sasa hatutaki kushauriwa wala kukosolewa,yeyote atakayethubutu kukosoa basi mpinzani,yaani sasa tunatakiwa kuwa watu wa ndiyo Mzee 🙁🙁
This is awkward Government to deal with😎😎😎
Hapo alichochewa nani na alifanya nn baada ya kuchochewa ?Kuna uzi humu ulisema wazi na ushahidi kuwa Makamu wa rais amejiuzulu.
Kuna uzi humu ulipost barua ya ikulu ikionyesha nembo ya ikulu na sahihi ya msemaji wa ikulu ikielezea kutenguliwa kwa mrisho gambo. Huo sio uchochezi ? Au uchochezi kwako ni mpaka watu washike bunduki