Kyodowe
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,236
- 1,368
Kwani JF members wote tz! Zaidi ya 40% ya members humu ni diaspora.Server (domain? )zake haziko Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani JF members wote tz! Zaidi ya 40% ya members humu ni diaspora.Server (domain? )zake haziko Tanzania
Itabidi jamaa aondoke na serve yake akakae marekaniJioni hii nilipata wasaa wa kuongea na rafiki yangu mmoja, yeye kazi zake ni zile "maalum" huko ukudani.
Kanidokeza kuwa "majamaa" wamepanga kuifungia JF.
Lets wait and see...!
Siku zote maisha yana Plan B. Ngoja tuje na new version ya JF Plus/JF+(server/domain) itakuwa nje ya tz.Server (domain? )zake haziko Tanzania
Hata mimi napenda sana Maxence Melo apate dhamana haraka.
Ninatumaini polisi na uongozi wa Jamiiforums watafikia muafaka nje ya mahakama.
Changamoto iliyopo kwa uongozi wa jamiiforums ni namna ya kufuatilia mijadala hapa JF hasa ikichukuliwa kuwa kwa sasa wanachama wamekuwa wengi lakini michango yao niya udaku, kifacebook au instagram.
Ndio maana kuna wahariri na wakiona hakuna ukweli huwa wananondoa taarifa hiyo mapema,Hivi ushajiuliza ni matukio mangapi yanatokea nchi nzima kuingku na polisi inabidi wadili nayo. Mambo mazito ya forgery kama yapi? Hivi unajua kuwa mumewe yule kajala masanja muigizaji mpaka leo hii yupo jela kwa ajili ya gorgery. Hujiulizi kina shose sinare na sioi sumari wako rumande na moja ya kosa lao ni forgery.
Mnachotetea ni hawa wahalifu wanaharibu taswira ya JF wasichukuliwe hatua wao ni kina nani?
Inawezekana isiwe ni approach nzuri kumkamafa maxence mello na kumlaza ndani ila kesi ya msingi hapo ipo.
Information za wale wavunjifu wa amani wanapost matamko ya kufoji ya serikali lazima zitolewe na wachukuliwe hatua ili ku maintain Law and Order.
Faida za jamii forum ni kubwa ×1000 kuliko hayo machache ambayo yanawakera watu fulani fulaniHivi ushajiuliza ni matukio mangapi yanatokea nchi nzima kwa siku na polisi inabidi wadili nayo. Mambo mazito ya forgery kama yapi? Hivi unajua kuwa mumewe yule kajala masanja muigizaji mpaka leo hii yupo jela kwa ajili ya gorgery. Hujiulizi kina shose sinare na sioi sumari wako rumande na moja ya kosa lao ni forgery.
Mnachotetea ni hawa wahalifu wanaharibu taswira ya JF wasichukuliwe hatua wao ni kina nani?
Inawezekana isiwe ni approach nzuri kumkamafa maxence mello na kumlaza ndani ila kesi ya msingi hapo ipo.
Information za wale wavunjifu wa amani wanapost matamko ya kufoji ya serikali lazima zitolewe na wachukuliwe hatua ili ku maintain Law and Order.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa nini?mmu yenyewe nayo ina mashaka mashaka
mkuu busara yako itakuongoza kung'amua nani kaagiza hayo yafanyike.Ina maana hayo ni maagizo ya Rais au?
Aisee hapa unaweza ukajikuta kwenye list umo?Hivi mfano tukibunia au kukisia, hawa Polisi walikua wakiomba taarifa za watu kama kina nani hasa??
Yaani taarifa za kina nani hasa zilitakiwa Polisi hadi kuamua kuwekana ndani??
Ni verified Members??
Ni [HASHTAG]#TeamLumumbaBk7[/HASHTAG]??
Ni Makamanda??
Ni kina nani hawa wanaotakiwa kwa udi na uvumba na hao Polisi??
ndugu yangu jamii media ndo inageuzwa kuwa kampuni tanzu ya uhuru mediaKimenuka! Sasa ni Mwendo wa comment za kupongeza tu!
Tunaunga Mkono Jitihada za Mh. Rais kwa kukuza Uchumi na kurejesha Uadilifu na nidhamu Serikalini!
Mimi huwa naogopa sana watu wanaotaja taja sana jina la Mungu. Mara nyingi huwa ni wanafikiHivi atakubali kweli tumbadilishe mwingine baada ya miaka yake mitano? Naona kama sasa amezidi, hataki kukosolewa, kusemwa vibaya, mbona katika jamii zetu sijawahi kuona mtu anasemwa kwa mazuri tu, hata ufanye mazuri mwingine anaweza kuona ni mabaya kwa mtazamo wake, yani leo wote tuwe na mtazamo sawa inawezekana kweli? Mbona mke kila mtu anachagua anayempenda iweje kwa kiongozi kulazimishana kumpenda wote?!!!! anyway duniani kuna kuzaliwa na kufa, yote ni maisha, hakuna atakayeishi milele, Hitler alikua mbabe kweli lakini mwisho wa siku alikufa.
ifafanue mkuu.nikiangalia kwa mbali swala la mama kuhamisha fuso la mchanga ndilo lililozaa haya yote, sasa vinatafutwa vyanzo vya habari
Kwa mfano,tamko la kufoji la serikali ni lipi?Hivi ushajiuliza ni matukio mangapi yanatokea nchi nzima kwa siku na polisi inabidi wadili nayo. Mambo mazito ya forgery kama yapi? Hivi unajua kuwa mumewe yule kajala masanja muigizaji mpaka leo hii yupo jela kwa ajili ya gorgery. Hujiulizi kina shose sinare na sioi sumari wako rumande na moja ya kosa lao ni forgery.
Mnachotetea ni hawa wahalifu wanaharibu taswira ya JF wasichukuliwe hatua wao ni kina nani?
Inawezekana isiwe ni approach nzuri kumkamafa maxence mello na kumlaza ndani ila kesi ya msingi hapo ipo.
Information za wale wavunjifu wa amani wanapost matamko ya kufoji ya serikali lazima zitolewe na wachukuliwe hatua ili ku maintain Law and Order.