Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

kwa hili ni lazima watz wote tuje pamoja tuseme hatutakubali serikali kuingilia faragha zetu haiwezekani!!!!!!!
 
Hawana uwezo wa kuifunga facebook isiwe Tanzania kwa sababu kwa kufanya hivyo ni kukiuka uhuru wa habari wa kimataifa na adhabu yake ni kutengwa ambayo ni adhabu mbaya sana!

I think Korea walishawahi kuifunga Facebook,sijui ni north Korea ama China,sina uhakika....
 
Jioni hii nilipata wasaa wa kuongea na rafiki yangu mmoja, yeye kazi zake ni zile "maalum" huko ukudani.
Kanidokeza kuwa "majamaa" wamepanga kuifungia JF.
Lets wait and see...!
 
Asilimia 95 ya watumiaji wa JF wana ID fake. Serikali imeshatangaza kuwa kumiliki ID fake kwenye mitandao ya kijamii ni kosa la jinai. Sasa nyie wenye ID fake kiama kinakuja jiandaeni.

Mimi nipo clean.
Unataka kusemaje sasa mbna kama unapinda pinda
Waambie mods unatuambia sisi kwani ndio tulioanzisha jf

Hizi akili za usiku ukinywa uji wa moto wenye iriki zitaamka
 
sikusema kaitwa kwa tukio hilo,ila nilijiuliza mbona polisi kuna mambo mazito ya forgery hawayafanyii kazi kama hilo tukio la zuio feki la mahakama maana ile ilkuwa ni mockery of democracy na hilo suala limeisha kijuu juu tu as if nothing happened.

Hivi ushajiuliza ni matukio mangapi yanatokea nchi nzima kwa siku na polisi inabidi wadili nayo. Mambo mazito ya forgery kama yapi? Hivi unajua kuwa mumewe yule kajala masanja muigizaji mpaka leo hii yupo jela kwa ajili ya gorgery. Hujiulizi kina shose sinare na sioi sumari wako rumande na moja ya kosa lao ni forgery.

Mnachotetea ni hawa wahalifu wanaharibu taswira ya JF wasichukuliwe hatua wao ni kina nani?

Inawezekana isiwe ni approach nzuri kumkamafa maxence mello na kumlaza ndani ila kesi ya msingi hapo ipo.

Information za wale wavunjifu wa amani wanapost matamko ya kufoji ya serikali lazima zitolewe na wachukuliwe hatua ili ku maintain Law and Order.
 
Mh!! Serikali hujui kama inauwezo wa kuifungia facebook isiwe hewani Tanzania?
Ina uwezo ila sheshe lake sio la kitoto, kuna wakati Misri walijaribu wakapewa 24 hrs wawe wamefungua na Libya walijaribu, sijui serikali yetu ina gutz za kuhimili kelele ya jumuia za kimataifa.
 
Hivi mfano tukibunia au kukisia, hawa Polisi walikua wakiomba taarifa za watu kama kina nani hasa??
Yaani taarifa za kina nani hasa zilitakiwa Polisi hadi kuamua kuwekana ndani??
Ni verified Members??
Ni [HASHTAG]#TeamLumumbaBk7[/HASHTAG]??
Ni Makamanda??
Ni kina nani hawa wanaotakiwa kwa udi na uvumba na hao Polisi??
 
SAFI SANAAAAAA!! futeni id zoote feki ..Huku jf wengine wenye majina yetu ya asili kama mimi yaani imekuwa kero ...yaani nikisema nitongoze demu humu sipati kabisa eti kisa id yangu..! Sasa kuna mijitu humu ina id feki utakuta jitu lingine linajiita World boss mara Mwingine Dangote mara mwingone The Boss nk. nk. Yaani mijitu kama hii inakubaliwa haraka haraka lakini sie akina Dume suriali,Jambazi,Zombi,Malaria sugu nk nk. Tunaletewa dharau na majina yetu halisi ..
 
I think Korea walishawahi kuifunga Facebook,sijui ni north Korea ama China,sina uhakika....

China wakiifungia facebook hawana shida kwa sababu hata wakitengwa na mataifa makubwa bado wana uwezo wa kujitegemea!....Kutengwa na mataifa makubwa maana yake ni pamoja na kunyimwa kuuziwa vitu muhimu kama vile dawa za malaria,dawa za ukimwi,nguo,computers,magari,silaha za kivita e.t.c sasa imagine Tanzania inyimwe hivyo vitu,je nchi si itasimama???(kwa sababu ni lazima ujue kuwa Tanzania hatuna uwezo hata wa kutengeneza chupi inabidi tutegemee wazungu watutengenezee!![emoji30]......hebu dadisi hiyo chupi uliyovaa imetengenezewa wapi then uone kama hautachanganyikiwa kwa kugundua kuwa hili ni taifa la wendawazimu)
 
Back
Top Bottom