Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Humu ndani hata watu wakitoa lugha chafu mnasema freedom of speech.

Tutofautishe kuropoka na Freedom of speech.
Hata kama wameropoka ni kifungu gani cha Sheria Kilichosema Waropokaji wakamatwe?

Rais yyt anaweza kutukanwa, akakshfiwa na akasemwa kwa kebehi vile vile.
Hayo ni mambo ya kawaida ktk NCHI ZOTE ZENYE DEMOKRASIA YA KWELI.
Tazama Obama na Marais wote w Ulaya. Wanachorwa mpk Wamevaa vichupi tu.
Wanatukanwa na Kukebehiwa kila siku. Nani umeskia Kakamatwa?

Ingia Face book, Twitter and so on uone matusi wanayotukanwa Viongozi wa Nchi za wenzetu. Umeshawahi kusikia Wamekamatwa.?

Magufuli anatawala Nchi KIBEBERU.
Wakati wa Mzee wetu Kikwete Watu walikuwa wanasema wapendavyo.

Na Mzee wa Watu wala habari hana.
Leo KIKWETE anakumbukwa.
Na Huyu Magufuli Pia atapita tu.

Hizi ni Jazba za kisukuma.
Zina mwisho wake.

Walitokea kina King Arthur and Ferrous walitawala EMPIRE wacha nchi ndogo km Tz. Leo hii WAKO WAPI?
Kwisha maneno yao.
Hata mifupa yao Hakuna.
 
Nashauri tu wana jamii forum nasi tuwe makini na maon yetu kwenye hoja mbali mbali, mambo mengine Mungu atatupa wepesi tu jamani si kila siku kulumbana na serikali matokeo yake ndio tunawaweka sehemu mbaya wenzetu, pole mr melo huwa hayeendelei daima
 
ha asante melo endelea kutulinda
 
Acha ubinafsi wewe na usitake kudanganya kwamba vita inaletwa na kuruhusu watu kutoa maoni yao kwenye media. nyakati hizo zimekwisha na kuongoza kizazi cha sasa kunahitaji kutumia akili zaidi kuliko nguvu za misuli
 
Reactions: J C
while there is already a pending case at the high court, a criminal case has been instituted.

forum shopping at its pinnacle
 
Alafu kila siku eti 'mniombee'.
Ili aendelee kutufanyia mambo ya ajabu ajabu, sawa tutakuombea, ila hilo ombi........
ha ha limekufika hapa! kumbe nawewe huwa unabwabwaja!
 
Kwenye hili la Uhuru wa kujieleza namkumbuka sana Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete
 
Mmmmh, hii ngoma nzuri, kichaka kimevamiwa. Kwa sasa bora kuwa msomaji tu kilichoandikwa
 
Unataka kutuambia nini Mkuu ? Unawaweka watu kwenye mtego eeh ?

Ngoja niende kule kwenye mapenzi japo sie wengine tuna nyota za punda mpaka tubebeshwe mzigo ndio tule
MMU naomba mnipokee
Karibu MMU... Huku tunaingiaga kwa machale tukihitaji stress ndo tunakuja wengine
 
Sasa gharama ya hiyo VPN ikoje kwamfano?
 
Kuna sheria gani inaruhusu kuingilia faragha ya mtu
 
jamani niliimisi sana Jf,imenisaidia vitu vingi sanaaaa ambavyo nlikua busy navyo hadi nikapotea humu jukwaani.
habari hii imenishitua sanaaaa........
ni mwendo wa kuzidisha maombi tu,haya yote yatakwisha.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…