Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Pamoja na kuwa rushwa ilikuwa ni kubwa katika serikali iliyopita lakini mitandao ya kijamii na uhuru wa kujieleza ulisaidia sana. Hebu imagine kama tungekuwa tumefungwa midomo, yaani jamaa wangepiga hela kanini. sasa tuendako serikali ya kuendeshea gizani, sijui itakuwaje.
 
Since the beginning of the 21st Century, authoritarian regimes have been shaking in their pants from a looming danger. Don’t think that the danger has anything to do with “Nuclear stockpiles” or “Dinosaur apocalypse”. The danger is in “you”: Social Media users, for instance JF in our context. Why? Because social media is a powerful tool that can invoke “synchronized public actions, resulting from “synchronized public awareness.” This is why so much time and resources is often spent on controlling the Media. Daunting challenge however arises from the fact that unlike traditional media, social media is much more unpredictable, hence uncontrollable. For instance, passing of information via ‘JF’ has freed many Tanzanians from relying on traditional media outlets, which are increasingly becoming state controlled. Also with the advent of ‘JF’, the influence of State Propaganda is becoming severely limited as vast sources of information which are beyond government’s control are now easily accessible by ordinary Tanzanians.

You are a nightmare to the regime.
Bora mmempa ban mpeni ya mwezi mzima maana saa hizi tuna hasira NA wao wanaleta maneno ya ajabu ajabu humu bora apumzike NA Sisi tuheme kheeee
 
Sasa unataka tuwe tunasfia tu? Hapa ilibidi polisi iseme inamtafuta nani na kwa makosa gani lkn wao wanachota ni kuwajua wachangiaji wote ktk jamii forum na kumonitor mijadara yote na kuamua mada gani iwekwe na kujadiliwa. Tupinge kwa nguvu zote
 
Kama ni kwel kwamba wamemkamata kwa sababu za kushindwa kutoa siri za jf... Basi interijensia yote inapaswa kuacha kazi...
.
Maana kwa dunia ya sasa ni rahisi muno, hata ukimchukua mtt Wa kichina mwaka Wa kwanza anafanya..

Kuwen wabunifu, ila kama ni tatzo jingine mmmhh....
 
Nimewaza tu. Hivi juzi si ndo wameenda ofisini kuchukua baadhi ya nakala alizo lipia kodi?. Hawa jamaa sio wazuri na wanaweza kuja na option ya kwamba jamii forum ilikuwa hailipi kodi hivo inavujwa au wakaja na zengwe lolote lile. Nawaza tu jinsi itakavo kuwa jamii forum isipo kuwepo. Tumejifunza mengi sana pengine na wengi wetu hapa ilikuwa ni kama kibuludisho na pengine sehemu ya kutolea stress

Serikali ituache na uhuru wetu kwanini wanataka kutuziba midomo. Lazima kuna uozo unakuja wanahofua aibu watakayo ipata sio bure
 
Jamani huku sasa tunakokwenda kumezidi[emoji22][emoji22]..Max wewe ni shujaa,wanasema dhahabu ukiichoma moto ndiyo inazidi kung'aa...usigive Up..kaza mpaka mwisho Max
 
Halafu bado mnadhani mtaendelea kujificha kwa anuani bandia, kwa upuuzi kama huu,! Unaposhindwa kumheshimu rais wa Nchi yako unayeweza kumpa heshima ni nani ? Katika maisha yako??
Biblia inasema tiini mamlaka iliyo kuu sabbu hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu. !!! Halafu kwa kebehi na dharau zenu mnataka Nchii iendelee kuwaangalia tu,! Kwa kisingizio cha uhuru wa maoni na kukosoa.!
Haiwezekani na halitawezekana.
Si mamlaka zote zinatoka kwa Mungu... Mfano idi Amin dadaa unataka kusema mamlaka yake yalitoka kwa Mungu??
 
JF ina rensponsibility kubwa sana, kama vivlivyo vyombo vingine vya Habari, kuna mambo mengi ya uongo na uzushi huletwa humu na kuachwa, ikumbukwe kwamba nchi nyingi kama Kenya, Rwanda, Burundi n.k Vita ililetwa na Vyombo vya Habari kama redio na TV, hivyo JF ina jukumu la kulinda amani ya nchi, kama ni kweli amekamatwa, na kama siyo kweli basi wajifunze na wabadilike, watambue jukumu lao kwenye Jamii!

CEO wa JF asipumbazwe na watu wanaosapoti kwenda kinyume na Serikali hapa, wengi wao wana maisha yao na wala hawaishi TZ, na JF ikifa kesho, au ofisi ya JF kunyimwa kibali cha kufanya kazi TZ hawana cha kupoteza, zaidi ya kuhamia kwenye mtandao mwingine na kuendeleza wanayoyafanya, hivyo angalia maisha yako na familia yako, fanya lililo sahihi na jinsi Serikali inavyokutaka kwani mwisho wa siku Serikali ndiyo yenye nchi, watakushauri wanachama wa JF wanavyotaka lkn Serikali ndiyo wasimamizi wa hii nchi!
Nchi inatakiwa kuwa chini ya katiba na sio serikali. Ni udikteta nchi kuwa chniya serikali. Uhuru wa maoni ni maoni aina zote. Mazurj na mabaya
Acha kutaka kuliweka taifa gizanj. Maoni mazuri kwa polisi ni mabaya kwa mwizi ndiyo ukweli. Hakuna mwenye kipimo cha kupimia maoni mazuri au mabaya kwa kuwa uzuri au ubaya wa maoni ni subjective Mkuu
 
Melo yuko salama..wala hakuna jambo jipya kaitwa kuhojiwa tuu.
Lakini walio sababisha kuitwa kuhojiwa ni wale waleta habari za uzushi ambazo serikali inalazimika kuhangaika kuzikanusha kila leo...
sheria ile ya mitandao ina ipa mamlaka polisi kupata taarifa za mtu kutoka kwa mtu na inawezekana hata kuchukua vifaa husika...
Melo yuko salama salimini.
Wewe ni rahisi kusema hivyo kwa sababu upo upande huo wa uovu
 
Hivi atakubali kweli tumbadilishe mwingine baada ya miaka yake mitano? Naona kama sasa amezidi, hataki kukosolewa, kusemwa vibaya, mbona katika jamii zetu sijawahi kuona mtu anasemwa kwa mazuri tu, hata ufanye mazuri mwingine anaweza kuona ni mabaya kwa mtazamo wake, yani leo wote tuwe na mtazamo sawa inawezekana kweli? Mbona mke kila mtu anachagua anayempenda iweje kwa kiongozi kulazimishana kumpenda wote?!!!! anyway duniani kuna kuzaliwa na kufa, yote ni maisha, hakuna atakayeishi milele, Hitler alikua mbabe kweli lakini mwisho wa siku alikufa.
Huyu bwana hatoki. Kuna gepu ya katiba inakuja soon.
 
Shairi kwa Max

[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]

Nimekuja mara moja kuonesha mshikamano kwa heshima ya Max.

Max Melo yupo selo, wengi twaona kero
Kashikwa na makachero, sheria za lelolelo
Pasi dhamana jero, ya katiba kapelo
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Max si mhalifu, kijana muadilifu
Ukumbi yakinifu, kuweka ubadilifu
Watu watoe kifu, pia hata kusifu
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Max alikataa, habari za hadaa
Majina kuwafaa, kwake kubwa fadhaa
Kanuni za nakaa, muhuri ushakaa
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Kiranga ka nabii, haya aliyaona
Akafanya utii, kaenguka kuonya
Ukumbi namna hii, tutakosa kunyonya
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Basi nduguzanguni, tuzidi shikamana
Walio uzunguni, hadi kwetu kwa mama
Tulio uvunguni, kazi bila lawama
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero
 
Shairi kwa Max

[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]

Nimekuja mara moja kuonesha mshikamano kwa heshima ya Max.

Max Melo yupo selo, wengi twaona kero
Kashikwa na makachero, sheria za lelolelo
Pasi dhamana jero, ya katiba kapelo
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Max si mhalifu, kijana muadilifu
Ukumbi yakinifu, kuweka ubadilifu
Watu watoe kifu, pia hata kusifu
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Max alikataa, habari za hadaa
Majina kuwafaa, kwake kubwa fadhaa
Kanuni za nakaa, muhuri ushakaa
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Kiranga ka nabii, haya aliyaona
Akafanya utii, kaenguka kuonya
Ukumbi namna hii, tutakosa kunyonya
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Basi nduguzanguni, tuzidi shikamana
Walio uzunguni, hadi kwetu kwa mama
Tulio uvunguni, kazi bila lawama
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Good to have you back!
Please stay
 
Shairi kwa Max

[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]

Nimekuja mara moja kuonesha mshikamano kwa heshima ya Max.

Max Melo yupo selo, wengi twaona kero
Kashikwa na makachero, sheria za lelolelo
Pasi dhamana jero, ya katiba kapelo
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Max si mhalifu, kijana muadilifu
Ukumbi yakinifu, kuweka ubadilifu
Watu watoe kifu, pia hata kusifu
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Max alikataa, habari za hadaa
Majina kuwafaa, kwake kubwa fadhaa
Kanuni za nakaa, muhuri ushakaa
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Kiranga ka nabii, haya aliyaona
Akafanya utii, kaenguka kuonya
Ukumbi namna hii, tutakosa kunyonya
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Basi nduguzanguni, tuzidi shikamana
Walio uzunguni, hadi kwetu kwa mama
Tulio uvunguni, kazi bila lawama
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero
Badili msimamo wako kiranga mkuu
 
Back
Top Bottom