Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Ni mwaka mmoja umetimia, kesi zilizohusisha Maxence kukamatwa na baadae Mike kuunganishwa kwenye mashtaka bado ziko mahakamani. Hata leo hii 13 December 2017 kesi inasikilizwa. Tunawaombea mema na ushindi katika majaribu haya makubwa kwenye harakati za kutetea faragha za watonyaji (whistle-blowers) dhidi ya wahalifu nchini mwetu. Pamoja.

Steve Dii
 
😁😁😁
5532890.jpg
 
Mike Mushi mwakilishi mwenza mhhhhh!!!!!!!!!!!!!!! Hapa unadhani nini? Acheni hizo......Tumieni mitandao iwe huru na isitokeze baadhi yenu kutumikia wanasiasa.
Mlikuwa na upumbavu mwingi sana yaani mtu kuitwa mushi lema muro kimaro n.k kwenu mliona hawastahili kuishi Tz wakati ni raia halali wa nchi hii
 
Mada zingine zitaletwa kama zilivyo ili kuzienzi kutokana na kujitosheleza kwenye kila kitu
 
Naona sasa malaika kashaanza kushushwa kuifungia mitandao ya kijamii.

Iwa hao malaika na aliewatuma afahamu kuwa ni ngumu sana kuzuia mafuriko kwa mkono.

Nao hao malaika wanahitaji pia social media kusemea mema yao.

Yanamwisho.. ila huwezi zuia mafuriko kwa kutumia kiganja cha mkono.
Jiwe bhana!
 
Back
Top Bottom