Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

watu wanaongea ukweli uliopitiliza na jamaa hawako tayari kuvumilia. Wanaotafutwa ni wale wanaokosoa tu.Kama.unasifia usishangae kupata cheo
Teh Teh...sasa ni mwendo wa kusifia kwa kwenda front
 
Kwa wanafiki kama wewe ndiyo mtapongeza hewa maana hakuna cha kupongeza. Mnapongeza nini hasa!? Lugumi kufisadi 37 bilioni za polisi? Bilioni 16 za wahanga wa tetemeko kwa kukwapuliwa? Kuongezeka kwa deni la Taifa kwa 55.8% sawa na 24 trillion na sasa kufikia 67 trillion? Wanafunzi wengi wanaostahili kwenda vyuoni kukosa mikopo? Kuachiwa kwa majangili wa Tembo kwa sababu uchunguzi utachukuwa muda mrefu? Wabunge wa CCM kupokea rushwa ya bilioni 10 kila mmoja? Lipi la kupongeza kati ya haya? Unarejesha uadilifu na nidhamu Serikalini kwa kusema uongo ambao unapingwa na watendaji wako akina Mafuru na Ndulu?

Kwa wale wanaojitambua na wanaona ukweli halisi wa nchi kwenda hovyo kama alivyosema Mwinyi, "Nchi inaenda kama gari bovu haina sukani" Warioba, "Nchi imepoteza muelekeo" na Butiku, "Rais anayejiona yeye ni Tembo hatufai Watanzania"

Kimenuka! Sasa ni Mwendo wa comment za kupongeza tu!

Tunaunga Mkono Jitihada za Mh. Rais kwa kukuza Uchumi na kurejesha Uadilifu na nidhamu Serikalini!
 
Kwa wanafiki kama wewe ndiyo mtapongeza hewa maana hakuna cha kupongeza. Mnapongeza nini hasa!? Lugumi kufisadi 37 bilioni za polisi? Bilioni 16 za wahanga wa tetemeko kwa kukwapuliwa? Kuongezeka kwa deni la Taifa kwa 55.8% sawa na 24 trillion na sasa kufikia 67 trillion? Wanafunzi wengi wanaostahili kwenda vyuoni kukosa mikopo? Kuachiwa kwa majangili wa Tembo kwa sababu uchunguzi utachukuwa muda mrefu? Wabunge wa CCM kupokea rushwa ya bilioni 10 kila mmoja? Lipi la kupongeza kati ya haya? Unarejesha uadilifu na nidhamu Serikalini kwa kusema uongo ambao unapingwa na watendaji wako akina Mafuru na Ndulu?

Kwa wale wanaojitambua na wanaona ukweli halisi wa nchi kwenda hovyo kama alivyosema Mwinyi, "Nchi inaenda kama gari bovu haina sukani" Warioba, "Nchi imepoteza muelekeo" na Butiku, "Rais anayejiona yeye ni Tembo hatufai Watanzania"
Umeongea kwa uchungu lakini ndio ukweli. Kama anatenda yaliyomema ya kutaka kusifiwa tuuu kwanini anaiogopa JF??? That means hata yeye anajua ana walakini mkubwa mnooo ndio maana hajiamini na kujihami kwingi.
 
Kwa wanafiki kama wewe ndiyo mtapongeza hewa maana hakuna cha kupongeza. Mnapongeza nini hasa!? Lugumi kufisadi 37 bilioni za polisi? Bilioni 16 za wahanga wa tetemeko kwa kukwapuliwa? Kuongezeka kwa deni la Taifa kwa 55.8% sawa na 24 trillion na sasa kufikia 67 trillion? Wanafunzi wengi wanaostahili kwenda vyuoni kukosa mikopo? Kuachiwa kwa majangili wa Tembo kwa sababu uchunguzi utachukuwa muda mrefu? Wabunge wa CCM kupokea rushwa ya bilioni 10 kila mmoja? Lipi la kupongeza kati ya haya? Unarejesha uadilifu na nidhamu Serikalini kwa kusema uongo ambao unapingwa na watendaji wako akina Mafuru na Ndulu?

Kwa wale wanaojitambua na wanaona ukweli halisi wa nchi kwenda hovyo kama alivyosema Mwinyi, "Nchi inaenda kama gari bovu haina sukani" Warioba, "Nchi imepoteza muelekeo" na Butiku, "Rais anayejiona yeye ni Tembo hatufai Watanzania"

Tatizo lako hujui Fasihi ndio sababu umeandika Mengi sana ya kweli lakini hayaendani na muktadha wa nilichoandika
 
Kusema kweli nimeanza kumiss Ben Saanane na hasa maandishi yake. Sijui angesema nini kuhusu mkasa huu wa Mello kukamatwa. Mungu ndo anajua kila kitu kuhusu nchi hii wengine wote tunapapasa tu. I wish to read maandishi yake siku nyingi zaidi.
 
Angesema yote ambayo mpaka sasa hakuna aliethubutu kusema, ukweli na kutaka haki iheshimiwe, ndio tunasema kwa woga, br Mungu akulinde huko ulipo, urudi hai Benn we need you, your family need you.
 
Natafta majibu lakini mpaka muda huu hayajakamilika ndio maana najiuliza hivi ni jamiiforums pekee ndo yakutoa access ya server? Vipi mitandao mengine kama facebook, twitter na instagram, mbona wamiliki hawajakamatwa watoe access za server za mitandao yao ?
 
Kuna ma greater thinkers wakutosha kule kwingine wameishia kukamata wakiba shishi kiuno
 
Watanzania Tumefanya makosa makubwa sana.. Yatatuumiza Miaka hii iliobaki
 
Kwa wanafiki kama wewe ndiyo mtapongeza hewa maana hakuna cha kupongeza. Mnapongeza nini hasa!? Lugumi kufisadi 37 bilioni za polisi? Bilioni 16 za wahanga wa tetemeko kwa kukwapuliwa? Kuongezeka kwa deni la Taifa kwa 55.8% sawa na 24 trillion na sasa kufikia 67 trillion? Wanafunzi wengi wanaostahili kwenda vyuoni kukosa mikopo? Kuachiwa kwa majangili wa Tembo kwa sababu uchunguzi utachukuwa muda mrefu? Wabunge wa CCM kupokea rushwa ya bilioni 10 kila mmoja? Lipi la kupongeza kati ya haya? Unarejesha uadilifu na nidhamu Serikalini kwa kusema uongo ambao unapingwa na watendaji wako akina Mafuru na Ndulu?

Kwa wale wanaojitambua na wanaona ukweli halisi wa nchi kwenda hovyo kama alivyosema Mwinyi, "Nchi inaenda kama gari bovu haina sukani" Warioba, "Nchi imepoteza muelekeo" na Butiku, "Rais anayejiona yeye ni Tembo hatufai Watanzania"
Kaka... Kaka!! Kwa huu uchungu ulionyesha hapa i am speechless kwa kweli.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Vigezo na masharti inabidi kuzingatiwa ili twende na sheria mpya ya magazeti na ile ya mitandao
kusema ukweli humu JF mazombi tupo wengi mno inabidi uongozi ili ujichomoe na kadhia hii ni muhimu wote kuwa verify our names na adress kwa ujumla wake
kama kweli hatuna nia mbaya,
Mkuu mambo hayako hivyo. Kwanini kunakuwa na masanduku ya maoni maofisini au ktk taasisi mbalimbali ili kuwe na usiri wa kutoa taarifa? Si ungeenda moja kwa moja kwa bosi wako kumpa maoni au ungeweka tangazo notice board na jina lako ulieweka? Kwanini kuna namba za polisi za kutuma taarifa kwa usiri? Watu watashindwa kutoa taarifa nyeti wakihofia maisha yao.
 
Fasihi peleka jukwaa la lugha huku tunajadili issue zinazohusu Taifa letu siyo fasihi.

Tatizo lako hujui Fasihi ndio sababu umeandika Mengi sana ya kweli lakini hayaendani na muktadha wa nilichoandika
 
Inasikitisa kusema kweli Maxence Melo kuwekwa ndani bila kosa lolote lile wakati mafisadi na wala rushwa wakiwa hawaguswi inauma sana na hatujui wanataka kumuweka ndani kwa muda gani.

Umeongea kwa uchungu lakini ndio ukweli. Kama anatenda yaliyomema ya kutaka kusifiwa tuuu kwanini anaiogopa JF??? That means hata yeye anajua ana walakini mkubwa mnooo ndio maana hajiamini na kujihami kwingi.
 
Shairi kwa Max

[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]

Nimekuja mara moja kuonesha mshikamano kwa heshima ya Max.

Max Melo yupo selo, wengi twaona kero
Kashikwa na makachero, sheria za lelolelo
Pasi dhamana jero, ya katiba kapelo
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Max si mhalifu, kijana muadilifu
Ukumbi yakinifu, kuweka ubadilifu
Watu watoe kifu, pia hata kusifu
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Max alikataa, habari za hadaa
Majina kuwafaa, kwake kubwa fadhaa
Kanuni za nakaa, muhuri ushakaa
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Kiranga ka nabii, haya aliyaona
Akafanya utii, kaenguka kuonya
Ukumbi namna hii, tutakosa kunyonya
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero

Basi nduguzanguni, tuzidi shikamana
Walio uzunguni, hadi kwetu kwa mama
Tulio uvunguni, kazi bila lawama
Kwa wengi shujaa hero, hasi mfalme Nero
We msukuma baki nasi usiondoke tena
 
Inasikitisa kusema kweli Maxence Melo kuwekwa ndani bila kosa lolote lile wakati mafisadi na wala rushwa wakiwa hawaguswi inauma sana na hatujui wanataka kumuweka ndani kwa muda gani.

....trust me my friend....WAPIGA DILI BADO WANA NGUVU SANA kwenye nchi hii....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom