Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Haki ya kuongea na haki ya uzushi ni vitu viwili tofauti
Haki ya uzushi inapatikana wapi? Maana kuna Watanzania wanaitwa wasaliti wakati wanaongea ukweli. Ni muhimu wakaipata hiinhaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ya kuongea na haki ya uzushi ni vitu viwili tofauti
Uzushi upi ulikuwa? Ungeuweka hapa kuipa hoja yako mashikoHaki ya kuongea na haki ya uzushi ni vitu viwili tofauti
Mlikuwa na upumbavu mwingi sana yaani mtu kuitwa mushi lema muro kimaro n.k kwenu mliona hawastahili kuishi Tz wakati ni raia halali wa nchi hiiMike Mushi mwakilishi mwenza mhhhhh!!!!!!!!!!!!!!! Hapa unadhani nini? Acheni hizo......Tumieni mitandao iwe huru na isitokeze baadhi yenu kutumikia wanasiasa.
Natamani kulia usinikumbushe uovu ule "Mungu yu mwema siku zote"Mlikuwa na upumbavu mwingi sana yaani mtu kuitwa mushi lema muro kimaro n.k kwenu mliona hawastahili kuishi Tz wakati ni raia halali wa nchi hii
Kwani sasa zimepita?Zilikuwa zama za giza
AmenNatamani kulia usinikumbushe uovu ule "Mungu yu mwema siku zote"
Hivi yule shetwani ndio alitwaliwa kuzimu mwezi huu?Mwezi wa Mungu unaendelea
Jiwe bhana!Naona sasa malaika kashaanza kushushwa kuifungia mitandao ya kijamii.
Iwa hao malaika na aliewatuma afahamu kuwa ni ngumu sana kuzuia mafuriko kwa mkono.
Nao hao malaika wanahitaji pia social media kusemea mema yao.
Yanamwisho.. ila huwezi zuia mafuriko kwa kutumia kiganja cha mkono.
Kwa muonekano huo wa kwenye tingatinga huyu itakuwa alienda kweli na pajama kwa mama yetu 😥