Hawa Chadema wamesababisha hayo yote maana wao ni wazee wa kuongea kila neno wanalojisikia na wala bila heshima wala adabu kwa dola inayotuongoza. Kwa mtindo huu JF itafungwa kwa Sababu ya hilo.
Exactly, na wamwache huko kama lemaYou can kill the people but not ideas...mpelekeni mnakotaka ila vichwa vyetu vimejaa new ideas.
Tofautisha kukosoa na kuleta habari za uchochezi.haguswi wanaosakwa hapa ni wale wanaokosoa sirkali ya oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
JF ina rensponsibility kubwa sana, kama vivlivyo vyombo vingine vya Habari, kuna mambo mengi ya uongo na uzushi huletwa humu na kuachwa, ikumbukwe kwamba nchi nyingi kama Kenya, Rwanda, Burundi n.k Vita ililetwa na Vyombo vya Habari kama redio na TV, hivyo JF ina jukumu la kulinda amani ya nchi, kama ni kweli amekamatwa, na kama siyo kweli basi wajifunze na wabadilike, watambue jukumu lao kwenye Jamii!
CEO wa JF asipumbazwe na watu wanaosapoti kwenda kinyume na Serikali hapa, wengi wao wana maisha yao na wala hawaishi TZ, na JF ikifa kesho, au ofisi ya JF kunyimwa kibali cha kufanya kazi TZ hawana cha kupoteza, zaidi ya kuhamia kwenye mtandao mwingine na kuendeleza wanayoyafanya, hivyo angalia maisha yako na familia yako, fanya lililo sahihi na jinsi Serikali inavyokutaka kwani mwisho wa siku Serikali ndiyo yenye nchi, watakushauri wanachama wa JF wanavyotaka lkn Serikali ndiyo wasimamizi wa hii nchi!
ndio wenye nchiMbna vibaraka wa lumumba humu wanatukana n kuropoka hawaguswi
Rudia Kusoma post mkuu salary slip na fikiri baada ya huyu tutafuata sisi watumiaji wa jfKwa kosa gani?
kakamatwa bila sababu?
kisa na mkasa?
hii ni habari ya ukweli ama nini
wewe ni mmojawapo wa mods
pole yake
Kwa kosa gani?
ametenda kosa gani tena
hivi huwa mnasoma heading na kucoment bila kusoma content au!!? mmeambiwa sababu ni kuwanyima polisi taarifa za memba wa jf pindi zinapotakiwaTatizo ni nini.
Habari za mashoga zinahusiana vipi ?Na ni nani atang'amua kua hii taarifa au habari ni uongo uongo!? Kama serikali ina nia njema kwanini isikamate mashoga wanao jiuza FB!? Lengo hapa ni kutoa Taarifa zitakazo msifia na kumtukuza mtukufu.
Ndege zilivyonunuliwa, bilioni kumi kwa ajili ya askari magereza bajeti zilipitishwa na bunge lipi?Magu hausiki hapa
Sheria ya mitandao imepitishwa ns bunge Magu si Rais...
Tofautisha kukosoa na kuleta habari za uchochezi.
Ingekuwa ni kukosoa JF ingekuwa imeshafungiwa muda mrefu sana. Lakini kwa kuwa kuna haki ya mtu kujieleza au freedom of speech ndio maana ipo mpaka leo.
Wanaotafutwa hapa ni wale wachochezi ambao ndio wamemponza maxence mello watu ambao ni chadema na kosa kubwa ni kuitumia JF kama Propaganda tool yao kueneza uchochezi.
Kama utakumbuka vizuri taarifa za kujiuzulu
Makamu wa rais zililetwa humu na pia ni humu humu JF ilitolewa taarifa ikiw na nembo ya ikulu
Pamoja na Sahihi ya msemaji wa ikulu
Ikielezea juu ya kutenguliwa kwa mrisho Gambo.
Hakuna nchi yoyote itakayovumilia uchochezi kama huo na hao ndio haswa wanaotafutwa na serikali Kwasababu aliyefoji amefanya kosa la jinai na anatakiwa afikishwe kwenye vyombo vya sheria na hao waovu ndio mello
Anawalinda.
mh sijui itakuaje maana nilikuwa na mpango wa kulaunch mtandano kama JF.Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.
Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.
Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikilia msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.
Taarifa zaidi baadaye
www.thecitizen.co.tz/News/JamiiForums-drags-the-police-to-court.../index.htmlMbona kulikua na kesi mahakaman na JF walishinda kwa hizo ishu za polisi kutaka axcess ya database ya jamii forums.
Wewe una raha gani mwenzio akikamatwa kwa uonevu....... lako litakujaMtaisoma sasa wabwatukaji