Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Kuna uzi humu ulisema wazi na ushahidi kuwa Makamu wa rais amejiuzulu.

Kuna uzi humu ulipost barua ya ikulu ikionyesha nembo ya ikulu na sahihi ya msemaji wa ikulu ikielezea kutenguliwa kwa mrisho gambo. Huo sio uchochezi ? Au uchochezi kwako ni mpaka watu washike bunduki
Hizo taarifa baada kugundulika ni feki si zilifutwa? Tatizo liko wapi?
 
Kama Kuama nchi ingekuwa ni laisi, Nahisi robo tatu ya watanzania, tungesha hama, nchi hii haina tofauti na jela kwasasa
 
Duh. Kwa hiyo sisi members tunasakwa na polisi kwa kila namna. Tukiwa na dukuduku tukatolee wapi? Ndo sheria za cyber crime zinataka hivi kumbe! Hatuko salama.
 
View attachment 445691

Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.

Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.

Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikilia msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.

Maxence Melo anakamatwa huku kukiwa na Kesi ya Kikatiba dhidi ya taarifa ambazo Jeshi la Polisi wanazitaka, kesi namba 9 ya mwaka 2016 dhidi ya Jamii Media dhidi ya polisi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kesi ambayo mahakama kuu itatolea hukumu, tarehe 20 Februari.

20 feb mwaka gani? hapo mwisho
 
Hawahitaji thread zako, wanataka kujua huyu akili tatu ninani,baaasi.
sasa watajuaje wakati jina sio langu,na detail zote nimeweka za urongo?kuanzia email hadi tarehe ya kuzaliwa?
 
Andiko lako la vitisho lina maana gani ? Kwa muda mrefu umetumia jf kutukana chadema bila kuguswa , leo viongozi wako wakikosolewa unaomba msaada wa polisi ili iweje ? Hivi wewe ni wa kuitisha jf kweli ?

Mwigulu Nchemba ambaye ni waziri wa hawa polisi ni member humu , na ameitumia sana jf kutoa dukuduku lake , leo hii mnasahau nini ?


Hilo ni juu ya CEO wa JF kuamua mimi nimetoa ushauri tu, kwamba aidha atii Serikali wanavomtaka au ageuke kuwa Mwanamapinduzi lkn jambo moja nalijua kwamba when chips are down atakuwa mwenyewe na familia take, na nyie wote mnaomchochea mtahamia kwingine!
 
Wewe MOTOCHINI umekazana tu kwamba watu waache Uzushi huo uzushi ni kama upi kwa mfano? Na unang'ng'ania kwamba serikali ndiyo yenye nchi hivyo ikiamua kitu ni lazima kifuatwe. Umewahi kusoma Ibara ya 8 ya Katiba yetu?
 
upload_2016-12-13_15-26-10.png

mtandao ukawa deactivated kwa muda wa wiki moja then uka flush data zote za members na kuanza upya kuandikisha watumiaji..

upload_2016-12-13_15-27-19.png

upload_2016-12-13_15-27-51.png

upload_2016-12-13_15-28-14.png
 
Nina wasiwasi na Savers za JF wanaweza Ku destroy naomba IT wetu wazilinde! Nchi ya Kipumbavu sana wakati FBI wangezama tuu bila hata huyo Melo kujua.


Mimi Apart from ID
Jina language Fake
Email Fake
ID Fake
Birthday Fake

Mkuu hiyo ip address unayotumia kupost mara kwa mara si itaonekana tu. Yaani hapa mwanangu kama ulikuwa unaiponda serekali imekula kwako. Anza kuandika urithi kabisa kama una chochote maana jela inakuhusu. Huyo Maxence Melo mwenyewe alivyo mwembamba akipigwa kibao kimoja tu anakabidhi server yote kituoni. Mimi leo naenda kuraruana na mke wangu ya mwishomwisho maana huko jela hiyo huduma hamna ni nyeto tu.
 
Maxence Melo anakamatwa huku kukiwa na Kesi ya Kikatiba dhidi ya taarifa ambazo Jeshi la Polisi wanazitaka, kesi namba 9 ya mwaka 2016 dhidi ya Jamii Media dhidi ya polisi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kesi ambayo mahakama kuu itatolea hukumu, tarehe 20 Februari.[/QUOTE]


Huku itakuwa kuufinyanga kihadhi mfumo wa Mahakama.
 
Pole sana Maxence Melo


[HASHTAG]#JusticeforMelo[/HASHTAG]

[HASHTAG]#Justice4JF[/HASHTAG]

[HASHTAG]#FreedomofSpeech4All[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom