Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Waanzishe tu magereza ya watu wa JF maana humu watazolewa wengi
 
wadau hakuna updates zozote kuhusu melo mpaka mda huu?.
 
Jf ni serikali nyingine kabisa sasa naona watataka tusajiliwe upya humu wameanza na yeye watakuja kwetu.
 
Baba toa hayo majina yanayotoa lugha ya kuuzi. Mbona sisi tupo, na tunachati kwa kawaida tu. Kuna watu hasira za Maisha wanazileta huku ili kuwatukana watu. Mwenye matusi avune matusi yake na wastarabu tuendelee.
 
Kwani sasa hivi ufisadi umeisha alipowaambia hawezi kufukua makaburi mlielewaje?
 
Hoja yako hapa ni nini?

Kwa hiyo kama kipindi cha JK ilikuwepo basi iendelee kuwepo?

Kwa mantiki yako unataka kusema kwa sababu wakati wa JK kulikuwa na ufisadi basi uachwe uendelee kuwepo. Au kwa sababu kipindi cha JK kulikuwa na watumishi hewa basi waachwe tu waendelee kuwepo.

Unatakiwa uelewe kuwa dunia inabadilika kulingana na mazingira.

Leo hii hata Uingereza wamepitisha sheria ya mitandao ambayo miaka ya nyuma hawakutegemea kama itawezekana lakini kutokana na mazingira, sheria kali imepitisha bila hata kupata upinzani mkubwa bungeni.

Kwa kukusaidia soma hapa;

'Extreme surveillance' becomes UK law with barely a whimper

The Investigatory Powers Act, passed on Thursday, legalises a whole range of tools for snooping and hacking by the security services unmatched by any other country in western Europe or even the US.

US whistleblower Edward Snowden tweeted: “The UK has just legalised the most extreme surveillance in the history of western democracy. It goes further than many autocracies.”

Jim Killock, the executive director of Open Rights Group, said: “The UK now has a surveillance law that is more suited to a dictatorship than a democracy. The state has unprecedented powers to monitor and analyse UK citizens’ communications regardless of whether we are suspected of any criminal activity.”

Renate Samson, the chief executive of Big Brother Watch, said: “The passing of the investigatory powers bill has fundamentally changed the face of surveillance in this country. None of us online are now guaranteed the right to communicate privately and, most importantly, securely.”
We don't have to copy anything from be it UK or US. Tanzanians we are free thinkers, independent and sovereign state. Rule of the law should always be respected.
 
Uhuru wa kuwasiliana umekanyagwa sana tz na katiba kwa ujumla haifuatwi hata ibara moja !! Nchi inaenda kwa matakwa ya mtu tu na anachofikiri ni sahihi kwake hata kama anavunja katiba! ...Tunaanza kusahau utawala wa sheria taratibu kila kukicha....
 
JF wakiifunga tutafungua forum nyingine na kutumia anonymous nicknames. Uhuru utaendelea kuwepo wapende wasipende.

Kwa ushauri tu, kama wewe ni member wa JF sasa hivi, cha kwanza cha kufanya nenda badilisha email yako, ili just in case ikitokea data wamelazimisha hadi wamezipata wataanza na email maana nina uhakika tracing IP Address at this point haitowafikisha popote. The only way watakukaba ni kama umeweka email address yako ya ukweli.
 
Wanasema hataki ku-retrive mtandao kuweka peupe baadhi ya Ids za wahusika wanazotaka polisi, yeye hataki.

Atoe ili watunyamazishe wanapo kosea tusiseme au kukosowa., kama ndiyo nia yao tukiwapa madaraka watugeuke hakuna haja ya kuwa tunapiga kura kwa kweli. Hawajui tulipanga foleni kupigwa na juwa la kutwa leo hii Wakifanya tofauti tusihoji. [emoji1241] inaenda wapi kufatia uhuru wa kuhoji na uhuru wa Mijadala tofauti katika jamii •Hatari Sana[emoji35]
 
Mmmmmmmmh bora kujikalia kimya tu kwenye nchi za watu
 
Social media hazina tofauti na print and electronic media. Moja kati ya maadili ya uandishi wa habari ni kuto reveal source of your story hasa story zile ambazo mtoa habari ambaye amekupa habari in confidence. Kwa mwandishi mwenye maadili ya uandishi wa habari yuko tayari kufungwa lakini si kureveal source wake. Ninaamini mahakama itapima hiyo habari ambayo mwandishi amekataa kureveal chanzo kama ni ya kweli, sio classified information wala haihatarishi usalama wa nchi. Tunahamu kubwa kujua ni habari gani ambazo polisi walikuwa wanazitaji kujua source ili tuweke mizania kati ya public interest, state interest na individual interest. Tunasubiri
Upo sahihi mkuu,
Hakuna ulazima wa ku disclose source of information.

Unless kama ulivyosema ila tatizo kubwa hapa polisi watahitaji sana mambo ya kisiasa kuliko sheria inavyotaka.

Tunahitaji kesho afikishwe mahakamani tufahamu wanatumia sheria ipi kulazimisha mmliki wa chombo cha habari kutoa source.
 
Amekamatwa kwa ajili yetu tutumie akili ya hali ya juu kidogo kusoma mchezo huu ni mwendelezo wakutuzima midomo
Nchemba kamaindi tumemkaba sana ishu ya miili saba mto ruvu.anaona tumemchongea kwa mabosi wake.
 
Hivi mambo ya kuhoji saa saba yuko wapi si mmejadili sana hapa JF


hii sasa shiiiiiida.....hata saa saba tunayoipenda tusiijadili kama imepotezwa au kufutwa?

Balaas
 
Hoja yako hapa ni nini?

Kwa hiyo kama kipindi cha JK ilikuwepo basi iendelee kuwepo?

Kwa mantiki yako unataka kusema kwa sababu wakati wa JK kulikuwa na ufisadi basi uachwe uendelee kuwepo. Au kwa sababu kipindi cha JK kulikuwa na watumishi hewa basi waachwe tu waendelee kuwepo.

Unatakiwa uelewe kuwa dunia inabadilika kulingana na mazingira.

Leo hii hata Uingereza wamepitisha sheria ya mitandao ambayo miaka ya nyuma hawakutegemea kama itawezekana lakini kutokana na mazingira, sheria kali imepitisha bila hata kupata upinzani mkubwa bungeni.

Kwa kukusaidia soma hapa;

'Extreme surveillance' becomes UK law with barely a whimper

The Investigatory Powers Act, passed on Thursday, legalises a whole range of tools for snooping and hacking by the security services unmatched by any other country in western Europe or even the US.

US whistleblower Edward Snowden tweeted: “The UK has just legalised the most extreme surveillance in the history of western democracy. It goes further than many autocracies.”

Jim Killock, the executive director of Open Rights Group, said: “The UK now has a surveillance law that is more suited to a dictatorship than a democracy. The state has unprecedented powers to monitor and analyse UK citizens’ communications regardless of whether we are suspected of any criminal activity.”

Renate Samson, the chief executive of Big Brother Watch, said: “The passing of the investigatory powers bill has fundamentally changed the face of surveillance in this country. None of us online are now guaranteed the right to communicate privately and, most importantly, securely.”
Usidhani sisi wote ni mang'ombe wa Chama Cha Majizi tunaosubiri kudumisha fikra za Mwenyekiti
Penye tatizo tutasema
 
polisi wamnataka wajue majina yetu halisi na namba za simu?
Kama ulishawahi Ku idiss ccm.na serikali yake jiandae jomba.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom