Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Max mkuu pole kwa yaliyo kupata naamini unaipigania JF ili kulinda mawazo yetu huru,tuko pamoja mkuu,tukisubiri yatakayo endelea kesho.
 
Vigezo na masharti inabidi kuzingatiwa ili twende na sheria mpya ya magazeti na ile ya mitandao
kusema ukweli humu JF mazombi tupo wengi mno inabidi uongozi ili ujichomoe na kadhia hii ni muhimu wote kuwa verify our names na adress kwa ujumla wake
kama kweli hatuna nia mbaya,
Vipo vigezo humu na masharti pia. Ulitaka yapi tena? Au ndio woga kwahiyo unaanza kujitakatisha na comments safi
 
Hilo tukio unalolisema mimi binafsi nililijua humu JF baada ya mtoa mada kupost. Hivyo kila mtu anaamini na anahisi nani aliyefoji ile documents. Thays y polisi wanamtaka huyo aliyepost aseme kalitoa wapi na ili waweze kumpata muhusika na speculation kama hizo zako za kudhania ziwe confirmed.

Kwa hili serikali ina nia njema sana. JF inabidi irudi kipindi kile cha Na sio sasa imekuwa Political Forums. Kwa CCM na Chadema kuleta habari zao za kichochezi huku hawatoi hata 30,000 za kuwa Gold members
Capture.JPG
 
Sizonje mtu wa ajabu kabisa kama anataka kufanya kazi afanye itaonekana tuu kwenye kumpongeza tutafanya hivyo na kwenye kumponda tutafanya hivyo daima ndo maisha yetu tuliyochagua great thinkers, we will always be one step ahead of you sizonje!
 
Kumekuwa na Kasumba ya serikali yetu kila tatizo likitutokea huwa wanasema hata mataifa mengine makubwa nayo wana matatizo kama yetu,sasa Mbona USA wana uhuru mkubwa wa kujieleza mbona na sie hatuigi? Obama,Bush wanatukanwa kweupe na hakuna kumbuguzi mtoa maoni ila TZ usitoe maoni yanayokosoa SIRIKALI.

Kitendo cha Polisi kumakamata Maxence Melo wakati kuna kesi ya msingi ipo mahakani ni kinyume cha katiba ya nchi,Nawaomba Jeshi la Polisi wazingatie taratibu tulizoziweka,Mahakama ndio chombo cha kutoa tafsiri ya sheria...Unaomba Data za Mteja wa JF wewe kama nani? kama Polisi unataka kwa sababu zipi na wamevunja vifungu vipi?

Maxence na Uongozi wa JF Endeleeni Kukaza uzi,Kumkamata mtu kwa kutumia laptop ni ngumu sana maana IP ni Dynamic na pia kuna Apps za kufake IP,Kuna Proxy sites kibao.
 
Hata mimi napenda sana Maxence Melo apate dhamana haraka.

Ninatumaini polisi na uongozi wa Jamiiforums watafikia muafaka nje ya mahakama.

Changamoto iliyopo kwa uongozi wa jamiiforums ni namna ya kufuatilia mijadala hapa JF hasa ikichukuliwa kuwa kwa sasa wanachama wamekuwa wengi lakini michango yao niya udaku, kifacebook au instagram.
Vipi wamiliki wa Facebook na Instagram wameshatiwa nguvuni na Polisi?
 
Kwa mwendo huu wa ngosha lazima tutazima data kwa mwaka mmoja pasipo malaika kushuka
 
Nipo likizo ...nitaenda mahakamani kumpa kampani kamanda Maxence Melo...
 
Tatizo la hawa walinda amani wetu, wao hutumia nguvu kuliko kufuata sheria.
Mbona wale wa marekani wa Apple, walikataa kushirikiana na FBI lkn hakuna hata waliowekwa ndani
Nchi za kiafrika za kijinga sana. Wao kila kitu wanakuruzinzalize.
 
Kwanza kabisa napenda kukufahamisheni kuwa hakuna kuaminana tena msimwamnini mtu. si Admin, members, owners wala Moderators. Lakini kea sasa Usalama wa members na maisha yao ni muhim zaidi kuliko kupost na kuendelea kubishana.

Nashauri yafuatayo :

1. Admin/Mods wekeni option inayoruhusu members kufuta, ku edit vichwa via habari (hii inawezekana

2. Admin/Mods weaken kite au option ya IGNORE. hii inarahisisha kwa members ku block contents toka kwa trolls

3. Members wote watumie VPN kuingia Jamiiforums hivyo itakuwa ngumu kukamatwa na kupewa kesi zisizowahusu.

4. Kwa usalama zaidi tumieni WiFi ambazo ziko public kama kwenye Malls, Mahoteli au Majumbani au maofisi makubwa hivyo ni vigumu ku pin point who is who.

5. Point number 3 ni muhimu sana hivyo nasisitiza sana hilo

6. Kwa ambao mko kwenye ma Group ya Whatsapp wajulisheni wenzenu kuwa wawe makini na wanayoyasema kwa sababu ya hii sheria mpya

7. Mods na Admin wapatieni members options za kufuta threads zao na pia kujiondoa membership kwa sasa mpaka hapo hali itakapokuwa imetengemaa. Kwa sababu usalama ni muhimu zaidi katiza zama hizi tulizo nano

8. Wajulisheni watu wengine kuwa huu si muda muafaka kujiunga na hii forum mpaka hapo Max atakapotoka nje na kuelezea Umma hatua zipi zimechukuliwa kulinda privacy za members

9. Uongozi wa Jamiiforums Uelezee umma wa watanzania wanafanya jitihada zipi za kisheria ili kumsaidia Max atoke. Je kama ni wanasheria ni kiasi gani kinahitajika etc.

10. Kwa sasa Twitter/facebook/Instagram ni salama zaidi (kama mnatumia majina feki) kujieleza kuliko mtandao wowte ule ambao una uhusiano na Tanzania

WITO KWA SERIKALI

Sisi wengine tulikuwepo toka mwaka 2002 enzi za TZATL, YoungAfricans,Darhotwire,Jambo forums mpaka tumefika Jamiiforums

Ina Uslama na hususana USALAMA WA TAIFA wanatufahamu na tunawafaham na wao wanaamini kuwa tunafanya kazi nzuri ya kukosoa serikali na kusaidia vyombo vya ulinzi na usalama maovu na mengineyo. Sisi kama members wa Jamiiforums tunaamini uhuru wa kujieleza na ndio maana hata kama hatukubaliani na watu lakini bado hutetea uhuru wao wa kujieleza. Sisi ni vijana wazalendo na hatulipwi. Na kwenye dunia hii ya leo serikali na vyombo via ulinzi na usalama walitakiwa kuwa ni partners wetu na sikutupiga vita na siku mbiu ya mambo itakapo lia tutajitokeza kufanya wajibu wetu kupigana na maadui wa nje (hususana nchi jirani ambao wana jeshi kubwa la ma cyber volunteer) wa kwa ku flood DNS za serikali na strategic installations zao.

Tunaomba Max aachiwe na sisi kama members na owners wa Jamiiforums pia itabidi tufanye soul searching kuwa at what point tulipoteza mwelekeo na tufanyeje turudi kwenye kukata issues na sio haya mambo ya ubishi kati ya vijana wa Lumumba na Bavicha

Niko radhi tukawa off line lakini tukirudi turgid fresh na sio kwa hii style tuliyonayo sasa hivi

Hiyo namba tatu umeisisitiza japo sijaielewa naomba ufafanuzi
 
Kwanza kabisa napenda kukufahamisheni kuwa hakuna kuaminana tena msimwamnini mtu. si Admin, members, owners wala Moderators. Lakini kea sasa Usalama wa members na maisha yao ni muhim zaidi kuliko kupost na kuendelea kubishana.

Nashauri yafuatayo :

1. Admin/Mods wekeni option inayoruhusu members kufuta, ku edit vichwa via habari (hii inawezekana

2. Admin/Mods weaken kite au option ya IGNORE. hii inarahisisha kwa members ku block contents toka kwa trolls

3. Members wote watumie VPN kuingia Jamiiforums hivyo itakuwa ngumu kukamatwa na kupewa kesi zisizowahusu.

4. Kwa usalama zaidi tumieni WiFi ambazo ziko public kama kwenye Malls, Mahoteli au Majumbani au maofisi makubwa hivyo ni vigumu ku pin point who is who.

5. Point number 3 ni muhimu sana hivyo nasisitiza sana hilo

6. Kwa ambao mko kwenye ma Group ya Whatsapp wajulisheni wenzenu kuwa wawe makini na wanayoyasema kwa sababu ya hii sheria mpya

7. Mods na Admin wapatieni members options za kufuta threads zao na pia kujiondoa membership kwa sasa mpaka hapo hali itakapokuwa imetengemaa. Kwa sababu usalama ni muhimu zaidi katiza zama hizi tulizo nano

8. Wajulisheni watu wengine kuwa huu si muda muafaka kujiunga na hii forum mpaka hapo Max atakapotoka nje na kuelezea Umma hatua zipi zimechukuliwa kulinda privacy za members

9. Uongozi wa Jamiiforums Uelezee umma wa watanzania wanafanya jitihada zipi za kisheria ili kumsaidia Max atoke. Je kama ni wanasheria ni kiasi gani kinahitajika etc.

10. Kwa sasa Twitter/facebook/Instagram ni salama zaidi (kama mnatumia majina feki) kujieleza kuliko mtandao wowte ule ambao una uhusiano na Tanzania

WITO KWA SERIKALI

Sisi wengine tulikuwepo toka mwaka 2002 enzi za TZATL, YoungAfricans,Darhotwire,Jambo forums mpaka tumefika Jamiiforums

Ina Uslama na hususana USALAMA WA TAIFA wanatufahamu na tunawafaham na wao wanaamini kuwa tunafanya kazi nzuri ya kukosoa serikali na kusaidia vyombo vya ulinzi na usalama maovu na mengineyo. Sisi kama members wa Jamiiforums tunaamini uhuru wa kujieleza na ndio maana hata kama hatukubaliani na watu lakini bado hutetea uhuru wao wa kujieleza. Sisi ni vijana wazalendo na hatulipwi. Na kwenye dunia hii ya leo serikali na vyombo via ulinzi na usalama walitakiwa kuwa ni partners wetu na sikutupiga vita na siku mbiu ya mambo itakapo lia tutajitokeza kufanya wajibu wetu kupigana na maadui wa nje (hususana nchi jirani ambao wana jeshi kubwa la ma cyber volunteer) wa kwa ku flood DNS za serikali na strategic installations zao.

Tunaomba Max aachiwe na sisi kama members na owners wa Jamiiforums pia itabidi tufanye soul searching kuwa at what point tulipoteza mwelekeo na tufanyeje turudi kwenye kukata issues na sio haya mambo ya ubishi kati ya vijana wa Lumumba na Bavicha

Niko radhi tukawa off line lakini tukirudi turgid fresh na sio kwa hii style tuliyonayo sasa hivi
ushauri mzuri
 
Sizonje mtu wa ajabu kabisa kama anataka kufanya kazi afanye itaonekana tuu kwenye kumpongeza tutafanya hivyo na kwenye kumponda tutafanya hivyo daima ndo maisha yetu tuliyochagua great thinkers, we will always be one step ahead of you sizonje!
Utawala huu ni wa ajabu sana
 
Back
Top Bottom